Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
👤 Sawa wanasema ukiona baa uielewi hamia baa nyingine, ila hili sio sahihi kabisa mtu anafanya kazi toka saa moja mpaka sa 12 afu unampa elfu 4000 - sio pouwa.
👤 KIJANA UNAYEPAMBANA NA VIWANDANI KAMA UKO NA IDEA YA BIASHARA YA NGUO NITAKUPA MSINGI WA BIASHARA ACHANA NA VIWANDA.
👤 UWE NA EXPERIENCE LAKINI MAANA USIJE KWASABABU VIWANDAN MAMBO MAGUMU.
👤 Msingi kidogo unaweza kuingiza zaidi ya mara 3 ya hela hiyo unayopata kiwandani. Vijana wengi wanaogopa kujiajiri, bora kupata changamoto kwenye biashara yako kuliko kupata changamoto kwa biashara ya boss wako.
👤 Kuwa na mawazo ya kujiajiri na sio kuajiriwa "Ajira ni utumwa kila siku we utakuwa wa kutumikishwa mwisho unaweza shangaa unaumwa hicho kiwango unachopata hata akiwezi tosha matibabu.
Uwe na siku njema. Kutoa ni moyo sio utajiri
👤 KIJANA UNAYEPAMBANA NA VIWANDANI KAMA UKO NA IDEA YA BIASHARA YA NGUO NITAKUPA MSINGI WA BIASHARA ACHANA NA VIWANDA.
👤 UWE NA EXPERIENCE LAKINI MAANA USIJE KWASABABU VIWANDAN MAMBO MAGUMU.
👤 Msingi kidogo unaweza kuingiza zaidi ya mara 3 ya hela hiyo unayopata kiwandani. Vijana wengi wanaogopa kujiajiri, bora kupata changamoto kwenye biashara yako kuliko kupata changamoto kwa biashara ya boss wako.
👤 Kuwa na mawazo ya kujiajiri na sio kuajiriwa "Ajira ni utumwa kila siku we utakuwa wa kutumikishwa mwisho unaweza shangaa unaumwa hicho kiwango unachopata hata akiwezi tosha matibabu.
Uwe na siku njema. Kutoa ni moyo sio utajiri