Waajiriwa wote sio matajiri?

Waajiriwa wote sio matajiri?

Wananipa kuwaza sana. Kuna ma mtu yameajiriaa na makampuni na mashirika makubwa yanakuja almost 5m+ kwa mwezi, sasa najiuliza hawa sio matajiri? Au utajiri unaanzia mol ngap?
Daaah uliposema tu wanakunja 5m+, nikajua bado ndio umetoka chuo au unamalizia chuo..umeona hiyo 5m+ nyingi sanaa?

ila matajiri wa kuajiriwa hawapo, ila wapo wengi wenye uchumi wa kati, middle class..ila ukwasi wa kuitwa matajiti hawapo.
 
Matajiri WANAAJIRI, HAWAAJIRIWI.

matajiri pesa hufanya kazi kwa ajili Yao, hawafanyi kazi kwa ajili ya kupata pesa.

Hakuna TAJIRI ALIYEAJIRIWA.

TAJIRI hupanga maisha yake kwa asilimia kubwa na hapangiwi.

Matajiri wana Financial freedom.. unapataje hivyo kama Kuna watu au mtu ndio anaamua wewe ulipwe Nini?

Anyway... Hakuna tajiri ALIYEAJIRIWA.
 
Matajiri WANAAJIRI, HAWAAJIRIWI.

matajiri pesa hufanya kazi kwa ajili Yao, hawafanyi kazi kwa ajili ya kupata pesa.

Hakuna TAJIRI ALIYEAJIRIWA.

TAJIRI hupanga maisha yake kwa asilimia kubwa na hapangiwi.

Matajiri wana Financial freedom.. unapataje hivyo kama Kuna watu au mtu ndio anaamua wewe ulipwe Nini?

Anyway... Hakuna tajiri ALIYEAJIRIWA.
Ishu ni kwamba kupitia ajira yako unaweza vip kuwa tajiri yaani labda uwe na side hustling unatoa pesa ya huku unapeleka huko.

Ni jinsi gani wanafeli kufanya ajira zao kuwa kama mtaji wa kufika mbali..
 
Heshima zenu wana nzengo.

Jamani nina swali, kuna nyuzi nyingi humu jf, zikidai kuwa huwezi kuwa tajiri kwa kuajiriwa. Sasa swali langu ni kwamba je waajiriwa wote wa serikali sio matajiri?? Mfano mawaziri, wakuu wa wilaya na mikoa, ma daktari wakubwa na wengine kama hawa, je hawa sio matajiri?
Ukiona mwajiriwa tajiri ujue ni fisadi au mwizi kwa lugha nyingine.
Ukimwambia akupe mchanganuo wa mishahara yake aliyopokea imemsaidia vipi kuwa tajiri hatoweza kukupa
 
Ishu ni kwamba kupitia ajira yako unaweza vip kuwa tajiri yaani labda uwe na side hustling unatoa pesa ya huku unapeleka huko.

Ni jinsi gani wanafeli kufanya ajira zao kuwa kama mtaji wa kufika mbali..
1. Earning income to

2. Passive income to

3. Portfolio income to

Hizo transition zinahitaji muda wa kutosha na elimu, ambayo ni wachache Sanaa wataweza kumudu.

Kutumikia mabwana wawili ni changamoto..

Finally wanaweza kufika hatua ya tatu wanaacha kazi walizoajiriwa nazo (kuwapa mtaji) na kufanya kazi zao...

Sababu ya kufeli ni ukosefu wa elimu...
 
1. Earning income to

2. Passive income to

3. Portfolio income to

Hizo transition zinahitaji muda wa kutosha na elimu, ambayo ni wachache Sanaa wataweza kumudu.

Kutumikia mabwana wawili ni changamoto..

Finally wanaweza kufika hatua ya tatu wanaacha kazi walizoajiriwa nazo (kuwapa mtaji) na kufanya kazi zao...

Sababu ya kufeli ni ukosefu wa elimu...
Ila ajira Inadumaza na vile unapta pesa bila ya kutumia nguvu basi akili inalala kabisa huwezi fikiria nje ya box inakuja shangaa una majukumu kiboa haya kusave pesa mda haitoshi.
 
Naomba kujua kwa sheria izi level inachukua mda kazini kwa experience kazini mpaka uzifikie.

1.principal officer
2.Manager
3. Kuwa katika board of directors
 
Matajiri WANAAJIRI, HAWAAJIRIWI.

matajiri pesa hufanya kazi kwa ajili Yao, hawafanyi kazi kwa ajili ya kupata pesa.

Hakuna TAJIRI ALIYEAJIRIWA.

TAJIRI hupanga maisha yake kwa asilimia kubwa na hapangiwi.

Matajiri wana Financial freedom.. unapataje hivyo kama Kuna watu au mtu ndio anaamua wewe ulipwe Nini?

Anyway... Hakuna tajiri ALIYEAJIRIWA.
CEO wa Google Sundar Pichai
ana utajiri $1.3 billion,huyu Ni maskini?
 
"Huwezi kuwa tajiri kwa kuajiriwa" kauli hii imekaa Kimotivational zaidi na mara nyingi hutamkwa na watu wanaojaribu kusisitiza suala la kujiajiri binafsi kupitia Ujasiriamali lakini kitu watu wengi wasichokijua nikwamba ajira ina mahusianano makubwa sana na kujiajiri binafsi na vitu hivi viwili hutegemeana kwa kiasi kikubwa. Kutajirika siyo lazima mtu uanzie chini kabisa na bishara ya genge au kuuza karanga. Matajiri wengi wamepata utajiri wao baada ya kuajiriwa na kupata mitaji yao kupitia hizo ajira wakaja kufungua mamiradi ya maana.

Huwezi kufungua biashara ya uhakika pasipokuwa na mtaji na haijalishi mtaji umeupata kwa kudunduliza biashara ya karanga na ubuyu ama umeupata kutoakana na mshahara wa kazi ya uhandisi, vyote hivyo ni vyanzo vya mtaji na mtu anaweza kuwekeza na kuwa bilionea.

Kwahiyo si sahihi kusema eti, mtu hawezi kutajirika kwa kazi ya ajira kwani utajiri ni mchakato unaohitaji uwekezaji iwe ni pesa za mshahara au faida kutokana na biashara. Ni kitu hutaamini lakini walioajiriwa wana fursa kubwa zaidi ya kuwa matajiri maanake wana access kubwa zaidi ya kupata mtaji kuliko mtu anaye hustle na biashara ndogondogo, mwajiriwa ana uwezo wa kukopa kiurahisi na akakopesheka wakati huohuo akiwa na uhakika wa mshahara kila mwezi, akijinyima kidogo tu tayari ana mtaji kwasababu mradi wake hatagusa faida itakayopatikana bali mshahara wake.
Hapa ulichoongea kiko sahihi lakini umetoka nje ya mada kidogo.
Mada yetu haisemi kwamba mtu aliyeajiriwa hatokuwa tajiri akiset mipango yake ya baadae.
Mada yetu inasema hakuna tajiri ambaye ni mwajiriwa,kwa maana ya kwamba unaweza kutumia ajira kupata mtaji ukaanzisha biashara zako kisha ukaachana na ajira ukaenda kusimamia biashara zako na baadae kuwa tajiri hii inawezekana na hakuna anayepinga hili.
 
CEO wa Google Sundar Pichai
ana utajiri $1.3 billion,huyu Ni maskini?
Yeah..

Ni mtumwa tu

Halafu Mtu kutofit vigezo vya kuwa tajiri jaimaanishi Mtu huyo masikini..

Otherwise kama utafanya comparison
 
Sijui hoja yako nini ila ipo wazi huko kwenye siasa kwa sasa ni biashara watu wanatumia pesa nyingi kupata kuungwa mkono
 
Tatizo ni hiyo ajira ya kukupa utajiri, na je itakuchukua muda gani na kujitoa kiasi gani kufikia huo mshahara mnono.

Matajiri wa ajira wapo nchi za wenzetu huko, hedge fund managers and CEOs of big companies
 
Back
Top Bottom