Waafrika weusi wana vinasaba maalum vya usugu dhidi ya Corona?

Waafrika weusi wana vinasaba maalum vya usugu dhidi ya Corona?

Kwa sisi bado tunatakiwa kuchukua tahadhari ya hivi virus. Advantage yetu ni kuwa immune system yetu iko juu kutokana na mazingira yetu kwa kuwa tuko exposed na magonjwa mengi hatari kuliko haua kwa hiyo mbali ya watu wa bara letu wanayahimili.Pia unaweza kukuta watu wengi tu wameyapata ila sisi issue kama mafua au kichwa kuuma, homa sijui watu hawaoni ni ugonjwa na hata saa nyingine ukiumwa unaenda hospitali wanakupima full blood picture waskpoona ugonjwa daktari anakushindilia dawa za typhoid, malaria no lazima upone.Kingine mpaka sasa hakuna au hatuwezi kutambua kwa kuwa hakuna hivyo vipimo vya kutambua huo ugonjwa ndio maana nimesema watu watakuwa walishaumwa tu wakajiponea.Nakumbuka end of last year watu waliumwa mafua kichwa ya ajabu ikapita na hakuna aliyesema amelazwa kwanza hivo vitanda vya kuwalaza eti ni mafua viko wapi.Anyway tuchukue tahadhari
Yawezekana ni kweli maana na me nilipigwa mafua mwezi January .yalinichukua week mbili mpk napona. Nb sidhani kama ni corona yenyewe

-all is well-
 
Naijeria nao si wanakula mambo ya ajabu kama nyoka,konokono na kadhalika itakuwa ugonjwa unafuata wala vya ajabu. Si huku hata mbwa hatuli pole Yao waheheh.
 
Inasemekana kuwa ACE 2 gene ndiyo receptor wa Corona virus mwilini

Na Study imeonyesha kuwa Asians (Chinese) ndo naturally wana high expression wa Gene hii

Kundi linalofuatabkwa kuwa na highest expression ya hii gene ni Wazungu (Caucassians)

Then wanafuata mixed race (Machotara ya kizungu-blacks)

Pure black wana least expression ya hii ACE 2 receptors, which implies kwamba huenda virus keshatia timu africa lakini hakupata ushirikiano wa kutosha kushambulia miili yetu kwa sababu tuna poor receptors wa huyo virus[emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipigwa na mafua ya hatari kwa siku 2 - 3 mpaka apo juzi, koo linawasha balaa, nikahisi ndio corona yenyewe nini, mwamba mmoja akaniambia nichukue majivu nichanganye na chumvi niyalambe nikafanya hivo baada ya saa chache nimepona kabisa niko fresh naendelea na mishe zangu kama kawa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16]aisee majivu na chumvi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasemekana kuwa ACE 2 gene ndiyo receptor wa Corona virus mwilini

Na Study imeonyesha kuwa Asians (Chinese) ndo naturally wana high expression wa Gene hii

Kundi linalofuatabkwa kuwa na highest expression ya hii gene ni Wazungu (Caucassians)

Then wanafuata mixed race (Machotara ya kizungu-blacks)

Pure black wana least expression ya hii ACE 2 receptors, which implies kwamba huenda virus keshatia timu africa lakini hakupata ushirikiano wa kutosha kushambulia miili yetu kwa sababu tuna poor receptors wa huyo virus[emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee...!
 
Corona ,corona where is thy sting? Muhudumu ongeza moja.
 
Ukifatilia vizuri sisi waafrika tunaweza tukawa tunaishi na Corona katika miili yetu kwani tuna magonjwa mengi Sana ambayo hayatusumbui kiivyoo !!na wenzetu wakiyapata kifo akichezi mbali na wao,shida hivi Sasa tumeiga maisha ya kisasa na midawa mingi ya kizungu,na mwafrika wa hivyo ni mwepesi Sana kuugua na ndio wanaosumbuliwa na mafua, Hii Ni KAMA MZAHA lakini kwa watu wa vijijini inaweza mkuta kalala eneo lenye mbu na aumwi hiyo malaria ebu lala wewe hiyo siku Moja na umjini wako,dozi ya malaria inakuhusu,usasa umetuaribia Kinga zetu waafrika! Nimeandika kwa utani lakini kunaukweli mkubwa katika andiko langu[emoji40][emoji40][emoji40]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahihi kabisa nakumbuka kuna kipindi kulikuwa na mafua ya ajabu Sana, ho ma kuumwa kichwa Sana tena sana. Me pia nilikuwa miongoni mwa walioumwa but yalipita
Kwa sisi bado tunatakiwa kuchukua tahadhari ya hivi virus. Advantage yetu ni kuwa immune system yetu iko juu kutokana na mazingira yetu kwa kuwa tuko exposed na magonjwa mengi hatari kuliko haua kwa hiyo mbali ya watu wa bara letu wanayahimili.

Pia unaweza kukuta watu wengi tu wameyapata ila sisi issue kama mafua au kichwa kuuma, homa sijui watu hawaoni ni ugonjwa na hata saa nyingine ukiumwa unaenda hospitali wanakupima full blood picture wasipoona ugonjwa daktari anakushindilia dawa za typhoid, malaria no lazima upone.

Kingine mpaka sasa hakuna au hatuwezi kutambua kwa kuwa hakuna hivyo vipimo vya kutambua huo ugonjwa ndio maana nimesema watu watakuwa walishaumwa tu wakajiponea.Nakumbuka end of last year watu waliumwa mafua kichwa ya ajabu ikapita na hakuna aliyesema amelazwa kwanza hivo vitanda vya kuwalaza eti ni mafua viko wapi.Anyway tuchukue tahadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
99BF03C2-C9BB-490C-A5A1-8E92CC8554D1.jpeg
 
Nilipigwa na mafua ya hatari kwa siku 2 - 3 mpaka apo juzi, koo linawasha balaa, nikahisi ndio corona yenyewe nini, mwamba mmoja akaniambia nichukue majivu nichanganye na chumvi niyalambe nikafanya hivo baada ya saa chache nimepona kabisa niko fresh naendelea na mishe zangu kama kawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Salt+ base ===> DAWA ya mafua
 
Back
Top Bottom