Posho ya kujikimu ni haki ya mtumishi. Acha kuwafanyia mzaha watu wengine. Ingekuwa wewe ungesema hivyo?Bro,
Kafanye kazi kwa MASLAHI MAPANA YA TAIFA, wewe Ni miongoni Kati ya laki uliebahatika kupata kazi.
Kafanye kazi
Unajua haki za mfanyakazi au ?Weka huo ulazima kwa misingi ya kisheria ?
Huyu keshaajiriwa. Haki zake ziheshimiwe.Tufundishwe mind set kujiajiri aseee huko mbele watoto wetu wasije dhalilika maana ajira zinazidi kuwa finyu.,...tujiajiri
Read the Employment and labour relations Act,2007.Weka huo ulazima kwa misingi ya kisheria ?
Mjinga huandika chochote.Acha kazi
You try to think correctly,thing again accurately.Halmashauri haiwezi kuandaa pesa ya kujikimu,ukaikuta unapoenda kuripoti kwani haifamu ni yupi ataripoti au hatoripoti....kuna siku 14 za kwenda kufunga mizigo ndio uende kuanza kazi ....nenda kaage familia ukirudi utaikuta ipo.......
Maigizo mengi mno hizi serikali zetu.Nilitaka kuanzisha uzi kuhusu hili pia!
juzi nikiwa halmashauri moja wapo nliwauliza hiki kitu! nkaambiwa hela ya kujikimu ni "LABDA" mpaka mwezi ujao! nkawauliza sasa katika hiki kipindi chote mtu unaishije!? wakasema hiyo hawajui ni kutafuta alternative! nikawaambia sasa kama ni hivo vipi kuhusu salary!? ntapata mwezi huu!? nayo wakasema LABDA mpka mwezi ujao nlichoka sana!
nkawaambia sasa nataka kuchukua 14 days ntafute pesa mwenyewe na kujiandaa maana huu mkoa sijawahi fika! wakakataaa kua mwisho ni seven days!
nkajiuliza ina maana wanaajiri watu ilihali hawajajiandaa kuwapa angalau hiyo posho ya kujikimu!? nakumbuka yule bwana shemdoe wakati anatangaza alisema watakaochukua ila wasiripoti watashughulikiwa kumbe ilikua siasa tu kuonesha inawahi kutoka ilhali hakuna!?
nimeamua nirudi kwenye biashara yangu na kwa heshima ya kizalendo nataka serikali itafute mtu wa kuni replace, nimerejista kila kitu siku ntakayoona wameweka hyo hela ndo ntaenda! wasipoweka watafute mtu mwingine!
japo nna shida ila nisigeuzwe punda!
asanteni!
Akafanyeje?wlwaelekeze namna Kama unafahamu.Kwani yeye ndo alilipa kwa wakati? Tulioajiriwa enzi za JPM tulipata hiyo pesa after 2/3 months. Yeye akafanye kazi pesa atalipwa tuu