Waamini wanaume wasiobadilisha avator zao na usiwaamini wanawake wasiobalisha avator zao

Waamini wanaume wasiobadilisha avator zao na usiwaamini wanawake wasiobalisha avator zao

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Kwa mara ya kwanza napost ndani ya jukwaa hili,,wenyeji hope mko poa kabisa

Sifa ya wanaume ni misimamo,kama mwanaume hana msimamo basi kuna shida pahala,mwanaume akisema jambo linatakiwa liwe hivyo jana leo na kesho,kwahiyo wanaume wenye misimamo mara nyingi huwa wakweli na hao ndio wa kuaminiwa

Kwahiyo madam kama unataka kuhang out na mwamba basi chagua mwamba mwenye misimamo,,mwanaume mwenye msimamo utaona hata huwa habadilishi avator yake,hizi ni small details ambazo ni muhimu sana

Tuishi maisha marefu miamba wote ambao avator zetu tangu tuziweke zipo vile vile kwani inaonyesha tuna misimamo daima

Mwanamke ni mtu au kiumbe ambaye misimamo ni sifuri,ndio maana anaweza kupewa kila kitu lakini akaongezwa kitunguu au nyanya na muuza genge akaona anapendwa na hivyo kuamua kumbless muuza genge

Kwahiyo ni kawaida hata madam zetu kubadilisha avator zao kwasababu ndio maumbile yao,,sasa ukikutana na mwanamke ambaye hajawahi kubadilisha avator yake basi ujue huyo ana misimamo yake,,kwahiyo mwamba kama una hang out na mtu huyu basi uwe na akili kubwa

Lakini ieleweke hapa si kila mwanamke asiyebadilisha avator ana hulka hiyo wengine ni maamuzi yao tu

Haya ni maoni ya mwandishi na si lazima yawe yana ukweli asilimia mia moja

Ni hayo tu!
 
Da
Kwa mara ya kwanza napost ndani ya jukwaa hili,,wenyeji hope mko poa kabisa

Sifa ya wanaume ni misimamo,kama mwanaume hana msimamo basi kuna shida pahala,mwanaume akisema jambo linatakiwa liwe hivyo jana leo na kesho,kwahiyo wanaume wenye misimamo mara nyingi huwa wakweli na hao ndio wa kuaminiwa

Kwahiyo madam kama unataka kuhang out na mwamba basi chagua mwamba mwenye misimamo,,mwanaume mwenye msimamo utaona hata huwa habadilishi avator yake,hizi ni small details ambazo ni muhimu sana

Tuishi maisha marefu miamba wote ambao avator zetu tangu tuziweke zipo vile vile kwani inaonyesha tuna misimamo daima

Mwanamke ni mtu au kiumbe ambaye misimamo ni sifuri,ndio maana anaweza kupewa kila kitu lakini akaongezwa kitunguu au nyanya na muuza genge akaona anapendwa na hivyo kuamua kumbless muuza genge

Kwahiyo ni kawaida hata madam zetu kubadilisha avator zao kwasababu ndio maumbile yao,,sasa ukikutana na mwanamke ambaye hajawahi kubadilisha avator yake basi ujue huyo ana misimamo yake,,kwahiyo mwamba kama una hang out na mtu huyu basi uwe na akili kubwa

Lakini ieleweke hapa si kila mwanamke asiyebadilisha avator ana hulka hiyo wengine ni maamuzi yao tu

Haya ni maoni ya mwandishi na si lazima yawe yana ukweli asilimia mia moja

Ni hayo tu!
Sawa
 
Sura ya mwanaume huwa haibadiliki badiliki. Wamawake ndo mara meckup, mara wigi sijui blitch.

Usipokuwa makini na kuchagua mke unaweza pishana na mkeo baada ya kutoka saluni ukamwambia za sa hizi dada? Maana alitoka na wigi jioni yupo na blitch.
 
Sura ya mwanaume huwa haibadiliki badiliki. Wamawake ndo mara meckup, mara wigi sijui blitch.

Usipokuwa makini na kuchagua mke unaweza pishana na mkeo baada ya kutoka saluni ukamwambia za sa hizi dada? Maana alitoka na wigi jioni yupo na blitch.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom