Waafrika weusi wafurushwa Tunisia baada ya amri ya Rais

Mbona wewe mkristo ukienda hata Italy ambako ni makao makuu ya Roma bado utabaguliwa na hatusemi ukristo ni utamaduni wa waitaliano

Waitaliano nchi yao ni non secular hivyo hata wakibagua wageni hawata bagua kwa msingi wa katiba yao,

Kimsingi tunisia wamezingua kataa kubali na hao ndio wajukuu wa mtume wenu na nchi yao inafuata misingi ya hiyo dini ya mtume.
 
Waitaliano nchi yao ni non secular hivyo hata wakibagua wageni hawata bagua kwa msingi wa katiba yao,

Kimsingi tunisia wamezingua kataa kubali na hao ndio wajukuu wa mtume wenu na nchi yao inafuata misingi ya hiyo dini ya mtume.
Kwani wao walitangaza uislamu ndio umewafundisha wafukuze watu weusi?hayo ni mambo yao binafsi
 
Dini dini Dini tuu!

Dini haina tafsiri nzuri kati Mungu na watu!

Isipokuwa iko njia, na hizo njia pia ziko aina kama mbili, dini ni mawazo ya kujihangaisha kutaka kumtafuta Mungu ikiwa na dhana isiyo sahihi ila watu sasa ndio wanaweka ulazima eti wamepatia njia ya dini na wameiwekea masharti na vitisho juu yao watakaokengeuka!

Lakini Njia ya pili ni ile ya Mungu mwenyewe kwa upendo wake baada ya anguko la Adamu, alighairi kumwangamiza, akaja na suluhisho la kumleta mwanadamu tena katika himaya yake kwa Sherti moja tu,

Atakayemfuata, hana hukumu tena na ataishi kwa huo upendo wa kuwapenda wengine kama anavyojipenda mwenyewe na hakuna kulipiza ikiwa imetokea yeye kaadhibiwa maana atakayeadhibu ni Mungu na mwanadamu asimhukumu mtu ispokuwa yeye Mungu

Unajiuliza sasa, kwa nini Dini hizi za waliojibunia kumtafuta Mungu zinaghadhabu juu ya wengine na hata kuuwa inapowezekana?

Huyo siyo Mungu wa Upendo aliye jaa msamaha! Ni mwadamu tu mwenye nia hizo
 
Mnawashobokea waarabu kwenye dini yao ila wanawachukia sana, na ajabu kibakuli huwa mnazungushwa kwa wazungu maana mnajua miungu wenu waarabu ni makatili ya kufa mtu.
jibu suali nililouliza usizunguke mbuyu ati tunawashobokea waarabu nao wanatuchukia. Hata hao mabwana zenu wazungu hali ndiyo hiyo hiyo tu.

Hata Trump tu aliwasema sana weusi
 
jibu suali nililouliza usizunguke mbuyu ati tunawashobokea waarabu nao wanatuchukia. Hata hao mabwana zenu wazungu hali ndiyo hiyo hiyo tu

Bora mzungu ana utu kuliko mwarabu mshenzi,kumbuka baada ya Mungu mzungu,bila mzungu hata smartphone usingekuja miliki,bila mzungu hata hao waarabu mafuta wasingejua dhamani yake wangebaki kuchambia kwa kukosa maji jangwani.

Mheshimu mzungu ndio Mungu wa dunia.
 
Mungu wako wewe siyo wa kwangu
 
Juu ya mabega una buyu tu,wapi kwenye vitabu vyetu' imeandikwa Mungu wetu alinyandua!?

Kasome bwana, mbona maandiko yako kote alivyonyandua katoto ka miaka 9
 
jibu suali nililouliza usizunguke mbuyu ati tunawashobokea waarabu nao wanatuchukia. Hata hao mabwana zenu wazungu hali ndiyo hiyo hiyo tu.

Hata Trump tu aliwasema sana weusi

Wazungu kidogo wanawasaidia, mnaishi kwa misaada yao, ila hao waarabu mumeishai kuiga mikanzu na mindevu yao na dini yao lakini hawawasaidii kwenye chochote.
 
Nasi tungefukuza waarabu wote na magabacholi kama tungekuwa tunajithamini, kujiamini na kuthaminiana
 
Kasome bwana, mbona maandiko yako kote alivyonyandua katoto ka miaka 9
Lete maandiko kwenye vitabu vya waislam kwamba Mungu wao alimnyandua mtoto wa miaka 6
 
Ndio muongozo wq dini ya waarabu,weusi watabaki kuwa watumwa wao kamwe hawawezi kua sawa na waarabu mbele ya alla.
Ndo maana wanadanganywa ati wakifika peponi watapewa wanawake wa kiarabu 40 kila mwanaume mmoja kisha wanakenua na kushangilia upuuzi tu!!! Wanawaza ngono tu hadi peponi, jamani!! Hahahahaha .....
 
Lete maandiko kwenye vitabu vya waislam kwamba Mungu wao alimnyandua mtoto wa miaka 6

ALimyandua mtoto wa miaka 9, alikaoa kakiwa na miaka 6 ila kwa alivyokua na minyege hakukaa asubiri kakue, akakaparamia kalipofikia miaka 9
 
ALimyandua mtoto wa miaka 9, alikaoa kakiwa na miaka 6 ila kwa alivyokua na minyege hakukaa asubiri kakue, akakaparamia kalipofikia miaka 9
Lete andiko Mungu wa waislam alitoa binti wa miaka 6,akamnyandua
 
Wazungu kidogo wanawasaidia, mnaishi kwa misaada yao, ila hao waarabu mumeishai kuiga mikanzu na mindevu yao na dini yao lakini hawawasaidii kwenye chochote.
 

Attachments

  • Africans.mp4
    5.3 MB
kipindi hiki cha uvamiz wa Urusi waafrika weusi waliamin kuwa ndo itakuwa fursa kwao ila ngoja waone mambo yalovyo tofaut uwepo wa USA imara ndo ilikuwa hofu ya waarabu hao wa afrika dhidi yetu weusi
 
Lete andiko Mungu wa waislam alitoa binti wa miaka 6,akamnyandua

Haya hapa maandiko machache tu japo yako mengi

1. Sahih al-Bukhari 810-870 BK, 256 BH

1a. "Alisimulia baba wa Hisham: Khadija alkufa miaka mitatu kabla ya Nabii kuondoka Madina. Alikaa huko miaka miwili au zaidi kisha akamuoa 'Aisha alipokuwa msichana mwenye umri wa miaka sita, na Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.

1b. Habari hizo zipo pia kwenye Bukharijuzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.234, uk.152.

1c. "Alisimulia 'Urwa: Nabii aliandika (mkataba wa ndoa) na 'Aisha wakati msichana alipokuwa na umri wa miaka sita na aliikamilisha ndoa yake nay eye kwa tendo la unyumba wakati akiwa na miaka tisa na 'Aisha aliendelea kuwa naye kwa miaka tisa (yaani mpaka kifo cha Nabii). Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 62 sura ya 60 na.88, uk.65.

1d. Alisimulia 'Aisha: Nabii alikuwa akinisitiri kwa Rida (vazi lenye kukinga sehemu ya juu ya mwili) yake nilipokuwa nawaangalia Waethiopia waliokuwa wanacheza kwenye ua wa nyuma wa msikiti. (Niliendelea kuangalia) hadi nilipotosheka. Hivyo unaweza kuelewa ni jinsi gani binti mdogo (ambaye hajafikia umri wa kuvunja ungo) ambaye ana hamu ya kufurahia burudani alivyofanyiwa mambo ya namna hii. Bukhari juzuu ya7 kitabu cha 62 sura ya 115 na.163, uk.119.

1e. "Alisimulia 'Aisha: (mke wa Nabii) sikumbuki kama wazazi wangu waliamini dini yoyote ile isipokuwa dini ya kweli (yaani Uislam), na (sikumbuki) siku yoyote iliyopita bila sisi kutembelewa na Mtume wa Allah asubuhi na jioni." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 4 na.245, uk.158. Kwa hiyo, 'Aisha ama hakuwa mkubwa ama hakuwa amezaliwa kabisa wakati wazazi wake walipo badili dini na kuwa Waislam. Jambo hili linaendana na yeye kuwa mtoto wakati ndoa yake na Muhammad ilipokamilishwa kwa tendo la unyumba.


2. Sahih Muslim 817-875 BK, 261 BH

Mkusanyiko huu unachukuliwa kuwa wa pili wenye kuaminika zaidi miongoni mwa Hadithi.

2a. "(3309) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti: Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa nyumbani mwake nikiwa na miaka tisa. (A'isha) Aliendelea kusema: Tulikwenda Madina na nilishikwa na homa kwa muda wa mwezi mmoja, na nywele zangu zilianguka hadi kwenye ndewe (masikioni). Umm Ruman (mama yangu) alikuja kwangu na wakati huo nilikuwa kwenye bembea pamoja na wenzangu ninaocheza nao. Mama aliniita kwa sauti na nilikwenda kwake na sikujua kwa nini aliniita. Alinishika mkono na kunipeleka mlangoni, na nilikuwa ninasema: Ha, ha (kana kwamba nilikuwa natweta kwa mshangao), mpaka msukosuko wa moyo ulipomalizika. Alinipeleka kwenye nyumba ambako walikuwa wamekusanyika wanawake wa the Ansar. Walinibariki na kunitakia bahati njema na kusema: Uwe na sehemu katika mambo mazuri. Mama alinikabidhi kwao. Waliniosha kichwa changu na kuniremba na hapakuwa na kitu kilichonitisha. Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) alikuja pale asubuhi, na nilikabidhiwa kwake." Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 8 sura ya 548 na.3309, uk.715-716.

2b. "(3310) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti: Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa kwenye nyumba yake nilipokuwa na miaka tisa."
(3311) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti kuwa Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alimuoa alipokuwa na miaka saba, na alipelekwa kwenye nyumba yake (Mtume) kama bibi arusi alipokuwa na miaka tisa, na hapa midoli (wanasesere) yalikuwa pamoja naye: na (Nabii Mtakatifu) alipokufa 'Aisha alikuwa na miaka kumi na nane." Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 8 sura ya 548 na.3310, 3311, uk.716.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…