Waafrika weusi wafurushwa Tunisia baada ya amri ya Rais

Waafrika weusi wafurushwa Tunisia baada ya amri ya Rais

Utaona mdengereko kutoka rufiji ana sijida kubwaaaa anakwambia muislamu ndugu yake ni muislamu akijiganganya muafrica mweusi ndugu yake ni mwarabu[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi machozi.
 
Kemet(misri ya watu weusi) ya kale ilikuwa falme kubwa haikuwa na hizo dini zenu za mchongo, Ethiopia(kush) ilikuwa falme isiyo ya kidini, Central afrika nako huko kulikuwa hivo, south kwa shaka zulu nako hivyo hivyo, someni jamani.

Msikalili ujinga, dini ni uhuni wa watu weupe walioutunga kuwatawala raia kiwepesi.

Hakuna undugu unaounganishwa kwa njia ya dini, achen kudanganywa, hao waarabu ni wahuni kama walivyo wazungu.

Na bado mtakimbizwa sana kwenye nchi za watu mpka muithamini Ardhi yenu kwanza na kujithamini ninyi wenyewe.

Unalikuta jitu jeusii linamuita mweusi mwenzie kafiri lkn linamuona muarabu ndie ndugu kisa dini ya mchongo, huo ni upumbavu.

Hizo dini zenu za mchongo hazina muda mrefu zitapotea kama sio kufa kwa kukosa mvuto kwa kizazi hiki na kijacho.
Ukweli mchunguu.
 
Mababu wa mababu wakifufuka wakaona wajukuu zao wanavyohangaika hawajui pa kushika watajilaumu sana kuruhusu dini kuwa njia ya ukoloni.
Nimechekaaaa sanaaaa yaan khaaaah
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mbinu za kwenda kuumaliza uislamu,stay tune.
Hizo mbinu zimeanza zaidi ya miaka 1000, kuna watu wakubwa wana nyadhifa kubwa kabisa ambao wanajulikana ni Anti-islam kutokana na kuandika vitabu kuupinga uisilamu ikabidi wausome uisilamu matokeo yake wakasilimu.
 
Mwarabu aliwaingiza mkenge kwenye dini yake na mkawa mazombi hata kumzii, waarabu wanawachukia sana weusi japo mnawashobokea kwenye dini yao na mikanzu yenu.
Na huyo mzungu unayemwabudu ni lini alikupenda wewe ngozi nyeusi? Hebu wacha hiyo misurupwete yako bwana
 
Na huyo mzungu unayemwabudu ni lini alikupenda wewe ngozi nyeusi? Hebu wacha hiyo misurupwete yako bwana

Mnawashobokea waarabu kwenye dini yao ila wanawachukia sana, na ajabu kibakuli huwa mnazungushwa kwa wazungu maana mnajua miungu wenu waarabu ni makatili ya kufa mtu.
 
Labda alinyanduliwa yeye,maana tuna wasiwasi ikiwa dhakari ilikua ikisimama

Umesama labda maana haipo popote, ila mungu wenu alinyandua katoto na imeandikwa kabisa kwenye vitabu vyenu.....
 
Umesama labda maana haipo popote, ila mungu wenu alinyandua katoto na imeandikwa kabisa kwenye vitabu vyenu.....
Juu ya mabega una buyu tu,wapi kwenye vitabu vyetu' imeandikwa Mungu wetu alinyandua!?
 
Kuna watu wanakurupuka sana haya ni mambo ya uraia wao wanachanganya na mambo ya dini.
South Africa pia wanawafukuza na kuwaua waafrika wenzao mbona hatusemi wakristo ni watu wabaya maana South Africa si nchi ya kiislamu

South afrika ni nchi ya kikristo?je katiba yao inasema hivyo,vipi kuhusu tunisia.
 
Acheni chuki na kuingiza udini kila sehem. Kwasbb wqmefanya waarbu nd mnaanza kuwatukna waislam kuwadhihaki mnafika mbali zaud hata kumtukana Mtume jaman sio vzr, tuchungeni ndimi zetu.

Mambo ya ubaguzi yapo tu msisahau hata uko kwa hao mnao waona ni wakamilifu Amerika na Ulaya ubaguzi upo wa hali ya juu, mbona hamsemi mambo ya udini?

Kitu akifanya muarabu kikiwa kibaya lazima lawama zitawaangukia Waislam na Mtume wao. Dah! Hatari hii

Pole sana,huwezi tenganisha uislamu na uarabu kiufupi uislam ni utamaduni wa waarabu.
 
Back
Top Bottom