Waafrika Weusi tunachukiwa na kubaguliwa Ukraine na Urusi lakini ajabu ni kwamba tunajikomba kwenye hii vita yao

Waafrika Weusi tunachukiwa na kubaguliwa Ukraine na Urusi lakini ajabu ni kwamba tunajikomba kwenye hii vita yao

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Screenshot_20220304_041621.jpg


Inasikitisha sana na inaumiza.

Waafrika weusi katika hizo nchi yani hata uwe chotara wao watakuweka kundi hilo hilo,

nchi za Ulaya mashariki zikiwemo Ukraine na Russia ni wabaguzi sana wa rangi hakuna mfano.

Huwa nashangaa sana kwa sasa mtu yupo kushabikia Ukraine au Urusi maana sisi tukipata matatizo hao hawanaga muda kabisa na sisi maana wanatuona kama viumbe dhaifu.

Majuzi tu hapo video ilisambaa waafrika wa huko Ukraine wanazuiwa kupanda treni, kwamba maisha ya waafrika yana hadhi ya chini kuzidi wao ?

Wao wanashangaaga sana wakijaga huku kwetu vile wanavyo jizolea attention, kupewa heshima na kuabudiwa kama miungu mtu , akipita sehemu watu wengi wanamshangaa positively, watu wanampungia mkono na kumpa salamu, watu wengi wanatamani kumuongelesha, akifika ofisi za serikali anashughulikiwa chap chap, akifanya hata upuuzi jamii inaweza kuona kawaida na kumsamehe kisa ni mzungu, kwenye mapenzi huwa ni kama wanachagua maana wanaginbaniwa, n.k. mwafrika akienda huko kwao inakuwa kinyume.

Sijui ni ukosefu wa akili au ni kitu gani, huku ni kujidhalilisha wazi wazi.
 
View attachment 2138027

Inasikitisha sana na inaumiza.

Waafrika weusi katika hizo nchi yani hata uwe chotara wao watakuweka kundi hilo hilo,

nchi za Ulaya mashariki zikiwemo Ukraine na Russia ni wabaguzi sana wa rangi hakuna mfano.

Huwa nashangaa sana kwa sasa mtu yupo kushabikia Ukraine au Urusi maana sisi tukipata matatizo hao hawanaga muda kabisa na sisi maana wanatuona kama viumbe dhaifu.

Majuzi tu hapo video ilisambaa waafrika wa huko Ukraine wanazuiwa kupanda treni, kwamba maisha ya waafrika yana hadhi ya chini kuzidi wao ?

Wao wanashangaaga sana wakijaga huku kwetu vile wanavyo jizolea attention, kupewa heshima na kuabudiwa kama miungu mtu , akipita sehemu watu wengi wanamshangaa positively, watu wanampungia mkono na kumpa salamu, watu wengi wanatamani kumuongelesha, akifika ofisi za serikali anashughulikiwa chap chap, akifanya hata upuuzi jamii inaweza kuona kawaida na kumsamehe kisa ni mzungu, kwenye mapenzi huwa ni kama wanachagua maana wanaginbaniwa, n.k. mwafrika akienda huko kwao inakuwa kinyume.

Sijui ni ukosefu wa akili au ni kitu gani, huku ni kujidhalilisha wazi wazi.
Kuna wakati tusipende kueneza chuki zisizo na msingi bila kufanya utafiti kidogo au kukukumbusha tu kwa kutumia Google ambayo wengi vijana mnaipenda hamtaki kusumbua akili zenu.

Apartheid ilipigiwa kelele sana na pande nyingi za jamii ya watu weupe walilaani sana tu ijapokuwa serikali zao especially US and UK walikuwa busy na cold war Ila hatimae vilio vilisikika vikiunganishwa na nyimbo pamoja na makongamano yaliyofanyika Africa pamoja na nchi nyingine za dunia hii.

Vita ya Liberia na Sierra Leone ilikuja kupigiwa kelele sana Tena mno na jamii ya wazungu sababu wengi hawana taarifa za ukweli kuhusu attrocities zinazotokea Africa wanakuja kujua baadae sana.

Dunia iliungana pia wakiwemo wazungu mnamo 1984/85 walitupigania sana Africa kutokana na baa la njaa lilioikumba Africa almost sehemu kubwa mno, walikuwa kuona picha ya mtoto analiwa na tai ameachwa Hana wa kumsaidia na mama yake amekufa kwa njaa jangwani kule north west afrika ilikuwa ni global concern.

Rwanda genocide ilipigiwa kelele sana bahati mbaya social media hazikuwepo 1990"s .

Kuna hizi african artifacts zilichukuliwa na colonialists wakazipelekwa kwao , Sasa hivi wazungu wanapiga kelele sana kwenye mitandao kwamba zirudishwe tena with reparation.

Hawa wazungu walipiga sana kelele kuhusu kusaidia Africa against Ebola kule West Africa pamoja na Congo kumbuka tu.

Juzijuzi waafrika wenzetu kule South Africa walianza kuua waafrika wenzao on the so called xenophobic killing, tulionao dunia ilivyosimama na waafrika wengine kukemea hiyo tabia .

So, pamoja na ubaya wa baadhi ya wazungu Ila haimaanishi tusiwaonee huruma baadhi yao wanapopata matatizo kwakuwa sio wote walihusika au wanahusika kwenye huu ubaguzi na sio msimamo wa serikali yao hata kidogo that's why unaweza kuona idadi ya wanafunzi waliopo Ukraine kutoka Afrika ni kubwa mno mpaka kila mtu ameshangaa.

If Ukraine wasn't a welcoming country sidhani kama kuna waafrika wangeenda kusoma kwa idadi kubwa namna hii.

Pia waafrika hatujaumbwa na visasi namna hii if it was to be done basi tungeanza na visasi vya slavery. Mambo mengine tuyapotezee tu maana tutajiongezea maadui bure. Let's show them kindness labda watajifunza kwetu.
 
Kinacho ni shangaza ni wale wanao enda kusoma Ukraine elimu yao naona ya kawaida sana wamepoteza mda wangesoma hapa hapa bongo
 
Waafrica wa sasa ni mazombi yanayoendeshwa na wazungu.
 
View attachment 2138027

Inasikitisha sana na inaumiza.

Waafrika weusi katika hizo nchi yani hata uwe chotara wao watakuweka kundi hilo hilo,

nchi za Ulaya mashariki zikiwemo Ukraine na Russia ni wabaguzi sana wa rangi hakuna mfano.

Huwa nashangaa sana kwa sasa mtu yupo kushabikia Ukraine au Urusi maana sisi tukipata matatizo hao hawanaga muda kabisa na sisi maana wanatuona kama viumbe dhaifu.

Majuzi tu hapo video ilisambaa waafrika wa huko Ukraine wanazuiwa kupanda treni, kwamba maisha ya waafrika yana hadhi ya chini kuzidi wao ?

Wao wanashangaaga sana wakijaga huku kwetu vile wanavyo jizolea attention, kupewa heshima na kuabudiwa kama miungu mtu , akipita sehemu watu wengi wanamshangaa positively, watu wanampungia mkono na kumpa salamu, watu wengi wanatamani kumuongelesha, akifika ofisi za serikali anashughulikiwa chap chap, akifanya hata upuuzi jamii inaweza kuona kawaida na kumsamehe kisa ni mzungu, kwenye mapenzi huwa ni kama wanachagua maana wanaginbaniwa, n.k. mwafrika akienda huko kwao inakuwa kinyume.

Sijui ni ukosefu wa akili au ni kitu gani, huku ni kujidhalilisha wazi wazi.

Bora ungekomaa na hawa hapa:

IMG_20220302_115525_094.jpg


"Ila kila anayepinga udhwalimu wa aina yoyote huyo ni mpenzi cha Mola."

Tuseme usemi huu wewe ndiyo mwanzo kuusikia?
 
View attachment 2138027

Inasikitisha sana na inaumiza.

Waafrika weusi katika hizo nchi yani hata uwe chotara wao watakuweka kundi hilo hilo,

nchi za Ulaya mashariki zikiwemo Ukraine na Russia ni wabaguzi sana wa rangi hakuna mfano.

Huwa nashangaa sana kwa sasa mtu yupo kushabikia Ukraine au Urusi maana sisi tukipata matatizo hao hawanaga muda kabisa na sisi maana wanatuona kama viumbe dhaifu.

Majuzi tu hapo video ilisambaa waafrika wa huko Ukraine wanazuiwa kupanda treni, kwamba maisha ya waafrika yana hadhi ya chini kuzidi wao ?

Wao wanashangaaga sana wakijaga huku kwetu vile wanavyo jizolea attention, kupewa heshima na kuabudiwa kama miungu mtu , akipita sehemu watu wengi wanamshangaa positively, watu wanampungia mkono na kumpa salamu, watu wengi wanatamani kumuongelesha, akifika ofisi za serikali anashughulikiwa chap chap, akifanya hata upuuzi jamii inaweza kuona kawaida na kumsamehe kisa ni mzungu, kwenye mapenzi huwa ni kama wanachagua maana wanaginbaniwa, n.k. mwafrika akienda huko kwao inakuwa kinyume.

Sijui ni ukosefu wa akili au ni kitu gani, huku ni kujidhalilisha wazi wazi.
Mbona nimesoma mahojiano ya yule dada aliyefanikiwa kufika TZ from Ukraine, walikuwa wanapokelewa na wa Ukraine yeye na wenzake wanawapa chakula na wengine wanawasaidia kuwasogeza na usafiri. Tena anasema anashangaa walikuwa wanawapatia chakula wakati nchi yao ina vita hawajui kesho itakuwaje.
 
View attachment 2138027

Inasikitisha sana na inaumiza.

Waafrika weusi katika hizo nchi yani hata uwe chotara wao watakuweka kundi hilo hilo,

nchi za Ulaya mashariki zikiwemo Ukraine na Russia ni wabaguzi sana wa rangi hakuna mfano.

Huwa nashangaa sana kwa sasa mtu yupo kushabikia Ukraine au Urusi maana sisi tukipata matatizo hao hawanaga muda kabisa na sisi maana wanatuona kama viumbe dhaifu.

Majuzi tu hapo video ilisambaa waafrika wa huko Ukraine wanazuiwa kupanda treni, kwamba maisha ya waafrika yana hadhi ya chini kuzidi wao ?

Wao wanashangaaga sana wakijaga huku kwetu vile wanavyo jizolea attention, kupewa heshima na kuabudiwa kama miungu mtu , akipita sehemu watu wengi wanamshangaa positively, watu wanampungia mkono na kumpa salamu, watu wengi wanatamani kumuongelesha, akifika ofisi za serikali anashughulikiwa chap chap, akifanya hata upuuzi jamii inaweza kuona kawaida na kumsamehe kisa ni mzungu, kwenye mapenzi huwa ni kama wanachagua maana wanaginbaniwa, n.k. mwafrika akienda huko kwao inakuwa kinyume.

Sijui ni ukosefu wa akili au ni kitu gani, huku ni kujidhalilisha wazi wazi.
Waafrika especially weusi wanabaguliwa karibu kila mahali duniani iwe China, Europe, America, Russia, uarabuni, india etc tofauti ni viwango tu. Pengine unijibu kuna sababu gani ya msingi inayo justify mauwaji ya raia wa kawaida wa Ukraine yanayofanywa na Russia?
 
Waafrica ni watu wa ovyo kabisa kwenye ulimwengu na mmoja wao ni mleta mada. Tuache kulialia kwa ishu zisizo na msingi.

Yani watu weusi wako very sensitive na ngozi yao. Akipigwa kofi na mzungu au muarabu utamsikia analialia kabaguliwa, wakati anatwangwa mangumi kila siku na mtu mweusi mwenziwe wala husikii kelele za aaina hizo.
 
Back
Top Bottom