Waajiri wanawapa wakati mgumu wahitimu wa vyuo kutafuta kazi

Waajiri wanawapa wakati mgumu wahitimu wa vyuo kutafuta kazi

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Leo kuna dogo kaja ana lalamika yani kaenda kwenye interview na alipofika amewakuta wale wanaomuuliza maswali wanaelewa sana kile alichokisomea yeye na hata wao hawajasomea course hiyo. Walimwambia kuwa hawamuhitaji kwani wanachuo wengi wanafundishwa kwa theory sana na sio practice.

Kwa stahili hii inaogopesha sasa kwani waajiri wengi hutafuta "uzoefu wa mda fulani " yaani work experience wakati watu ndio wamemaliza chuo.
 
Pole sana.

HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI.

PambanaZaidi/CottonandMore
 
Zama zimebadilika kabisa, na sisi wazaz hasa wa kuanzia 1980's kuja juu ndio wahanga sasa ukitaka kulea wanao kama ambavyo sisi tulilelewa kwa kuambiwa nenda shule soma upate kazi, utawapoteza watoto
Kabisa kabisa mkuu
 
Leo kuna dogo kaja ana lalamika yani alichokisomea anaambiwa alipofika wao wanaelewa kuliko yeye aliyesoma sababu wao wajasomea na hawana haja naye huku wakisema wachuo ni theory sio practice.

Kwa stahili hii inaogopesha sasa na utangulizi wenu "uzoefu wa mda fulani " wakati ndio wamemaliza chuo
Wasomi wetu hawa hawaambiwi kuhusu uhalisia wa ajira ukoje. Mitaala ina waaminisha wakimaliza tu wana kazi.
 
Back
Top Bottom