Waafrika weusi wana vinasaba maalum vya usugu dhidi ya Corona?

Waafrika weusi wana vinasaba maalum vya usugu dhidi ya Corona?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nimejaribu kufuatilia pattern ya kusambaa kwa huu ugonjwa wa Corona, nimebaini japo huwa unapenda sehemu za baridi, lakini pia umekuwa ukiwapitia mbali watu weusi wenye asili ya Afrika

Hata huko China Waafrika weusi wapo, lakini naona kama wanaogelea bwawani bila kulowa, ugonjwa unawakwepa hivi.

Nakumbuka miaka ya zamani wazungu walipokuja Afrika walikufa kwa mafua tu ambayo wa Afrika ni kitu cha kawaida sana.

Je, vinasaba hivyo vya usugu wa mafua inawezekana ndio vinatukwepesha na haya mafua ya Corona?

AE55607F-3323-4EF7-939A-07E4962567B3.jpeg

Mmoja aliyekufa Egypt ni Mjerumani

===============================
Inasemekana kuwa ACE 2 gene ndiyo receptor wa Corona virus mwilini

Na Study imeonyesha kuwa Asians (Chinese) ndo naturally wana high expression wa Gene hii

Kundi linalofuatabkwa kuwa na highest expression ya hii gene ni Wazungu (Caucassians)

Then wanafuata mixed race (Machotara ya kizungu-blacks)

Pure black wana least expression ya hii ACE 2 receptors, which implies kwamba huenda virus keshatia timu africa lakini hakupata ushirikiano wa kutosha kushambulia miili yetu kwa sababu tuna poor receptors wa huyo virus[emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
====================================
Kwanini Corona haijatuathiri sana waafrika weusi? - JamiiForums
 
Acha ujinga.
Mwanzo umeropoka kuwa watu weusi corona inawapitia mbali, kuwa haiwagusi.
Umepewa ushahidi huo hapo juu, bado unataka wafe. Ukipewa waliokufa utataka wamezikwa wangapi.
Tumia akili.
But si ni kweli Kuna hizo rumours? Why entitled, atumie akili, venye unataka?
Kuna videos YouTube zinaelezea hata mazingira ya Africa yasivyo rafiki na corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sisi bado tunatakiwa kuchukua tahadhari ya hivi virus. Advantage yetu ni kuwa immune system yetu iko juu kutokana na mazingira yetu kwa kuwa tuko exposed na magonjwa mengi hatari kuliko haua kwa hiyo mbali ya watu wa bara letu wanayahimili.

Pia unaweza kukuta watu wengi tu wameyapata ila sisi issue kama mafua au kichwa kuuma, homa sijui watu hawaoni ni ugonjwa na hata saa nyingine ukiumwa unaenda hospitali wanakupima full blood picture wasipoona ugonjwa daktari anakushindilia dawa za typhoid, malaria no lazima upone.

Kingine mpaka sasa hakuna au hatuwezi kutambua kwa kuwa hakuna hivyo vipimo vya kutambua huo ugonjwa ndio maana nimesema watu watakuwa walishaumwa tu wakajiponea.Nakumbuka end of last year watu waliumwa mafua kichwa ya ajabu ikapita na hakuna aliyesema amelazwa kwanza hivo vitanda vya kuwalaza eti ni mafua viko wapi.Anyway tuchukue tahadhari
 
But si ni kweli Kuna hizo rumours? Why entitled, atumie akili, venye unataka?
Kuna videos YouTube zinaelezea hata mazingira ya Africa yasivyo rafiki na corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwanini unatumia takwimu ya idadi ya waathirika au walifariki?
hujui kama china asilimia kubwa wanaoishi huko ni wachina na siyo wazungu au waafrika?
ndo mana wao wameathirika zaidi
Na waliokufa ngozi nyrusi so far ni wangapi?
 
Nimejaribu kufuatilia pattern ya kusambaa kwa huu ugonjwa wa Corona, nimebaini japo huwa unapenda sehemu za baridi, lakini pia umekuwa ukiwapitia mbali watu weusi wenye asili ya Afrika, hata huko China waAfrika weusi wapo, lakini naona kama wanaogelea bwawani bila kulowa, ugonjwanunawakwepa hivi.
Nakumbuka miaka ya zamani wazungu walipokuja Afrika walikufa kwa mafua tu ambayo waAfrika ni kitu cha kawaida sana.
Je, vinasaba hivyo vya usugu wa mafua inawezekana ndio vinatukwepesha na haya mafua ya Corona?
Maisha magumu yanaweza kudumaza akili au yanaweza kuchangamsha akili
 
mnao uliza kuhusu Nigeria uyo mgeni alifikia kiwanda cha cement bila shaka alkua ni mfanya kazi pale dereva alie mpokea bila shaka ni black man tayr amesha ambukizwa na sasa kiwanda kime fungwa na tayari wafanyakazi wa hiko kiwanda wame wekwa quarantine
Screenshot_2020-02-29-08-49-20-105_com.instagram.android.jpeg
Screenshot_2020-02-29-08-49-32-898_com.instagram.android.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameshakufa wengi tu...ila bado kunakificho kikubwa juu ya hili...time will tell lakini

QUOTE="FRANCIS DA DON, post: 34519084, member: 168549"]
Nimejaribu kufuatilia pattern ya kusambaa kwa huu ugonjwa wa Corona, nimebaini japo huwa unapenda sehemu za baridi, lakini pia umekuwa ukiwapitia mbali watu weusi wenye asili ya Afrika, hata huko China waAfrika weusi wapo, lakini naona kama wanaogelea bwawani bila kulowa, ugonjwanunawakwepa hivi.
Nakumbuka miaka ya zamani wazungu walipokuja Afrika walikufa kwa mafua tu ambayo waAfrika ni kitu cha kawaida sana.
Je, vinasaba hivyo vya usugu wa mafua inawezekana ndio vinatukwepesha na haya mafua ya Corona?
[/QUOTE]
 
Assumptions bado zinaprove hilo, lakini no hypothesis test kuhusu hilo.

Yawezekana hawa virus siyo rafiki kwa mwafrika. Kutokana na hadi sasa hakuna hata asilimia 1% ya mwafrika aliye athilika waliopo wachache mno na wapo nje ya afrika.

##TAHADHARI NI MUHIMU,

Virus wanamtindo wa kufanya mutation changes kuendana na madhingira

Inawezekana kwa waafrika wakawa wanachelewa kuonesha dalili au wakawa nazo wakachukulia kawaida .kutokana na mafua ni jambo la kawaida kwa nchi za ukanda wa jangwa la Sahara

Nimejaribu kufuatilia pattern ya kusambaa kwa huu ugonjwa wa Corona, nimebaini japo huwa unapenda sehemu za baridi, lakini pia umekuwa ukiwapitia mbali watu weusi wenye asili ya Afrika, hata huko China waAfrika weusi wapo, lakini naona kama wanaogelea bwawani bila kulowa, ugonjwanunawakwepa hivi.
Nakumbuka miaka ya zamani wazungu walipokuja Afrika walikufa kwa mafua tu ambayo waAfrika ni kitu cha kawaida sana.
Je, vinasaba hivyo vya usugu wa mafua inawezekana ndio vinatukwepesha na haya mafua ya Corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hujaongelea HIV na ebola na hata malaria kwamba vinawakwepa watu weupe na weusi wanateketea. Changamoto za magonjwa mixer na ufukura imekuwa ni sehemu ya maisha ya mtu mweusi, acheni na wao wapumue kidogo..
 
kwanini unatumia takwimu ya idadi ya waathirika au walifariki?
hujui kama china asilimia kubwa wanaoishi huko ni wachina na siyo wazungu au waafrika?
ndo mana wao wameathirika zaidi
Na Afrika idadi kubwa ni waChina sio?
 
Haya majanga yanaletwa kulingana uwezo wa kupambana nayo itakuwa!!!!!!
 
Back
Top Bottom