Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

Chakushangaza wanamiliki 85% ya matatizo yote duniani njaa wao ukeketaji wao uhamiaji haramu wao ukimwi wao,
Nan hao mkuu..kwan na wao wanakeketwa

you may not start conversation with the following recipient;Tairus
 
Hahahah..., kumbe najadili na taahira?
 
Sawa, as if google imepigwa marufuku kuwa chanzo cha ku-refer source ya taarifa. Maana nikisema kwa kufahamu kwangu mnasema ni hisia zangu, naweka evidence unasema nakimbilia google. Sasa huu si utaahira?
 
Bill gates pamoja na utajiri wake mbona hana watoto 10, ila Akon muafrika mwenzetu ana wake 8.
Lazima tukubali kuwa kipato kikiwa constant na ukiwa na watoto wachache una nafasi nzuri ya kuwahudumia mahitaji yao ya msingi kama chakula, mavazi, malazi, matibabu na elimu pia.
Hii kutegemea nature itatu cost uliza zamani shamba la ekari moja bila mbolea lilikua linatoa kiasi gani cha mazao halafu linganisha hilo hilo shamba kwa wakati huu halafu ndio uige kupata watoto 12 kama wazee wetu wa zamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli Mkuu ila na sisi tunachangia.kuna professor mmoja wa SUA mwaka jana kama sijakosea alikuwa anapigia Debe sana Kilimo cha GMO kianzishwe huku akijua Fika madhara yake.
 
Kweli Mkuu ila na sisi tunachangia.kuna professor mmoja wa SUA mwaka jana kama sijakosea alikuwa anapigia Debe sana Kilimo cha GMO kianzishwe huku akijua Fika madhara yake.
Kwa sababu ya ubinafsi wawatu weusi ndio miradi mingi ya kutuumiza inatekelezwa. Hapo Professor aliangalia kwanza tumbo lake
 
Kweli Mkuu ila na sisi tunachangia.kuna professor mmoja wa SUA mwaka jana kama sijakosea alikuwa anapigia Debe sana Kilimo cha GMO kianzishwe huku akijua Fika madhara yake.
Tungekua tegemezi wa chakula na pia tungelishwa hayo mashudu ya kijenetiki hadi tuishe wote!
 
Kama huyu kilaza hatakuelewa kwa maelezo haya hakuna chochote atakachoweza kuwelewa kuhusu overpopulation.
Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
watu bana ....black skinned race is just an experimental designed species for purposes.....

kukifuta kizazi cheusi inawezekana kabisa tena within fractional min of a day but haiwez tokea coz kipo kwa ajili ya experimantal flani flan...kinatakiwa kuwa kinapewa misaada ili kiendelee kuwepo ili kufanikisha mambo ya hao watu kutoka pande zile za baridi na moderate hot countries.
 

wapunguze na zile ripoti sijui furahaa,bangi,wajinga,kula,pesa.
unajua afrika tatizo ni sisi wa afrika wenyewe siwezi kukubali wewe ukileta mabadiliko.hili ndilo tatizo
 
Halafu cha ajabu wanaoswma hivyo ni wasomi wetu. Hili swala la kupangiana kuzaa huwa silikubali kabisa.
Acha kulalamika ujinga,nani amekuzuia kuzaa watoto wengi?hapa Tanzania unaruhusiwa kuzaa hata watoto 500 hakuna Sheria inayozuia mtu kuzaa watoto wengi.
 
Kama babako alikuwa na watoto11,basi wewe zaa 22 hakuna anayekuzuia.
 
Acha kulalamika ujinga,nani amekuzuia kuzaa watoto wengi?hapa Tanzania unaruhusiwa kuzaa hata watoto 500 hakuna Sheria inayozuia mtu kuzaa watoto wengi.
Hujui unachokiongea wewe hizo NGO's za mpango wa uzazi na masharti kibao yanayotoka nje kupunguza kuzaa ili kupata msaada ni kwa ajili ya nani? Shika adabu yako sio unafikiri kila mtu ni mjinga wa kufikiri kama wewe unaojua kutukana tu maana ndicho kilicho ujaza ubongo wako.
 
Overpopulation ya Africa ni kwamba waafrica hawawezi kujilisha. Population ya Africa bado ni ndogo Ila population inavyoongezeka na umaskini unaxidi kuongezeka
 

A typical script from psychological warfare text, if it exists. Sic.

Unfounded, often wrong, with an idea to corrupt the minds.

Your Ideas, do not work in Tanzania.
 
Overpopulation ya Africa ni kwamba waafrica hawawezi kujilisha. Population ya Africa bado ni ndogo Ila population inavyoongezeka na umaskini unaxidi kuongezeka
Afrika haijashindwa kujilisha, na at full potential (with the right population) basi tunaweza kuilisha dunia.
 
A typical script from psychological warfare text, if it exists. Sic.

Unfounded, often wrong, with an idea to corrupt the minds.

Your Ideas, do not work in Tanzania.
Wanacheza na saikolojia zetu tujione hatuna tunachoweza, won't work this time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…