dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,906
- 8,243
ma-CEO kwenye vilabu vingi sio watu wa mpira, hasa vilabu vinavyoendeshwa kwa mfumo wa umiliki binafsi,,,,Barba ni zero kwenye football management alikuwa anapewa sifa ambazo sio zake wachezaji wengi waliosajiliwa chini yake ni magarasa
mambo ya mpira kuna watu wake, CEO ni mgt ya kampuni