Wafanyabiashara wa Kariakoo wameonesha weledi mkubwa katika kuelezea kero zao mbele ya waziri mkuu Kassim Majaliwa. Wengi wa wafanyabiashara hawajasoma sana kama waalimu, wahadhiri, madaktari, nk. Wasomi tunashindwa wapi!
Waalimu wana kero nyingi lakini hawathubutu kuzungumzia kero zao. Madaktari mishahara kiduchu lakini wapo bize tu na makoti yao meupe.
Tunakwama wapi wasomi?! Tunashindwa hata kugoma? Tufunguke watu wa sekta zote kwani kudai haki zetu ndio mwanzo wa kuzipata.
Waalimu wana kero nyingi lakini hawathubutu kuzungumzia kero zao. Madaktari mishahara kiduchu lakini wapo bize tu na makoti yao meupe.
Tunakwama wapi wasomi?! Tunashindwa hata kugoma? Tufunguke watu wa sekta zote kwani kudai haki zetu ndio mwanzo wa kuzipata.