ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Korona ileNilipigwa na mafua ya hatari kwa siku 2 - 3 mpaka apo juzi, koo linawasha balaa, nikahisi ndio corona yenyewe nini, mwamba mmoja akaniambia nichukue majivu nichanganye na chumvi niyalambe nikafanya hivo baada ya saa chache nimepona kabisa niko fresh naendelea na mishe zangu kama kawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa nakumbuka mwanzoni mwa mwaka huu kuna mafua kakari sana yalipita hata mimi nilipambana nayo yalikuwa yanaleta maumivu ya kichwa pamoja na homa maana nakumbuka tuliugua familia nzima lkn tulipona tena bila kutumia dawaKwa sisi bado tunatakiwa kuchukua tahadhari ya hivi virus. Advantage yetu ni kuwa immune system yetu iko juu kutokana na mazingira yetu kwa kuwa tuko exposed na magonjwa mengi hatari kuliko haua kwa hiyo mbali ya watu wa bara letu wanayahimili.
Pia unaweza kukuta watu wengi tu wameyapata ila sisi issue kama mafua au kichwa kuuma, homa sijui watu hawaoni ni ugonjwa na hata saa nyingine ukiumwa unaenda hospitali wanakupima full blood picture wasipoona ugonjwa daktari anakushindilia dawa za typhoid, malaria no lazima upone.
Kingine mpaka sasa hakuna au hatuwezi kutambua kwa kuwa hakuna hivyo vipimo vya kutambua huo ugonjwa ndio maana nimesema watu watakuwa walishaumwa tu wakajiponea.Nakumbuka end of last year watu waliumwa mafua kichwa ya ajabu ikapita na hakuna aliyesema amelazwa kwanza hivo vitanda vya kuwalaza eti ni mafua viko wapi.Anyway tuchukue tahadhari
😂😂😂
So hii idea watu.weusi Wana stronger immune
Hii Covid-19 ni mpya sana, bado hata wanasayansi hawajaichunguza na kuielewa vizuri.So hii idea watu.weusi Wana stronger immune
au hali ya hewa ya Africa south of Sahara sio rafiki Kwa corona virus ni sahihi?
Leo nimeona kumbe kina hide kwenye cellHii Covid-19 ni mpya sana, bado hata wanasayansi hawajaichunguza na kuielewa vizuri.
Walisema haiwadhuru sana vijana, tumeona vinginevyo. Walisema mambo mengi sana ambayo baada ya miezi michache wamegundua tofauti.
Sasa hivi wataalamu wanaona kirusi hiki kinaharibu si mapafu tu, bali mpaka moyo.
Kaiser Health News: Mysterious Heart Damage, Not Just Lung Troubles, Befalling COVID-19 Patients.
Mysterious Heart Damage, Not Just Lung Troubles, Befalling COVID-19 Patients
Kinachotakiwa kufanyika ni utafiti zaidi na peer review ili kupata uhakika zaidi.
Sent from my typewriter using Tapatalk
But si ni kweli Kuna hizo rumours? Why entitled, atumie akili, venye unataka?
Kuna videos YouTube zinaelezea hata mazingira ya Africa yasivyo rafiki na corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Afrika idadi kubwa ni waChina sio?
Linganisha ilivyosambaa ulaya marekani na jinsi inavyosambaa africa, linganisha wanaopona. Afu njoo tena, bado africa kuna ahueniBado una lakusema? Bado unatetea ujinga huu?
Kwahiyo lockdown ni kupoteza muda?Leo nimeona kumbe kina hide kwenye cell
So hata ukisema umepona na Ku test negative..baada ya mda kinaibuka unaumwa tena na wana test kipo..mwanzo walisema ukishaugua Tu unakuwa immune..
Kila siku mapya na hii Corona