Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

Ni ushenzi na ushetani mkubwa sana. Kuna syndicate za kukimaliza kizazi cha black people kama kilivyomalizwa kizazi cha Red Indians huko Marekani. Kampeni kama zile zinazoendeshwa na kina Bill Gates, Makampuni ya mbegu kina Monsanto kwa kuratibiwa na Mashirika kama UNFPA , WHO na kadhalika zina lenga kuhakikisha kizazi cha watu weusi hakiongezeki na kinatoweka baada ya muda hata kama ni mrefu

Jambo la kushangaza ni kwamba watu weusi wa mwanzo kua brain washed na mabeberu hawa ni "wasomi' wetu. Ukieleza kuhusu mbinu chafu hizi zinazofanywa na wazungu basi ujue "wasomi" wetu watakwambia hizo ni Conspiracy Theories tu na hazina uhalisia ingawa ushahidi wa mambo hayo upo wazi kabisa

Ukweli ni kwamba walikua wanaua black race kwa silaha kupitia vita na hata kuchochea mapigano ya wenyewe kwa wenyewe. Sasa hivi wanatengeneza magonjwa kwenye maabara ili watu wafe na kupungua njia ambayo wanaona ni more ethical kuliko kuwauwa kwa vita!
Back wenzako kule USA wanakwisha kwa kushadadia sera za kipumbavu za kiliberali za kutoa mimba,Wanajiita pro choice.40% ya abortions kule USA kwa mwaka ni watoto wa blacks..Black population inapungua USA kila mwaka sababu ya huu upuuzi,lakini bado hawajielewi wamekuwa wajinga wajinga tu.Thanks God kuna baadhi ya Blacks wamegundua hili na wanapiga kelele sana,
 
Jinga kweli wewe, hujiulizi kwanini miaka ya sitini tu hapo mwanamke alikuwa akizaa watoto wachache basi ni watoto 12, mimi mwenyewe baba yangu ni mtoto wa 11 kati ya watoto 12 tena bila operesheni na kajifungulia nyumbani, wote walizaliwa salama! sasa nionyeshe ni wamama wangapileo hii wanauwezo wa kuzaa kama hivyo, kushika hata mimba moja tu hadi mkatapeliwa kwa dokta mwaka na kwa Mwingira, na tena kuzaa ni kwa operesheni, we huoni kuna vitu ambavyo tayari tunalishwa kidogo kidogo?
mwambie huo pimbi......Africa lazima tuzae snaaa
 
 
Update: 07/07/2019
Rais Magufuli aniunga mkono leo wakati akimpokea Uhuru Kenyatta. Asema haya
"

Nchi zenye watu ndio zenye maendeleo makubwa. China na India zina watu wengi sana. Sisi Tanzania tupo Milioni 55 na kuzaliana sio shida. Watu wakiwa wengi uchumi unakua, bora kuwa na watu wengi wanaofanya kazi. Ndio maana nchi za Ulaya zinaungana"
 
Waafrica hatupendi kufanya kazi halafu tunapenda kuzaliana, halafu misaada tunawatengemea wazungu wacha tu watumalize, kwanza Waafrica sioni kama tuna faidi sana sana ss ni mizingo tu
Siyo hawapendi kufanya kazi bali kazi hazina masilahi. Fanya research ya pesa anayolipwa mtu anayefanya kazi ya kuzoa takataka Afrika na Marekani.
Hivi mpiga debe anayeamka asubuhi anayepewa mia kila gari na analala saa 6 usiku utasema hapendi kufanya kazi? Sema hatuna mikakati ya maendeleo. Kuna watu walinzi wanalipwa laki 120,000 kwa mwezi utasema hapendi kufanya kazi? Think Big
Wewe unayefanya kazi umejenga hata kiwanda au umefungua biashara kubwa inayoitangaza nchi yako?
Hakuna mikakati thabiti ya maendeleo Tanzania. Mtu anafikiri akifanya kazi akiingiza 5,000 basi wengine hawafanyi kazi. Hivi Marekani wangekuwa wanafanya kazi kama sisi tunavyofanya wangekuwa hapo walipo?
Tunataka nchi iwe inajitegemea kwa kila kitu, viwanda vya nguo viwe hapa, simu, magari n.k siyo upate hela ya kula na kuendesha gari tu.
 
Update: 07/07/2019
Rais Magufuli aniunga mkono leo wakati akimpokea Uhuru Kenyatta. Asema haya
"
Nchi zenye watu ndio zenye maendeleo makubwa. China na India zina watu wengi sana. Sisi Tanzania tupo Milioni 55 na kuzaliana sio shida. Watu wakiwa wengi uchumi unakua, bora kuwa na watu wengi wanaofanya kazi. Ndio maana nchi za Ulaya zinaungana"
Watu wengi bila kuwa na teknolojia na vyanzo vingi vya mapato ni sawa na kazi bure. China amefikia mpaka hapo kwa sababu ya teknolojia na sayansi. Silaha anatengeneza mwenyewe, simu, magari, nguo nk anatengeneza yeye mwenyewe. Hapa Bongo kila kitu tunaagiza, korosho imetutoa jasho. China na india wanatafuta masoko ya bidhaa zao nchi zingine na kuwekeza. Afrika kuna viwanda vingi sana vya wahindi na wachina tena wanafadhiliwa na nchi zao. Mchina hategemei sana soko la ndani anategemea, soko nje kama Afrika, Marekani na nchi zingine. Turudi bongo, unafuta ajira (Walimu na madaktari wapo mtaani), unatumbua watu wanaingia mtaani wanaanza kuuza mitumba. Unategemea nchi itaendelea? Jembe la mkono kila mahali, umekataza watu kuuza mazao nje ya nchi. Unafikiri nchi itapiga hatua?
Kuwa watu wachache ndiyo fursa ya kuwa na maendeleo ni sawa una watoto wawili unashindwa kuwalisha halafu unategemea ukifikisha watoto 10 ndiyo uwanze kuwalea. Haitawezekana, unawaza wakiwa wengi upate kodi? Utasubiri sana
Ukienda kwenye shule na hospitali mpaka huko vijijini utagundua kuna uhaba mkubwa sana wa walimu na madaktari lakini cha kushangaza walimu na madaktari wapo mtaani hawana kazi.
Kama umeshindwa kuwalisha watoto 2 usitegemee ukipata watoto 10 utawalisha. Wingi wa watu siyo kigezo cha maendeleo
 
Watu wengi bila kuwa na teknolojia na vyanzo vingi vya mapato ni sawa na kazi bure. China amefikia mpaka hapo kwa sababu ya teknolojia na sayansi. Silaha anatengeneza mwenyewe, simu, magari, nguo nk anatengeneza yeye mwenyewe. Hapa Bongo kila kitu tunaagiza, korosho imetutoa jasho. China na india wanatafuta masoko ya bidhaa zao nchi zingine na kuwekeza. Afrika kuna viwanda vingi sana vya wahindi na wachina tena wanafadhiliwa na nchi zao. Mchina hategemei sana soko la ndani anategemea, soko nje kama Afrika, Marekani na nchi zingine. Turudi bongo, unafuta ajira (Walimu na madaktari wapo mtaani), unatumbua watu wanaingia mtaani wanaanza kuuza mitumba. Unategemea nchi itaendelea? Jembe la mkono kila mahali, umekataza watu kuuza mazao nje ya nchi. Unafikiri nchi itapiga hatua?
Kuwa watu wachache ndiyo fursa ya kuwa na maendeleo ni sawa una watoto wawili unashindwa kuwalisha halafu unategemea ukifikisha watoto 10 ndiyo uwanze kuwalea. Haitawezekana, unawaza wakiwa wengi upate kodi? Utasubiri sana
Ukienda kwenye shule na hospitali mpaka huko vijijini utagundua kuna uhaba mkubwa sana wa walimu na madaktari lakini cha kushangaza walimu na madaktari wapo mtaani hawana kazi.
Kama umeshindwa kuwalisha watoto 2 usitegemee ukipata watoto 10 utawalisha. Wingi wa watu siyo kigezo cha maendeleo
Ukiwa na watu wengi ambao hawafanyi kazi, hiyo hoja yako ni kweli, na ndio maana dira ni kuwa na viwanda vya kila aina, naona kwa sasa Tanzania inaviwanda vya tiles kule Mkuranga na Chalinze, zamani tulikuwa tunaagiza toka nje, ila watu bado ni rasilimali muhimu, tukiwa wengi automatic mahitaji yanaongezeka, na fursa nyingi zaidi hujitokeza. Mfano Dar inaringia nini kama sio idadi kubwa ya wakazi, ila haimaanishi kwamba wote hapa Dar wanamaisha mazuri.
 
Africa kila siku njaa zinaua watu. Afrika imeshindwa kunihudumia in general
Afrika haijashindwa kujilisha, na at full potential (with the right population) basi tunaweza kuilisha dunia.
 
Hehehehe
Du nyie jitieni ujinga mbona hamsemi kama hao hao wazungu wanawakata magovi yenu na kuzuia msikate antena za dada zenu?????

Nyie ni soko lao sasa wakiwaua watauza wapi bidhaa zao kwa sasa kama MB na kubet. Acheni ushamba wenu kafanyeni kazi, mnazuiliwa msizae sababu mnashindwa kulea watoto wenu na kubebesha lawama kwa serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You said it all
U

Upo sahihi. Lakini tufundisahane kuzaa watoto tunaowamudu kwa malezi. Tusifikie hatua ya kuwa na idaid kubwa ya watoto ambao tunaanza kuomba misaada ya kuwahudumia.. Mija ya sababu ya Mataifa ya Magharibi kugharimia miradi ya kupanga uzazi ni kutusaidia nchi kuwamudu wananchi wake kihuduma. Tunatembeza bakuli na wakitushauri nini cha kufanya ili tuweze kujitegemea tunaleta hoja kama hizi. Mtu inazaa watoto kumi na mbili wakipishana miaka miwili halafu unashindwa kuwapeleka shule, kuwalisha, kuwavisha na wanarudi kuwa wakora mitaani. Iko haja ya kuwaelimisha watu wetu kuwa ni haki yao kuzaa lakini idadi ya watoto watakoweza kuwahudumia - si kuwaambia wafyatue watoto tu ili mradi unaweza kuwalisha. Dunia ya leo huduma kwa mtoto si kumlisha tu, inataka apate elimu - tena elimu iliyo bora ni si bora elimu, anhitaji atibiwe matibabu bora anapougua, na malezi ya kimaadili kwa ukaribu kutoka kwa wazazi. Kuna familia baba ana watoto wengi kiasi cha wengine hawajui hata majina - mtu kama huyu atawapa saa ngapi malezi ya maadili watoto ambao hawajui hata majina sawa na madarasa yet kwenye shule zetu za bure Mwalimu anawatoto wengi kiasi cha kutowajua mmoj mmoja suala ambalo ni muhimu sana katika malezi.
Kama hatuatki kusaidiwa basi tuwe na mpango wetu wenyewe kama waafrika wa jinsi ya kudhibit kuzaliana - au kwa ufupi kuzaa watoto wasiokusudiwa. Familia zetu nyingi zinazaa watoto wa bahati mbaya - wazazi hawakukaa wakakubaliana kuwa sasa tuzae mto wa kumi na moja, weigni wanatokea kwa bahati mbaya.
 
Watu weusi iko shida ..... imagine Mataifa yao Yana kila Aina ya rasilimali tija. .Lakini huwa Wana changiwa mpaka Mahindi ili waweze kupata chakula
The whole point ya kukupa wewe njia za uzazi wa mpango sio kuwa tupo overpopulated, point ni kuwa uweze ku control idadi ya watoto wako utakaozaa, ukishindwa ku control idadi ya watoto utakaozaa ina maana hata maisha yako utashindwa kuya control,

Sasa mzungu anakupa means za ku control idadi ya watoto, unaanza kuwatukana eti sijui wanataka kuwamaliza, Dah mtu mweusi ni kuwaza shari tu
 
Tumia walau hata 1% ya uwezo wako kufikiri tu, wazungu wangetaka kuwamaliza ingekuwa simple sana na wasingetumia hizo njia ndeefu za kuwahimiza mtumie uzazi wa mpango

Mnaagiza, nguo, dawa, vinywaji kama cocacola, sijui maji, juice, kutoka kwa wazungu, mkikumbwa na janga wazungu ndio wanawapa dawa na vyakula, sasa wazungu wangeamua kuweka kemikali zinazoua taratibu na au kuondoa uwezo wa kuzaa wasingeweza?

Vifaa vya umeme, ujenzi, magari, mafuta, vifaa vya jikoni n.k wangeamua kuviwekea hata kemikali zinazoua taratibu au kuharibu vizazi wasingeweza?

Hitler aliua wayahudi milioni 6 miaka ya 1940s, kwa kutumia sumu, silaha na njaa hivi wazungu wangetaka kuuwa Waafrika kipindi kile wanawatawala wasingeweza?


Mpo overpopulated kwa sababu hamuwezi kujilisha, mnaharibu vyanzo vya maji ,misitu, masalia ya samaki, hamuwezi kulima kilimo chenye tija, kila mwaka ikitokea ukame kidogo tu mnakufa kama kumbikumbi sababu mnategemea mvua hadi karne hii..! Kenya hapo mvua imekata kunyesha kidogo tu watu wanakufa tayari, likitokea janga kidogo mpaka wazungu waje wawasaidie

mfano nisaada ambayo mnapewa na wazungu kwenye kila janga kimbunga hapo msumbiji, malawi na zimbabwe, janga la ebola hapo DRC, na Afrika magharibi, Malaria mnapewa misaada ya dawa, UKIMWI ndio nyie mnaongoza mnapewa misaada ya ARV na Condom, Miji yenu hamuwezi kuipangilia, Hamna mifumo mizuri ya maji taka na maji safi, mpaka mje muwekewe na wazungu au wachina, milipuko ya kipindupindu haiishi

Wazungu unawaita mashetani ila kama sio hao wazungu pengine Ukimwi, njaa, ebola, na malaria zingekwishawamaliza nyie WATU WEUSI


Vijana wenu wanajitoa mhanaga ili tu wafike Ulaya au Uarabuni kufanya kazi za ndani

Yaani Waafrika hamuwezi kujiendesha na kujisimamia wenyewe kwa mpangilio mzuri mkiwa wachache kiasi hiki, mkizaliana na kujilimbikiza si ndio itakuwa balaa kabisa?

Mnapikia mkaa manakata miti yenu kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba ndani ya miaka 50 ijayo mnaweza mkawa mmeimaliza, na vyanzo vya maji kukauka, hamuwaonei huruma hao watoto mtakao wazaa watakavyoteseka? Au unafikiri watazamia Ulaya na watapokelewa?

hamuwezi kutengeneza bidhaa zozozte zile, viwanda vya maana kwenye nchi zenu vinaendeshwa na na wahindi au waarabu vingine vyote mnaotoa China ama Ulaya

Inafaa mzaliane kwa uangalifu mpaye watoto mtakaoweza kuwapa huduma bora za afya, chakula, malezi na elimu bora,
Pengine wakiwa na elimu bora wataweza kujimudu zaidi kuliko kizazi cha sasa
Bandiko lako limebeba ujumbe mzito sana hili
 
Overpopulation haipimwi kwa kujilinganisha na wengine. Inapimwa kwa kuangalia resources zako.

Tanzania kwa kasi ya sasa ya kuongezeka watu, ina double population kila miaka 23.
 
Africa kila siku njaa zinaua watu. Afrika imeshindwa kunihudumia in general
Afrika ina mali nyingi sana kuliko hata ulaya na Marekani. Kinachotukwamisha Afrika ni viongozi waroho na walafi wamadaraka. Wenyewe wanangalia matumbo yao na vitu. Utakuta kiongozi yupo radhi afute ajira za watu laki 2 lakini ajenge reli. Maendeleo yanaanza kwa watu kisha vitu. Huwezi kununua TV wakati ndani hakuna chakula.
Tanzania kuna mali nyingi sana lakini viongozi wanawapa watu wa nje mfano gesi, dhahabu, n.k yaani mtu anabnafsisha madini, mbuga za wanyama, ziwa, gesi n.k lazima tubaki maskini. Wawekezaji walitakiwa wajenga hotel, viwanda n.k yaani wapewe sehemu ambazo hazina mali
Hizi mali ambazo tunazo angepewa hata mwarabu angekuwa mbali sana. Tanzania ingekuwa kama Libya wananchi wote wangekuwa katika hali mbaya. Mungu aliwapendelea sana. Wafrika walipewa nchi zenye mali maana wangepewa kama nchi za kiarabu wafrika wangetoweka duniani.
 
Back
Top Bottom