Waalimu jiandaeni Kwa Written kuanzia alhamis ijayo.

Waalimu jiandaeni Kwa Written kuanzia alhamis ijayo.

Kama Taifa kuna haja ya kutoa hsmasa kwa watu kujitegemea au sera ya kujitegemea irudishwe

Watu wanakaa kusubiri ajira bila kujishughulisha uchumi utakuwa kweli?
Ni rahisi saana kumshauri mtu ajiajiri! Ila kujiajiri sio jambo la lelemama...mazingira wezeshi n muhimu.....uko na vyeti huna hata mia na umesomea urubanin...ukajiajiri kurusha nn? Mapepo🙄🙄🙄
 
Maswali muhimu ya kujiandaa nayo kama Mwalimu;

1. What is your teaching philosophy?
2. Why are you become a teacher?
3. How technology and teaching medi affect your teaching during classroom?

4. How can you help one students with hearing impairment among other students during your instruction?

5. Explain what problem you expect in teaching

6. Assume most of your students in classroom are active learners, which teaching style will you use?

7. Explain your approach for classroom management

8. What are role of assesments in teaching and learning?
Tupe mfano wa majibu basi mkuu.
 
Kwèñye subject matter maswali lazima yawe tofauti
Hujanijibu this means, Kila somo litakuwa na mtihani wake ambao umo ndo Kuna maswahi ya education Kwa wote,,Sasa huoni mitihani itafanyika siku tofauti maana masomo Yako kma 12
 
Kama Taifa kuna haja ya kutoa hsmasa kwa watu kujitegemea au sera ya kujitegemea irudishwe

Watu wanakaa kusubiri ajira bila kujishughulisha uchumi utakuwa kweli?
Kuna uhusiano gani na mada iliyopo mezani?
 
Kama Taifa kuna haja ya kutoa hsmasa kwa watu kujitegemea au sera ya kujitegemea irudishwe

Watu wanakaa kusubiri ajira bila kujishughulisha uchumi utakuwa kweli?
Una uhakika watu hawajishughulishi?
 
Acheni kutesa watoto wa watu.
Wapeni ajira kwa kutumia mfumo wa 'Santa Kalawe' mwenye kupata apate, mwenye kukosa leo apate kesho.
Utaratibu wa kupata ajira duniani kote ni kupitia usaili!
 
Hujanijibu this means, Kila somo litakuwa na mtihani wake ambao umo ndo Kuna maswahi ya education Kwa wote,,Sasa huoni mitihani itafanyika siku tofauti maana masomo Yako kma 12
Wewe jiandae na usaili! Utumishi wanajua chakufanya!
 
Back
Top Bottom