Mm shabiki wa Simba kindaki ndaki ila ile ni penalty na lile ni goli wala co offside, ni kweli kuna wachezaji wa Berkane walikuwa offside lkn aliyefunga alikuwa nyuma ya mchezaji wetu, yani tumebebwa wazi wazi kabisa.
Alafu muda wa nyongeza pia tumebebwa, mpira ulisimama kwa takribani dk 6 lkn refa akaongeza dk 4 alafu ndani ya hzo dk 4 zimechezwa mbili, tunamshukuru refa na waamuzi kwa ujumla, Simba nguvumoya.
Hayo unayaona kwa sababu ya malalamiko.Na hii ni ugonjwa wa utopolo na waliwaambia mlalamikie waamuzi.
Kama unaangaliaga mechi za ulaya nikukumbushe fainali ya Chelsea na Liverpool. Kama huwa huangalii,baki na utopolo yako iendelee kuwaliwaza na misukule wenzio
Aisee Leo hakuzipulizwa dawa chumbani?Kwenye muda wa nyongeza ndo nimewaza sana. Mpira umesimama sana afu zikaongezwa dakika 4, Ngoja tuache tu
[emoji23] Msinichoshe Mambo yao tuwaachie wao walete var
Kabisa aisee na sumuu vyumbani pia na covid 19Inawezekana
huna akili wewe kisinda mkubwa
Hapa ndani mnalalamikia marefa as if timu zingine hazipati faida au hasara kutokana na makosa ya waamuzi.Lkn wewe huoni kama kuna positive and strong relationship btn Ushindi wa Simba na Maamuzi yenye utata (especially in recent days)???
Mkuu tusibishane we jua sio offside mi najua ni offside.. haitupi hela na haitunyimi hela.Wewe huelewi kwasababu una kichwa kigumu sana. Eti unaleta hoja ya watu wanne kuotea. Daaaah tunakoseana heshima sana na majuha
Aisee Leo hakuzipulizwa dawa chumbani?
Mkuu tusibishane we jua sio offside mi najua ni offside.. haitupi hela na haitunyimi hela.
Timu Yako imeonewa? Ww ni muarabu? Unahangaika nn na Simba ya watu wakati timu Yako na mbabe wake wote walitokewa zamani, we kama huwezi kuangalia burdani kaangalie taarabu hukoKwanza nawapongeza wachezaji wa Simba kwa ari kubwa ya kupambana uwanjani walioinesha leo. Wamepigana kiume sana kuigania timu yao.
Lkn kwa upande mwingine, maamuzi tata ( in favour of Simba) yameendelea tena leo pale kwa Mkapa. ......watu wamenyimwa penati na pia goli lao limekataliwa. Wala huhitaji kurudia kuangalia matukio hayo zaidi ya mara moja. Ikumbukwe kuwa ktk ligi ya NBC kumekuwa na utata mwingi wa kimaamuzi dhidi ya timu pinzani zinapocheza na Simba. Leo hata wachambuzi hawajatofautiana katika ruling ya matukio husika. Clear goal, clear penati
Nimeanza kuogopa
NakaziaWahini CAS mkashitaki
narudia kusema ww ni kisinda uliechangamkaEti na wewe ni mzazi. Lazima watoto wa mtaani waongezeke
mliahidi kuyafikisha malalamiko kwa Mama alipokuwa ameenda ziarani Ulaya, sasa amerudi hamtaki kwenda, mnatupigia tu kelele humu. Sasa mnaona yanazidi kuongezeka, na ya CAF yanajazia humo humo... Ikumbukwe kuwa ktk ligi ya NBC kumekuwa na utata mwingi wa kimaamuzi dhidi ya timu pinzani zinapocheza na Simba. Leo hata wachambuzi hawajatofautiana katika ruling ya matukio husika. Clear goal, clear penati
Nimeanza kuogopa
Kama Jana kwenye kundi lenu na under 23 ya somalia mlitumia mbinu gani kupata draw? Kisinda ilikuwaje tena ,hakumpima umri babu onyango?Kumbe mna mbinu nyingi sana?
Siyo dawa vyumbani?Simba kabebwa, yule refa kapewa rushwa.
hahaaaaa! ili aje apige makomboraEti nasikia mnaenda kusema Kwa Putin?
Na mimi nimeliona hilo, refa alipunguza muda. Ilibidi afidie muda halisi uliopotea ili wale Berkane wafungwe goli la pili, lakini ndo hivyo akamaliza mechiKwenye muda wa nyongeza ndo nimewaza sana. Mpira umesimama sana afu zikaongezwa dakika 4, Ngoja tuache tu