Tetesi: Waajiriwa wapya wa afya na elimu hawapewi hela ya kujikimu

Tetesi: Waajiriwa wapya wa afya na elimu hawapewi hela ya kujikimu

Samiaagain2025

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2020
Posts
3,626
Reaction score
3,869
Tunawauliza OR TAMISEMI,hivi ni nini maana ya "hela ya kujikimu"?
Waajiriwa wapya wa kada ya afya na elimu (walimu) walioajiriwa hivi karibuni wameshaanza kuripoti vituoni lakini hakuna hata halmashauri moja iliyowalipa waajiriwa hao fedha ya kujikimu.

Unajiuliza, Nini maana ya "hela ya kujikimu",Kama wanaenda kuanza kazi bila kupewa hiyi hela?

1.Je,hizi danadana zinafanywa na nani?

2.Hizi pesa zinatoka wapi, halmashauri au hazina?

3.Mbona kwa watumishi juu huwa hatusikii manyanyaso haya,pindi wanapoajiriwa?

NB: Mheshimiwa Ummy Mwalimu, wasaidie vijana hawa.

KAZI ITAENDELEAJE?
 
Wameeipoti tu na kuanza kulalamika ...ninakumbuka mwaka 2010 janury nilipoajiriwa halmashauri niliripoti nikaambiwa nikakae nyumbani nikawaomba nifanye kazi kwa kujitolea hadi fedha itakapotoka ..na nilikuja kuipata april
 
Kama unamaanisha subsistence allowance

hakuna asiyepata

Labda kama sijaelewa
 
Tunawauliza OR TAMISEMI,hivi ni nini maana ya "hela ya kujikimu"?
Waajiriwa wapya wa kada ya afya na elimu (walimu) walioajiriwa hivi karibuni wameshaanza kuripoti vituoni lakini hakuna hata halmashauri moja iliyowalipa waajiriwa hao fedha ya kujikimu.

Unajiuliza, Nini maana ya "hela ya kujikimu",Kama wanaenda kuanza kazi bila kupewa hiyi hela?

1.Je,hizi danadana zinafanywa na nani?

2.Hizi pesa zinatoka wapi, halmashauri au hazina?

3.Mbona kwa watumishi juu huwa hatusikii manyanyaso haya,pindi wanapoajiriwa?

NB: Mheshimiwa Ummy Mwalimu, wasaidie vijana hawa.



KAZI ITAENDELEAJE?

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Tunawauliza OR TAMISEMI,hivi ni nini maana ya "hela ya kujikimu"?
Waajiriwa wapya wa kada ya afya na elimu (walimu) walioajiriwa hivi karibuni wameshaanza kuripoti vituoni lakini hakuna hata halmashauri moja iliyowalipa waajiriwa hao fedha ya kujikimu.

Unajiuliza, Nini maana ya "hela ya kujikimu",Kama wanaenda kuanza kazi bila kupewa hiyi hela?

1.Je,hizi danadana zinafanywa na nani?

2.Hizi pesa zinatoka wapi, halmashauri au hazina?

3.Mbona kwa watumishi juu huwa hatusikii manyanyaso haya,pindi wanapoajiriwa?

NB: Mheshimiwa Ummy Mwalimu, wasaidie vijana hawa.



KAZI ITAENDELEAJE?
kama hutaki kazi acha, jiajiri
 
Tunawauliza OR TAMISEMI,hivi ni nini maana ya "hela ya kujikimu"?
Waajiriwa wapya wa kada ya afya na elimu (walimu) walioajiriwa hivi karibuni wameshaanza kuripoti vituoni lakini hakuna hata halmashauri moja iliyowalipa waajiriwa hao fedha ya kujikimu.

Unajiuliza, Nini maana ya "hela ya kujikimu",Kama wanaenda kuanza kazi bila kupewa hiyi hela?

1.Je,hizi danadana zinafanywa na nani?

2.Hizi pesa zinatoka wapi, halmashauri au hazina?

3.Mbona kwa watumishi juu huwa hatusikii manyanyaso haya,pindi wanapoajiriwa?

NB: Mheshimiwa Ummy Mwalimu, wasaidie vijana hawa.



KAZI ITAENDELEAJE?
Unajua JPM sio kama alikuwa mjinga kutokuajiri kwa mkupuo kama hivo ila alijua kuwa ukiwaajiri wanahitaji pesa za kujikimu hapo ukisema usilipe ndo tunarudi kule ambako unasikia watumishi wanazidai serikali hela zao rukuki ndiyo hizo za kujikumu pamoja na zile za uamisho.
 
Tunawauliza OR TAMISEMI,hivi ni nini maana ya "hela ya kujikimu"?
Waajiriwa wapya wa kada ya afya na elimu (walimu) walioajiriwa hivi karibuni wameshaanza kuripoti vituoni lakini hakuna hata halmashauri moja iliyowalipa waajiriwa hao fedha ya kujikimu.

Unajiuliza, Nini maana ya "hela ya kujikimu",Kama wanaenda kuanza kazi bila kupewa hiyi hela?

1.Je,hizi danadana zinafanywa na nani?

2.Hizi pesa zinatoka wapi, halmashauri au hazina?

3.Mbona kwa watumishi juu huwa hatusikii manyanyaso haya,pindi wanapoajiriwa?

NB: Mheshimiwa Ummy Mwalimu, wasaidie vijana hawa.



KAZI ITAENDELEAJE?
Kwani pesa ya kujikimu ni sheria au ukarimu tu wa halmashauri husika ???

Anyway, mimi naamini muhimu ni kuwahi kuwekwa kwenye payroll mapema ili tarehe 25 mpate mishahara.

Nchi yetu tunaijua ilivyo na suala la pesa ya kujikimu ni jukumu la halmashauri na halmashauri zetu tunazijua.

Binafsi naona lawama hazifai, shukuru Mungu kwa hiyo ajira inatosha.

Vinginevyo utajikuta ni mzee wa malalamiko miaka nenda rudi.
 
Kwani pesa ya kujikimu ni sheria au ukarimu tu wa halmashauri husika ???

Anyway, mimi naamini muhimu ni kuwahi kuwekwa kwenye payroll mapema ili tarehe 25 mpate mishahara.

Nchi yetu tunaijua ilivyo na suala la pesa ya kujikimu ni jukumu la halmashauri na halmashauri zetu tunazijua.

Binafsi naona lawama hazifai, shukuru Mungu kwa hiyo ajira inatosha.

Vinginevyo utajikuta ni mzee wa malalamiko miaka nenda rudi.
Pesa ya kujikimu siyo hiari.
Sema watanganyika ni wavivu wa kujua haki zao.
 
Wameeipoti tu na kuanza kulalamika ...ninakumbuka mwaka 2010 janury nilipoajiriwa halmashauri niliripoti nikaambiwa nikakae nyumbani nikawaomba nifanye kazi kwa kujitolea hadi fedha itakapotoka ..na nilikuja kuipata april
Acha uongo uongo.
 
Mbona Watanzania mmekuwa mafara hivi? Yaani hata kudai haki zenu mnaona uvivu? Pesa ya kujikimu mtu anapohajiriwa siyo huruma ya mtu. Ni pesa ambayo ipo kitaratibu na ina maana yake. Sasa wewe unamwona huyu anayelalamika ni mjinga? Mjinga ni wewe.
Bro,

Kafanye kazi kwa MASLAHI MAPANA YA TAIFA, wewe Ni miongoni Kati ya laki uliebahatika kupata kazi.

Kafanye kazi
 
Tunawauliza OR TAMISEMI,hivi ni nini maana ya "hela ya kujikimu"?
Waajiriwa wapya wa kada ya afya na elimu (walimu) walioajiriwa hivi karibuni wameshaanza kuripoti vituoni lakini hakuna hata halmashauri moja iliyowalipa waajiriwa hao fedha ya kujikimu.

Unajiuliza, Nini maana ya "hela ya kujikimu",Kama wanaenda kuanza kazi bila kupewa hiyi hela?

1.Je,hizi danadana zinafanywa na nani?

2.Hizi pesa zinatoka wapi, halmashauri au hazina?

3.Mbona kwa watumishi juu huwa hatusikii manyanyaso haya,pindi wanapoajiriwa?

NB: Mheshimiwa Ummy Mwalimu, wasaidie vijana hawa.



KAZI ITAENDELEAJE?
Dah mbona unalalamika mapema hivo

Sisi wengine ilichujuwa zaidi ya mwaka mmoja hatukulipwa.

Tulia CHAPA KAZI
 
Back
Top Bottom