Waamuzi hawavurundi kwa bahati mbaya, kuna fungu wametengewa

Waamuzi hawavurundi kwa bahati mbaya, kuna fungu wametengewa

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kutoka kwa mtu wa ndani kabisa ya clubu moja kumbwa kwenye VPL ameniambia kuwa club imetenga fungu kubwa kwaajili ya kuhakikisha timu hiyo inautwaa ubingwa wa VPL. Pesa hizo zitakwenda kwa waamuzi na wachezaji wa timu pinzani.

Baada ya waamuzi kupokea fungu hilo ambalo ni vigumu sana kulikataa watahakikisha kuwa timu hiyo inapatiwa kila fursa ya nafuu itakayojitokeza kwenye mechi na kwenye ligi.

Wachezaji wakishazirambishwa hizo pesa ama watacheza chini ya kiwango au watasingizia wanaumwa kwa muda mrefu au kwenye mechi muhimu.

Kama nikilazimika kukitaja chanzo changu cha habari nitalazimika kufanya hivyo ili soka letu lichezwe uwanjani tu ili tupate wawakilishi halali na bora na kuepusha janjajanja.
 
Dinosaurs-TV-Show-Baby-Laughing-At-The-Dinner-Table.gif
 
Hivi hayo magoli wanayokosa kina Sarmpong, Nchimbi na Feitoto bado mnasema waamuzi wanahongwa, sioni tatizo kama timu pinzani ikipewa motisha.
Simba ilifanya kweli kuwapeleka polisi kina senzo na yule yuda aliyekuwepo simba na matokeo yake tumeyaona .
Kama nyinyi mna hakika karipotini polisi vinginevyo zitabaki uzushi kama uzushi mwingine mnaozusha.
Tumeshawazoea mlivyomzushia Morison leo anawaumbua.
 
Kutoka kwa mtu wa ndani kabisa ya clubu moja kumbwa kwenye VPL ameniambia kuwa club imetenga fungu kubwa kwaajili ya kuhakikisha timu hiyo inautwaa ubingwa wa VPL. Pesa hizo zitakwenda kwa waamuzi na wachezaji wa timu pinzani.

Baada ya waamuzi kupokea fungu hilo ambalo ni vigumu sana kulikataa watahakikisha kuwa timu hiyo inapatiwa kila fursa ya nafuu itakayojitokeza kwenye mechi na kwenye ligi.

Wachezaji wakishazirambishwa hizo pesa ama watacheza chini ya kiwango au watasingizia wanaumwa kwa muda mrefu au kwenye mechi muhimu.

Kama nikilazimika kukitaja chanzo changu cha habari nitalazimika kufanya hivyo ili soka letu lichezwe uwanjani tu ili tupate wawakilishi halali na bora na kuepusha janjajanja
Kitendo cha CHAN kuchezwa bila mwamuzi hata mmoja toka Tanzania, kitoshe kukuaminisha kwamba uwezo wa Waamuzi wa Tanzania ni wa chini na siyo kuhongwa.
 
Kutoka kwa mtu wa ndani kabisa ya clubu moja kumbwa kwenye VPL ameniambia kuwa club imetenga fungu kubwa kwaajili ya kuhakikisha timu hiyo inautwaa ubingwa wa VPL. Pesa hizo zitakwenda kwa waamuzi na wachezaji wa timu pinzani.

Baada ya waamuzi kupokea fungu hilo ambalo ni vigumu sana kulikataa watahakikisha kuwa timu hiyo inapatiwa kila fursa ya nafuu itakayojitokeza kwenye mechi na kwenye ligi.

Wachezaji wakishazirambishwa hizo pesa ama watacheza chini ya kiwango au watasingizia wanaumwa kwa muda mrefu au kwenye mechi muhimu.

Kama nikilazimika kukitaja chanzo changu cha habari nitalazimika kufanya hivyo ili soka letu lichezwe uwanjani tu ili tupate wawakilishi halali na bora na kuepusha janjajanja
Hatukusikia makelele ya waamuzi walipoipa utopolo penati ya uongo dhidi ya Kmc, walipoinyima goli la wazi Gwambina dhidi ya upotolo na pia walipoipa utopolo penati isiyostahili na pia kuwanyima penati mbili za wazi Simba walipokutana.
Kama wale waamuzi hamkuona makosa yao iweje leo muwalalamikie au ndio maana ya utopolo?
 
Wasikie wenzio wenye akili sio kama wewe unatafuta sababu zisizo na mashiko
 

Attachments

  • be3e76de23174a89975c80de5d9aeced.mp4
    3.2 MB
  • b59e25113baa440d9f454cde2a2eb94e.mp4
    2.7 MB
Hivi kwa mpira wa vidimbwi kuna kuonewa pale, mbona mlivyofungwa na african sports hamkuli, kwa wachezaji mlionao level yenu ni ligi daraja la kwanza
 
Kitendo cha CHAN kuchezwa bila mwamuzi hata mmoja toka Tanzania, kitoshe kukuaminisha kwamba uwezo wa Waamuzi wa Tanzania ni wa chini na siyo kuhongwa.
Rushwa ndio kila kitu, wako waamuzi ambao wanadai hela zao, na wako ambao wanaona hela wanayopewa haiwatoshi na wako wale wenye mapenzi tu na timu Fulani, wote hawa wanakumbwa na pochi nene la ushindi kiasi kwamba watajifanya Kazi yao kimatege. CAF haiwaoni
 
ila we jamaa upunguze malalamiko, si ndio ulianzisha thread kuhusu azam kuwanyima wachezaji kama sure boy. Mapenzi yako kwa yanga yasikufanye ukawa kipofu na kutoona ukweli, ukweli timu yako ni mbovu kabisa na haiwezi kuchukua ubingwa
 
Kutoka kwa mtu wa ndani kabisa ya clubu moja kumbwa kwenye VPL ameniambia kuwa club imetenga fungu kubwa kwaajili ya kuhakikisha timu hiyo inautwaa ubingwa wa VPL. Pesa hizo zitakwenda kwa waamuzi na wachezaji wa timu pinzani.

Baada ya waamuzi kupokea fungu hilo ambalo ni vigumu sana kulikataa watahakikisha kuwa timu hiyo inapatiwa kila fursa ya nafuu itakayojitokeza kwenye mechi na kwenye ligi.

Wachezaji wakishazirambishwa hizo pesa ama watacheza chini ya kiwango au watasingizia wanaumwa kwa muda mrefu au kwenye mechi muhimu.

Kama nikilazimika kukitaja chanzo changu cha habari nitalazimika kufanya hivyo ili soka letu lichezwe uwanjani tu ili tupate wawakilishi halali na bora na kuepusha janjajanja.
.
20210218_142031.jpg
 
Hatukusikia makelele ya waamuzi walipoipa utopolo penati ya uongo dhidi ya Kmc, walipoinyima goli la wazi Gwambina dhidi ya upotolo na pia walipoipa utopolo penati isiyostahili na pia kuwanyima penati mbili za wazi Simba walipokutana.
Kama wale waamuzi hamkuona makosa yao iweje leo muwalalamikie au ndio maana ya utopolo?
Huo ni ujinga mputu, hayo unayoyasema hayazuii yanga kudai haki yao kama IPO. Hao wengine pia hawakukatazwa kudai haki yao kama ilinyang'anywa pia.

Kila timu idai kama INA madai
 
ila we jamaa upunguze malalamiko, si ndio ulianzisha thread kuhusu azam kuwanyima wachezaji kama sure boy. Mapenzi yako kwa yanga yasikufanye ukawa kipofu na kutoona ukweli, ukweli timu yako ni mbovu kabisa na haiwezi kuchukua ubingwa
Timu kuwa mbovu haimaanishi inyimwe fursa zake za wazi za kufunga mabao.
 
Back
Top Bottom