Waalimu jiandaeni Kwa Written kuanzia alhamis ijayo.

Waalimu jiandaeni Kwa Written kuanzia alhamis ijayo.

October 2pm

Senior Member
Joined
May 2, 2023
Posts
106
Reaction score
282
Mjiandae..

Tayari baadhi mmeshaanza kuona mabadiliko katika account zenu. Utathibitisha Mkoa àmbao upo tayari kwaajili ya usaili, Kwa wale wale watakaofanikiwa kuendelea na Oral.

Kisha watakaofauli Oral watapangiwa vituo vya Kazi Kulingana na serikali itakavyoona.

Jiandaeni vizuri. Maswali mengi yatajikita kwèñye reason capacity aliyonayo Mwalimu katika Taaluma Yake ya Ualimu, machache yatahusu masomo anayofundisha. Lakini kwèñye Oral ndîo maswali mengi yatajikita kwèñye masomo ya kufundisha.
 
manzoni nilichagua Dodoma na moro ila mimi nipo tabora na statua yangu ilikuja ikionesha mikoa nikiyoiomba awali vipi siwezi itema na kuomba mikoa yote na masomo yote tabora ili kuepusha gharama za usafiri??? Asante.
 
manzoni nilichagua Dodoma na moro ila mimi nipo tabora na statua yangu ilikuja ikionesha mikoa nikiyoiomba awali vipi siwezi itema na kuomba mikoa yote na masomo yote tabora ili kuepusha gharama za usafiri??? Asante.

Mbona jibu lipo wazi.
Wamekuwekea uthibitishe sehemu Ambazo utakuwa comfortable kufanya usaili ili kuepusha gharama.
Hivyo Mtu Kama yupo Dodoma anaweza kuchagua Dodoma au maeneo ya Karibu na Dodoma Kwa interview Zake zote Mbili.

Kuliko Ile umepangiwa Arusha na Morogoro

Ila vituo vya Kazi ndîo utachaguliwa popote
 
Maswali muhimu ya kujiandaa nayo kama Mwalimu;

1. What is your teaching philosophy?
2. Why are you become a teacher?
3. How technology and teaching medi affect your teaching during classroom?

4. How can you help one students with hearing impairment among other students during your instruction?

5. Explain what problem you expect in teaching

6. Assume most of your students in classroom are active learners, which teaching style will you use?

7. Explain your approach for classroom management

8. What are role of assesments in teaching and learning?
 
Maswali muhimu ya kujiandaa nayo kama Mwalimu;

1. What is your teaching philosophy?
2. Why are you become a teacher?
3. How technology and teaching medi affect your teaching during classroom?

4. How can you help one students with hearing impairment among other students during your instruction?

5. Explain what problem you expect in teaching

6. Assume most of your students in classroom are active learners, which teaching style will you use?

7. Explain your approach for classroom management

8. What are role of assesments in teaching and learning?
 
1. Tell us about yourself
. a) Personal details, full name, place of origin and year of birth.
b) Education background
Primary, secondary and university
c) Working experience
Dakika 2

2. explain how Politics may affect education sector

3. How will you manage the classroom of many students
 
Mjiandae..

Tayari baadhi mmeshaanza kuona mabadiliko katika account zenu. Utathibitisha Mkoa àmbao upo tayari kwaajili ya usaili, Kwa wale wale watakaofanikiwa kuendelea na Oral.

Kisha watakaofauli Oral watapangiwa vituo vya Kazi Kulingana na serikali itakavyoona.

Jiandaeni vizuri. Maswali mengi yatajikita kwèñye reason capacity aliyonayo Mwalimu katika Taaluma Yake ya Ualimu, machache yatahusu masomo anayofundisha. Lakini kwèñye Oral ndîo maswali mengi yatajikita kwèñye masomo ya kufundisha.
Kwa maan nyingine mtihani utakuwa tofauti,maana Kila mwalimu ana different teaching subjects
 
Kwa maan nyingine mtihani utakuwa tofauti,maana Kila mwalimu ana different teaching subjects

Mtihani utakuwa NI mmoja Kwa weñye masomo yanayofanana.
Kwèñye kipengele cha subject matter ambacho lengo la mtihani katika kipengele hicho siô tena reason ability Bali memory ability.

Ila vipengele vingine vyote vitakuwa Sawa na waalimu wa masomo mengine.
 
Maswali muhimu ya kujiandaa nayo kama Mwalimu;

1. What is your teaching philosophy?
2. Why are you become a teacher?
3. How technology and teaching medi affect your teaching during classroom?

4. How can you help one students with hearing impairment among other students during your instruction?

5. Explain what problem you expect in teaching

6. Assume most of your students in classroom are active learners, which teaching style will you use?

7. Explain your approach for classroom management

8. What are role of assesments in teaching and learning?
Haya ni kwenye written au oral?
 
Mtihani utakuwa NI mmoja Kwa weñye masomo yanayofanana.
Kwèñye kipengele cha subject matter ambacho lengo la mtihani katika kipengele hicho siô tena reason ability Bali memory ability.

Ila vipengele vingine vyote vitakuwa Sawa na waalimu wa masomo mengine.
So mwalimu wa Chemistry na Biology atafanya mitihani miwili tofauti
 
Kama Taifa kuna haja ya kutoa hsmasa kwa watu kujitegemea au sera ya kujitegemea irudishwe

Watu wanakaa kusubiri ajira bila kujishughulisha uchumi utakuwa kweli?
Upo sahihi sana ila hata hawa waosubili ajira wanatamani wangekuwa wanajishughulisha ila tatizo kubwa ni kwamba hakuna mahali kwa nyakati tulizo nazo unewaza wekeza nguvu na akili bila mtaji wa fedha. Tusijidanganye eti unaweza kujiakili kwa mtaji wa 50 elfu, hapo nikutafuta ela ya kula tu.
 
Back
Top Bottom