Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi', Tuskegee syphilis experiment - Wikipedia, Ushoga na 'Uzazi wa mpango' ambao huwa unafadhiliwa sana na wamarekani kwa kuanzisha mashirika yanayogonga hodi nyumba hadi nyumba na kuwanywesha vidonge akina mama na akina dada kwa kuwalaghai, inafikia hatua wale wadada wanaozunguka hulipwa bonus pale wanapofanikiwa kuwanywesha vidonge vya uzazi akina mama wengi, kuna mmoja alipewa zawadi ya IST baada ya kufanikwa kutembelea nyunba 2,000 na kufanikiwa kuwashawishi akina mama wengi mno kufunga vizazi.

Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.

Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la Kiafrika.

Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!

Kule Australia walianza kama utani hivi hivi, kulikuwa na watu weusi wazawa walikuwa wanitwa Aborigines, ambao walikuwa wameishi huko Australia kwa malaki na malaki ya miaka, lakini ndani ya miaka 150 tu waingereza waliendesha hila kama hizi za kuwaangamiza ili waweze kuingiza kizazi cha wazungu kule Australia, basi walikuwa wanalipa dollar 5 kwa kila kichwa cha Aborigine utakacho kipeleka ofisi ya exterminator, basi waliuawa na kumalizwa hadi leo hawapo kabisa, same case iliwatokea Red Indians huko USA, walianza kama utani hawa wazungu, mwishowe Red indians wamebaki historia, Waafrika tusikubali kumalizwa kama Aborigines na Red Indians, tena yaan sisi tuna bahati tu kwa sababu tunapenda sana ngono, ila tungekuwa wavivu kama WaJapan leo hii tungeshabaki historia..!!!

Kule Rwanda mbelgiji alipandikiza chuki ya kikabila na kuchochea mauaji ya kimbari, kila mahali wanapandikiza na chuki za kidini na kuleta mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na kutuacha tuna malizana kwenye civil wars za kijinga kabisa...!!! Tusiingie kwenye hii mitego.

===========================
Update: 07/07/2019
Rais Magufuli aniunga mkono leo wakati akimpokea Uhuru Kenyatta. Asema haya
"

Nchi zenye watu ndio zenye maendeleo makubwa. China na India zina watu wengi sana. Sisi Tanzania tupo Milioni 55 na kuzaliana sio shida. Watu wakiwa wengi uchumi unakua, bora kuwa na watu wengi wanaofanya kazi. Ndio maana nchi za Ulaya zinaungana"
===============================
===============================
=============================
Update: 06/09/2019

===============================
================================
Update: 22/09/2019
===============================
Update: 05/04/2020
Chanjo ya Corona
Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika - JamiiForums
Hii chanjo ya Corona haitaletwa waziwazi maana wanajua tuneshawashtukia, hivyo wanaweza wakaileta kwa mifumo ya sindano za uzazi pamoja na chanjo zingine tulizozizoea, tuwe nao makini sana

==============================
UPDATE: 05/05/2020
Video: Sasa nazidi kuielewa kauli ya Rais “endeleeni kufyatua kwa kasi”, kama bado unaamini misaada toka kwa wazungu ni kwa sababu ya upendo - JamiiForums

===============================


===============================
Update: 14/01/2021

===============================
Update: 28/01/2021


View attachment 1688205

==================================
Update: 02/2021


==================================
Update: 18/03/2021


=================================
Update: 23/04/2021
Baada ya kuona tunagomea chanjo ya Corona, sasa wamekuja na hii, wapige mpunga na kutimiza lengo lao kwa lazima

View attachment 1761338

Update: 27/04/2021
Utafiti wabaini waAfrika weusi mimba zao zinaharibika kwa asilimia 40 zaidi ya watu wa asili nyingine. Kwanini? Tunalishwa nini? Tutafakari!
View attachment 1765442

================================
Update: 11/05/2021
Eti UNFPA wanaumia sana wanawake wa KiAfrika wakishika mimba zisizotarajiwa?


================================
Update: 02/07/2021
=================================
Update: 28/07/2021
View attachment 1871215

=================================
Update: 17/08/2021


=================================
Update: 24/09/2021

View attachment 1937120

=================================
Update: 07/10/2021
Baada ya watu kushangaa chanjo ya Corona kupatikana kwa kasi ya ajabu huku ya Malaria ikichukua zaidi ya karne, ghafla, na chanjo ya malaria imepatika, WHO waidhibitisha 😂😂😂😂😂


==================================

==================================


=========================



==========================



===========================
Update: 04/04/2023


==========================
Update: 06/05/2023



===========================
Update: 11/11/2024

View: https://www.instagram.com/reel/DBbsTG2IWfS/?igsh=bWRqbmQzMGp1d25p


Logical non sequitur fallacy.
 
Leta hoja kuonyesha kwamba hakuna logic.., otherwise mtu yeyote anaweza kuongea lolote kwa kilugha cha kwao na ikawa ndio ukweli..
Kichwa cha thread kinasema "Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!".

As if watu weusi kuwa 15% tu ya population ya dunia maana yake hakuna overpopulation.

Wakati hata dunia yenye overpopulation inaweza kuwa na watu weusi 15% tu. Au inaweza isiwe na watu weusi kabisa.

Hii reasoning imeunganisha mambo mawili ambayo hayana uhusiano.

Overpopulation na percent ya watu weusi duniani.

Masuala haya mawili hayana uhusiano.

Dunia inaweza kuwa overpopulated hata ikiwa na waafrika weusi 0%.

The logical fallacy here is non sequitur.
 
Kichwa cha thread kinasema "Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!".

As if watu weusi kuwa 15% tu ya population ya dunia maana yake hakuna overpopulation.

Wakati hata dunia yenye overpopulation inaweza kuwa na watu weusi 15% tu. Au inaweza isiwe na watu weusi kabisa.

Hii reasoning imeunganisha mambo mawili ambayo hayana uhusiano.

Overpopulation na percent ya watu weusi duniani.

Masuala haya mawili hayana uhusiano.

Dunia inaweza kuwa overpopulated hata ikiwa na waafrika weusi 0%.

The logical fallacy here is non sequitur.
Umeona sasa, kumbe hujaelewa, logically implicated, hapo nimemaanisha hakuna overpopulation ndani ya Bara la watu weusi (Africa), na sio duniani, dunia inaweza kuwa na over population, lakini si Africa, sababu land area % ya Africa ni kubwa sana kulinganisha na population % ya Waafrika (weusi), hivyo ni ushenzi kusema Africa tuna overpopulation kama wanavyodai westerners..
 
Umeona sasa, kumbe hujaelewa, logically implicated, hapo nimemaanisha hakuna overpopulation ndani ya Bara la watu weusi (Africa), na sio duniani, dunia inaweza kuwa na over population, lakini si Africa, sababu land area % ya Africa ni kubwa sana kulinganisha na population % ya Waafrika (weusi), hivyo ni ushenzi kusema Africa tuna overpopulation kama wanavyodai westerners..
Tatizo mnaanza kujadili mambo kabla hata ya ku define key terms.

Kwanza kabisa, overpopulation ni nini?
 
Tatizo mnaanza kijadili mambo kabla hata ya ku define key terms.

Kwanza kabisa, overpopulation ni nini?
Soma comments zangu ndani ya uzi mwanzo hadi mwisho, nimeshaeleza hayo yote na tukajadili kiundani, kama bado hutaona jibu la swali lako niambie
 
Soma comments zangu ndani ya uzi mwanzo hadi mwisho, nimeshaeleza hayo yote na tukajadili kiundani, kama bado hutaona jibu la swali lako niambie
Waafrika mkishindwa kujikimu wenyewe mkategemea misaada ya nje, mkakata miti sana na kuharibu mazingira kwa sababu hamna teknolojia nzuri tayari mna overpopulation.

Na hayo mambo yote yapo Africa.

Dar es salaam ina population growth rate ya around 4%. Ndani ya miaka 15 population ina double.

Huku graduates wanalilia kazi hawana. Kila mwaka wanaongezeka lakini mashamba hayaongezeki.

Ndani ya miaka 15 population ya Dar ina double lakini ardhi haiongezeki.

Unasemaje waafrika weusi hawana overpopulation?

This is not only overpopulation.

This is a ticking timebomb.
 
Waafrika mkishindwa kujikimu wenyewe mkategemea misaada ya nje, mkakata miti sana na kuharibu mazingira kwa sababu hamna teknolojia nzuri tayari mna overpopulation.

Na hayo mambo yote yapo Africa.

Dar es salaam ina population growth rate ya around 4%. Ndani ya miaka 15 population ina double.

Huku graduates wanalilia kazi hawana. Kila mwaka wanaongezeka lakini mashamba hayaongezeki.

Ndani ya miaka 15 population ya Dar ina double lakini ardhi haiongezeki.

Unasemaje waafrika weusi hawana overpopulation?

This is not only overpopulation.

This is a ticking timebomb.
Msaada wa nje wa kitu gani sasa? Chakula? Kuna bara lina ardhi kubwa yenye rutuba kuliko Afrika? Idadicikiongezeka hiyo ardhi ya ziada itatumika kuzalisha chakula cha ziada

Kukosa ajira ni overpopulation au ni hujuma za WaChina kuleta kila aina ya substandard goods na kuuwa viwanda vyote vya ndani na kuoelekea ukosefu wa ajira? Hapo suala si idadi ua watu bali ni sera mbovu za kuchoxhea na kulinda viwanda vya ndani, maana bila hivyo hata muwe na graduate 10 kwa mwaka, watakosa ajira tu…
 
Msaada wa nje wa kitu gani sasa? Chakula? Kuna bara lina ardhi kubwa yenye rutuba kuliko Afrika? Idadicikiongezeka hiyo ardhi ya ziada itatumika kuzalisha chakula cha ziada

Kukosa ajira ni overpopulation au ni hujuma za WaChina kuleta kila aina ya substandard goods na kuuwa viwanda vyote vya ndani na kuoelekea ukosefu wa ajira? Hapo suala si idadi ua watu bali ni sera mbovu za kuchoxhea na kulinda viwanda vya ndani, maana bila hivyo hata muwe na graduate 10 kwa mwaka, watakosa ajira tu…
Hujaelewa hata overpopulation ni nini.

Ukiwa na ardhi kubwa lakini huwezi kuitumia kwa sababu huna teknolojia, unategemea mvua huwezi irrigation, ukazaa sana kisha ukashindwa kujikidhi kwa chakula, una overpopulation.

Idadi ya watu wako ni wengi kuliko unavyoweza kuwalisha. Overpopulation.

Africa inalalamika vita ya Ukraine kwa sababu vita Ukraine imesababisha nafaka kukosekana Africa. Africa haijitoshelezi kwa chakula.

Soma hapa


Ukiambiwa kuna overpopulation Africa unabisha.
 
Hujaelewa hata overpopulation ni nini.

Ukiwa na ardhi kubwa lakini huwezi kuitumia kwa sababu huna teknolojia, unategemea mvua huwezi irrigation, ukazaa sana kisha ukashindwa kujikidhi kwa chakula, una overpopulation.

Idadi ya watu wako ni wengi kuliko unavyoweza kuwalisha. Overpopulation.

Africa inalalamika vita ya Ukraine kwa sababu vita Ukraine imesababisha nafaka kukosekana Africa. Africa haijitoshelezi kwa chakula.

Soma hapa


Ukiambiwa kuna overpopulation Africa unabisha.
Matumizi ya rasilimali kwa ajili ya sustainance huja kutokana na majitaji.., Afrika kuna rasilimali za kutosha mno kuzidicidadi ya watu ambazo pale zinapohitaji huwa zinaendelezwa ili kukidhi mahitaji; mfano bwawa la mwalimu Nyerere liliendelezwanili kukidhi mahitaji ya umeme ya watz walioongezeka na kuongeza mahitaji, hadi sasa umeme ni mwingi hadi unamwagikia chini, sasa muktadha huo, unadiriki vipi kusema tuna overpopulation na umeme unamwagikia chini?

Vita ya Ukraine ilisababisha ilisababisha uhaba wa ngano, ila je, ngano ndio chakula pekee? Mbona kipindi hiko hiko cha vita mahindi na mchele ulikuwa unafurika na kuozea masokoni kwa kukosa walahi? Potential ya uzalishaji chakula Afrika ni kubwa, na umhuwa utilised kulingana namahitaji, hiwezi kulima tu excessively wakati maghala ya NFRA yamejaa, sasa overpopulation ipi unazungumzia?
 
Matumizi ya rasilimali kwa ajili ya sustainance huja kutokana na majitaji.., Afrika kuna rasilimali za kutosha mno kuzidicidadi ya watu ambazo pale zinapohitaji huwa zinaendelezwa ili kukidhi mahitaji; mfano bwawa la mwalimu Nyerere liliendelezwanili kukidhi mahitaji ya umeme ya watz walioongezeka na kuongeza mahitaji, hadi sasa umeme ni mwingi hadi unamwagikia chini, sasa muktadha huo, unadiriki vipi kusema tuna overpopulation na umeme unamwagikia chini?

Vita ya Ukraine ilisababisha ilisababisha uhaba wa ngano, ila je, ngano ndio chakula pekee? Mbona kipindi hiko hiko cha vita mahindi na mchele ulikuwa unafurika na kuozea masokoni kwa kukosa walahi? Potential ya uzalishaji chakula Afrika ni kubwa, na umhuwa utilised kulingana namahitaji, hiwezi kulima tu excessively wakati maghala ya NFRA yamejaa, sasa overpopulation ipi unazungumzia?
Suala si Afrika kuna rasilimali za kutosha, tatizo Afrika haiwezi kutumia rasilimali zake.

Ukiwa na rasilimali usizoweza kuzitumia vizuri, ukazidisha kuzaa ukisema nina ardhi kubwa na misitu mingi, wakati hiyo ardhi huwezi kuitumia kuzalisha chakula vizuri, unafanya kilimo cha kijima, hutumii umwagiliaji, unakata miti kupata kuni as the source of energy, unategemea misaada, hapo una overpopulation regardless ya hiyo ardhi kubwa.

Na Mjapani ambaye hana ardhi kubwa lakini ana teknolojia kubwa ya kujenga ma skyscrapers miji imeenda juu, kutumia umeme wa nyuklia, hakati miti ili kupata kuni, anaweza kuwa hana overpopulation hata kama Mjapani ana watu milioni 124 karibu mara mbili ya Tanzania na sehemu ya Tanzania ni mara mbili na nusu ya ardhi ya Japan.

Unaangalia overpopulation in a very simplistic way kama watu versus resources zao, wakati overpopulation si equation ya watu versus resources zao, ni equation ya watu versus uwezo wao wa kutumia resources zao.
 
Suala si Afrika kuna rasilimali za kutosha, tatizo Afrika haiwezi kutumia rasilimali zake.

Ukiwa na rasilimali usizoweza kuzitumia vizuri, ukazidisha kuzaa ukisema nina ardhi kubwa na misitu mingi, wakati hiyo ardhi huwezi kuitumia kuzalisha chakula vizuri, unafanya kilimo cha kijima, hutumii umwagiliaji, unakata miti kupata kuni as the source of energy, unategemea misaada, hapo una overpopulation regardless ya hiyo ardhi kubwa.

Na Mjapani ambaye hana ardhi kubwa lakini ana teknolojia kubwa ya kujenga ma skyscrapers miji imeenda juu, kutumia umeme wa nyuklia, hakati miti ili kupata kuni, anaweza kuwa hana overpopulation hata kama Mjapani ana watu milioni 124 karibu mara mbili ya Tanzania na sehemu ya Tanzania ni mara mbili na nusu ya ardhi ya Japan.

Unaangalia overpopulation in a very simplistic way kama watu versus resources zao, wakati overpopulation si equation ya watu versus resources zao, ni equation ya watu versus uwezo wao wa kutumia resources zao.
Sasa mbona unauliza ambacho nimeshakujibu. Haya, mfano bwawa la Nyerere, sio rasilimali ile? Hatuitumii kukidhi mahitaji yetu ya umeme despite ya vikwazo bikubwa toka kwa westerners wakidai tunaharibu mazingira? Kumbe sasa utaona sio kwamba Afrika hawawezi kutumia rasilimali zao, bali wanawekewe vikwazo ili wasizitumie, wake watumie wao.., na wanajua mkiwa wengi zaidi mtazitumia na kufanya wao washindwe kuja kuzichota..
 
Sasa mbona unauliza ambacho nimeshakujibu. Haya, mfano bwawa la Nyerere, sio rasilimali ile? Hatuitumii kukidhi mahitaji yetu ya umeme despite ya vikwazo bikubwa toka kwa westerners wakidai tunaharibu mazingira? Kumbe sasa utaona sio kwamba Afrika hawawezi kutumia rasilimali zao, bali wanawekewe vikwazo ili wasizitumie, wake watumie wao.., na wanajua mkiwa wengi zaidi mtazitumia na kufanya wao washindwe kuja kuzichota..
Bwawa la Nyerere umelijenga kwa gharama kubwa sana na bado umeme unakatikakatika mpaka kwenye SGR ambako kuna specuila priority. Kwa sababu hujui kupanga mambo.

Na bado unataka kuongeza mzigo wa watu, hawa waliopo tu wamekushinda unataka kuongeza wengine.

Acha kutetea ujinga.
 
Bwawa la Nyerere umelijenga kwa gharama kubwa sana na bado umeme unakatikakatika mpaka kwenye SGR ambako kuna specuila priority. Kwa sababu hujui kupanga mambo.

Na bado unataka kuongeza mzigo wa watu, hawa waliopo tu wamekushinda unataka kuongeza wengine.

Acha kutetea ujinga.
Sasa hapa hoja ipo wapi? Ulitaka lijengwe kwa gharama gani sasa, hitilafu za umeme huwa zinatokea, ili hizo sio hoja hapa.., huna hoja.:
 
Sasa hapa hoja ipo wapi? Ulitaka lijengwe kwa gharama gani sasa, hitilafu za umeme huwa zinatokea, ili hizo sio hoja hapa.., huna hoja.:
Hoja ni kwamba Waafrika wana resources hawajui kuzitumia.

Tuchukue mfano wa Tanzania.

Hata wakiwa na nchi kubwa yenye mito mengi na maziwa hawajajua kutumia ardhi, hawatumii kilimo cha umwagiliaji large scale, bado wanalima kijima.

Hata wakijenga bwawa kubwa la umeme, hawana elimu ya kulitumia kumaliza tatizo la umeme, hawana hata utamaduni wa kujifunza kulitumia na kulifanyia maintenance inavyotakiwa.

Ndiyo maana mmejenga bwawa kwa gharama kubwa lakini umeme bado unakatikatika mpaka kwenye treni ya SGR yenye special priority.

Wewe Mtanzania tatizo lako kubwa kabisa ni ujinga. Peleka shule watu. Watu wakienda shule watapunguza kuzaa wenyewe.

Mama wa Kiowmba au Kisukuma anaqnza kuzaa akiwa na miaka 16 au 17 anazaa mpaka watoto 7-8 unafikuri huyu atasoma? Hao watoto ataweza kuwasonesha kwa GDP per capita yetu ya $2,000 kwa mwaka?

Hujamsikia Samia analalamika watu wapunguze uzazi serikaki imeelemewa kupeleka huduma za jamii kwa watu wanaoongezeka kwa kasi Tanzania?

Hujasoma matatizo ya mpango wa maendeleo wa kwanza ulioishia 1965, serikaki ikioanga kika kitu sawa, ikaja kukuta mipango yake yote imetimia ila tatizo by tge time mioango imetimia, population ishazidi kwa kasi na hivyo ike mipango yote ikawa outdated?

Kamsome Paul Bjerk katika "Building A Peaceful Nation : Julius Nyerere And The Establishment if Soveregnty in Tanzania 1960 - 1964".

Profwsa Paul Bjerk kaandika hiki tatizo limejulikana serikalini tangu miaka hiyo ya 1960s, wewe hujasoma tu.

Kuzaa watoto wengi kunaendana na jamii zenye ujinga dunia nzima.

Watu wanaoelimika wote wanapunguza kuzaa.

Kwanza watu wanaoelimika, hususan wanawake, miaka ya kwenda shule tu ina force miaka ya kuanza kuzaa kupanda juu, na idadi ya watoto wanaozaliwa kupungua.

Hii ni automatic.

Kwa hiyo hapo chaguo ni kuzaa qatoto qengi ubaki kwwnye ujinga na umasikini au upunguze uzazi uoate elimu zaidi ja mawndwleo ya kiuchumi.

There is no way around that.
 
Msaada wa nje wa kitu gani sasa? Chakula? Kuna bara lina ardhi kubwa yenye rutuba kuliko Afrika? Idadicikiongezeka hiyo ardhi ya ziada itatumika kuzalisha chakula cha ziada

Kukosa ajira ni overpopulation au ni hujuma za WaChina kuleta kila aina ya substandard goods na kuuwa viwanda vyote vya ndani na kuoelekea ukosefu wa ajira? Hapo suala si idadi ua watu bali ni sera mbovu za kuchoxhea na kulinda viwanda vya ndani, maana bila hivyo hata muwe na graduate 10 kwa mwaka, watakosa ajira tu…
Hujui unachosema
 
Back
Top Bottom