Waamuzi dhidi ya mechi za Simba

Waamuzi dhidi ya mechi za Simba

Aliyefunga ni huyo aliyeoneshwa mshale, angalia alipo na alipokuwepo Kanoute. Hao wegine hawakugusa mpira. Halafu kama wanaadhibiwa kwa kuuingilia mchezo vipi Kagere aliyeuruka mpira je hakuingilia mchezo wakati akiwa yupo kwenye nafasi ya kuotea (offside position)View attachment 2149224
Hiyo mikono ya mchezaji ilishazidi, kanout ameonekana katika mkimbio,kabla ya mpira kupigwa tayari walikua offside watu wanne, hao ndio waliomblock kanout asimark huo mpira. Acheni ushabiki wa chuki kwa Simba mtaumia.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kuwa lilikuwa na watu wengi wa Berkane katika offside position mpaka mshika kibandara akahisi kuwa mmoja Kati ya wale ndiye kapiga kichwa.
 
20220313_202108.jpg
 
Afadhali umempa elimu. Hata kama aliathirika kwa maradhi ya utotoni....ataanza kuelewa
Aliyefunga ni huyo aliyeoneshwa mshale, angalia alipo na alipokuwepo Kanoute. Hao wegine hawakugusa mpira. Halafu kama wanaadhibiwa kwa kuuingilia mchezo vipi Kagere aliyeuruka mpira je hakuingilia mchezo wakati akiwa yupo kwenye nafasi ya kuotea (offside position)View attachment 2149224
 
😂😂
Mkuu mi si Simba ila lile halikuwa goli, offside ya watu wanne unaita goli acha kunywa mataputapu uone vizuri.
Watu wa 4 hahahaha wakati mfungaji alikuwa nyuma ya mabeki wa simba hao watu wa 4 wametoka wapi?
 
Kwanza nawapongeza wachezaji wa Simba kwa ari kubwa ya kupambana uwanjani walioinesha leo. Wamepigana kiume sana kuigania timu yao.
Lkn kwa upande mwingine, maamuzi tata ( in favour of Simba) yameendelea tena leo pale kwa Mkapa. ......watu wamenyimwa penati na pia goli lao limekataliwa. Wala huhitaji kurudia kuangalia matukio hayo zaidi ya mara moja. Ikumbukwe kuwa ktk ligi ya NBC kumekuwa na utata mwingi wa kimaamuzi dhidi ya timu pinzani zinapocheza na Simba. Leo hata wachambuzi hawajatofautiana katika ruling ya matukio husika. Clear goal, clear penati
Nimeanza kuogopa
Anyway inaweza kuwa offside ila unawezaj kumlaumu mwamuzi pale.. very tight one, hakuna VAR..! Pia tusisahau kuwa waarabu Ndio wanufaika wakuu wa maamuz hovyo ! Timu zetu zimekua zikionewa sana na hawa watu so Ukiona wanalalamika ujue simba sio timu ndogo tena! they are on another level ukiongelea mashindano ya kimataifa!
 
Kwanza nawapongeza wachezaji wa Simba kwa ari kubwa ya kupambana uwanjani walioinesha leo. Wamepigana kiume sana kuigania timu yao.
Lkn kwa upande mwingine, maamuzi tata ( in favour of Simba) yameendelea tena leo pale kwa Mkapa. ......watu wamenyimwa penati na pia goli lao limekataliwa. Wala huhitaji kurudia kuangalia matukio hayo zaidi ya mara moja. Ikumbukwe kuwa ktk ligi ya NBC kumekuwa na utata mwingi wa kimaamuzi dhidi ya timu pinzani zinapocheza na Simba. Leo hata wachambuzi hawajatofautiana katika ruling ya matukio husika. Clear goal, clear penati
Nimeanza kuogopa
Wivu umekujaa hadi kwenye koo. Ulidhani na kuombea Simba wafungwe siyo. Simba ni level nyingine kitaifa na kimataifa. Ngurumo zake huwa zinatetemesha mbingu na ulimwengu!
 
Back
Top Bottom