October 2pm
Senior Member
- May 2, 2023
- 106
- 282
- Thread starter
-
- #21
Acheni kutesa watoto wa watu.
Wapeni ajira kwa kutumia mfumo wa 'Santa Kalawe' mwenye kupata apate, mwenye kukosa leo apate kesho.
Ni rahisi saana kumshauri mtu ajiajiri! Ila kujiajiri sio jambo la lelemama...mazingira wezeshi n muhimu.....uko na vyeti huna hata mia na umesomea urubanin...ukajiajiri kurusha nn? Mapepo🙄🙄🙄Kama Taifa kuna haja ya kutoa hsmasa kwa watu kujitegemea au sera ya kujitegemea irudishwe
Watu wanakaa kusubiri ajira bila kujishughulisha uchumi utakuwa kweli?
Tupe mfano wa majibu basi mkuu.Maswali muhimu ya kujiandaa nayo kama Mwalimu;
1. What is your teaching philosophy?
2. Why are you become a teacher?
3. How technology and teaching medi affect your teaching during classroom?
4. How can you help one students with hearing impairment among other students during your instruction?
5. Explain what problem you expect in teaching
6. Assume most of your students in classroom are active learners, which teaching style will you use?
7. Explain your approach for classroom management
8. What are role of assesments in teaching and learning?
Hujanijibu this means, Kila somo litakuwa na mtihani wake ambao umo ndo Kuna maswahi ya education Kwa wote,,Sasa huoni mitihani itafanyika siku tofauti maana masomo Yako kma 12Kwèñye subject matter maswali lazima yawe tofauti
Hiyo ndiyo bahati yako sasaSafi
Safari hii hambebwi hovyo, lazima upambanie nafasi unayotaka.Acheni kutesa watoto wa watu.
Wapeni ajira kwa kutumia mfumo wa 'Santa Kalawe' mwenye kupata apate, mwenye kukosa leo apate kesho.
Kuna uhusiano gani na mada iliyopo mezani?Kama Taifa kuna haja ya kutoa hsmasa kwa watu kujitegemea au sera ya kujitegemea irudishwe
Watu wanakaa kusubiri ajira bila kujishughulisha uchumi utakuwa kweli?
Hakuna neno bahati kwenye nchi ya namna hii labda wasaili wangekuwa malaika...Hiyo ndiyo bahati yako sasa
Umelia sana kutafuta ajira mwalimu wa English
Cheza kama pele uchukue kombe
Una uhakika watu hawajishughulishi?Kama Taifa kuna haja ya kutoa hsmasa kwa watu kujitegemea au sera ya kujitegemea irudishwe
Watu wanakaa kusubiri ajira bila kujishughulisha uchumi utakuwa kweli?
Utaratibu wa kupata ajira duniani kote ni kupitia usaili!Acheni kutesa watoto wa watu.
Wapeni ajira kwa kutumia mfumo wa 'Santa Kalawe' mwenye kupata apate, mwenye kukosa leo apate kesho.
Wewe jiandae na usaili! Utumishi wanajua chakufanya!Hujanijibu this means, Kila somo litakuwa na mtihani wake ambao umo ndo Kuna maswahi ya education Kwa wote,,Sasa huoni mitihani itafanyika siku tofauti maana masomo Yako kma 12
Hii inaleta upendeleo.Utaratibu wa kupata ajira duniani kote ni kupitia usaili!
Ww huna akiliHii inaleta upendeleo.
Mwee!Ww huna akili