ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Korona ileNilipigwa na mafua ya hatari kwa siku 2 - 3 mpaka apo juzi, koo linawasha balaa, nikahisi ndio corona yenyewe nini, mwamba mmoja akaniambia nichukue majivu nichanganye na chumvi niyalambe nikafanya hivo baada ya saa chache nimepona kabisa niko fresh naendelea na mishe zangu kama kawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app