Waamuzi dhidi ya mechi za Simba

Waamuzi dhidi ya mechi za Simba

Kwenye muda wa nyongeza ndo nimewaza sana. Mpira umesimama sana afu zikaongezwa dakika 4, Ngoja tuache tu
Mm shabiki wa Simba kindaki ndaki ila ile ni penalty na lile ni goli wala co offside, ni kweli kuna wachezaji wa Berkane walikuwa offside lkn aliyefunga alikuwa nyuma ya mchezaji wetu, yani tumebebwa wazi wazi kabisa.

Alafu muda wa nyongeza pia tumebebwa, mpira ulisimama kwa takribani dk 6 lkn refa akaongeza dk 4 alafu ndani ya hzo dk 4 zimechezwa mbili, tunamshukuru refa na waamuzi kwa ujumla, Simba nguvumoya.
 
So makosa ya mechi ya Liverpool na Chelsea yanahalalisha makosa ya mechi nyingine?
Hayo unayaona kwa sababu ya malalamiko.Na hii ni ugonjwa wa utopolo na waliwaambia mlalamikie waamuzi.

Kama unaangaliaga mechi za ulaya nikukumbushe fainali ya Chelsea na Liverpool. Kama huwa huangalii,baki na utopolo yako iendelee kuwaliwaza na misukule wenzio
 
Wewe huelewi kwasababu una kichwa kigumu sana. Eti unaleta hoja ya watu wanne kuotea. Daaaah tunakoseana heshima sana na majuha
[emoji23] Msinichoshe Mambo yao tuwaachie wao walete var
 
Lkn wewe huoni kama kuna positive and strong relationship btn Ushindi wa Simba na Maamuzi yenye utata (especially in recent days)???
Hapa ndani mnalalamikia marefa as if timu zingine hazipati faida au hasara kutokana na makosa ya waamuzi.

Ya ndani yamewashinda sasa mmehamia waamuzi wa kimataifa
 
Wewe huelewi kwasababu una kichwa kigumu sana. Eti unaleta hoja ya watu wanne kuotea. Daaaah tunakoseana heshima sana na majuha
Mkuu tusibishane we jua sio offside mi najua ni offside.. haitupi hela na haitunyimi hela.
 
Lkn kwa ushauri tu. Fuatilia mpira ujifunze. Usijadili jambo ambalo hulielewi vzr
Mkuu tusibishane we jua sio offside mi najua ni offside.. haitupi hela na haitunyimi hela.
 
Kwanza nawapongeza wachezaji wa Simba kwa ari kubwa ya kupambana uwanjani walioinesha leo. Wamepigana kiume sana kuigania timu yao.
Lkn kwa upande mwingine, maamuzi tata ( in favour of Simba) yameendelea tena leo pale kwa Mkapa. ......watu wamenyimwa penati na pia goli lao limekataliwa. Wala huhitaji kurudia kuangalia matukio hayo zaidi ya mara moja. Ikumbukwe kuwa ktk ligi ya NBC kumekuwa na utata mwingi wa kimaamuzi dhidi ya timu pinzani zinapocheza na Simba. Leo hata wachambuzi hawajatofautiana katika ruling ya matukio husika. Clear goal, clear penati
Nimeanza kuogopa
Timu Yako imeonewa? Ww ni muarabu? Unahangaika nn na Simba ya watu wakati timu Yako na mbabe wake wote walitokewa zamani, we kama huwezi kuangalia burdani kaangalie taarabu huko
 
... Ikumbukwe kuwa ktk ligi ya NBC kumekuwa na utata mwingi wa kimaamuzi dhidi ya timu pinzani zinapocheza na Simba. Leo hata wachambuzi hawajatofautiana katika ruling ya matukio husika. Clear goal, clear penati
Nimeanza kuogopa
mliahidi kuyafikisha malalamiko kwa Mama alipokuwa ameenda ziarani Ulaya, sasa amerudi hamtaki kwenda, mnatupigia tu kelele humu. Sasa mnaona yanazidi kuongezeka, na ya CAF yanajazia humo humo
 
Hii hoja kwamba ni goal halal kwa vile aliyefunga hakuwa offside naishangaa sana.
Nilivyowaona mimi wale jamaa
1. walikuwa kwenye nafasi ya kuotea
2. wote walijishughuli na mpira
KWA HIYO
Ni clear offside.
 
Kwenye muda wa nyongeza ndo nimewaza sana. Mpira umesimama sana afu zikaongezwa dakika 4, Ngoja tuache tu
Na mimi nimeliona hilo, refa alipunguza muda. Ilibidi afidie muda halisi uliopotea ili wale Berkane wafungwe goli la pili, lakini ndo hivyo akamaliza mechi
 
Back
Top Bottom