Waamuzi hawavurundi kwa bahati mbaya, kuna fungu wametengewa

Waamuzi hawavurundi kwa bahati mbaya, kuna fungu wametengewa

Ndugu zangu hakika na waambia kuwa kuna fungu kubwa sana la pesa kwaajili ya kuziumiza timu nyingine kwenye ligi. Yaani victims ni timu zote na mechi zake zote na hata zisizo zake. Fungu hilo litapenyezwa moja kwa moja kupitia wachezaji wenyewe, marafiki wa wachezaji, baadhi ya viongozi wa timu ambao ni waajiliwa kwenye kampuni Fulani, marafiki wa Fulani Fulani was viongozi.
 
Ndugu zangu hakika na waambia kuwa kuna fungu kubwa sana la pesa kwaajili ya kuziumiza timu nyingine kwenye ligi. Yaani victims ni timu zote na mechi zake zote na hata zisizo zake. Fungu hilo litapenyezwa moja kwa moja kupitia wachezaji wenyewe, marafiki wa wachezaji, baadhi ya viongozi wa timu ambao ni waajiliwa kwenye kampuni Fulani, marafiki wa Fulani Fulani was viongozi.
Sasa kuandika fulani fulani kahongwa ,nani asieweza kuandika? Yeyote anaweza kuandika Mtibwa imehongwa na fulani fulani ndio maana imefungwa. Au kwa akili zako unafikiri ulivyo andika nani asie weza kuandika ili kujipa faraja baada ya kuona timu analoshabikia ni bovu?
 
Sasa kuandika fulani fulani kahongwa ,nani asieweza kuandika? Yeyote anaweza kuandika Mtibwa imehongwa na fulani fulani ndio maana imefungwa. Au kwa akili zako unafikiri ulivyo andika nani asie weza kuandika ili kujipa faraja baada ya kuona timu analoshabikia ni bovu?
Lengo hapa sio kumtaja nani anahonga na nani amehongwa wala nani anafanikisha uhongaji, bali langu ni kuziamsha timu zote za ligi kuu kuwa viwanja vinainamishwa kwa makusudi kama walikuwa hawajui basi wajue na viongozi wa timu nawachezaji watizamane usoni, maana kiti ni kweli ana mashetani lakini hata mkono wa mtu umo pia. Kama unadhani nitamtaja mtu humu basi fikiria tena.
 
Lengo hapa sio kumtaja nani anahonga na nani amehongwa wala nani anafanikisha uhongaji, bali langu ni kuziamsha timu zote za ligi kuu kuwa viwanja vinainamishwa kwa makusudi kama walikuwa hawajui basi wajue na viongozi wa timu nawachezaji watizamane usoni, maana kiti ni kweli ana mashetani lakini hata mkono wa mtu umo pia. Kama unadhani nitamtaja mtu humu basi fikiria tena.
Acha ushabiki maandazi, hizi porojo zako hazina msaada wowote kwa timu lako bovu unaloshabikia.
 
Acha ushabiki maandazi, hizi porojo zako hazina msaada wowote kwa timu lako bovu unaloshabikia.
wadau wameshanielewa wanakuja inbox, wewe endelea na porojo zako za kishabiki. Haiwezekani bahati mbaya za marefa ziwe chache kwa timu moja tu na ziwe nyingi kwa timu nyingine tu, how coincidence is that?

Kama sababu ingekuwa uwezo mdogo wa waamuzi na bahati mbaya za kibinadamu tungetegemea kuwe na uwiano sawa (normal distribution) wa bahati mbaya hizi kwa timu zote, lakini bahati mbaya hizi zimeelemea (skewed) upande fulani tu.
 
wadau wameshanielewa wanakuja inbox, wewe endelea na porojo zako za kishabiki. Haiwezekani bahati mbaya za marefa ziwe chache kwa timu moja tu na ziwe nyingi kwa timu nyingine tu, how coincidence is that?
Ndio maana nasema porojo zako hazitaisaidia timu mbovu unayoshabikia.Unaposema ni timu moja tu ndio imepata bahati mbaya chache za marefa je unaweza kutaja idadi ya bahati mbaya kwa kila mechi iliochezwa kwenye vpl?
 




maana nasema porojo zako hazitaisaidia timu mbovu unayoshabikia.Unaposema ni timu moja tu ndio imepata bahati mbaya chache za marefa je unaweza kutaja idadi ya bahati mbaya kwa kila mechi iliochezwa kwenye vpl?

Ndio maana nasema porojo zako hazitaisaidia timu mbovu unayoshabikia.Unaposema ni timu moja tu ndio imepata bahati mbaya chache za marefa je unaweza kutaja idadi ya bahati mbaya kwa kila mechi iliochezwa kwenye vpl?
Unaonekana hata hufuatilii mambo ya Moira, we we ni simba tu ya mo baasi. KMC, Azam, Ruvu shooting, Biashara, nk nk wote wanalalama na waamuzi
 
Unaonekana hata hufuatilii mambo ya Moira, we we ni simba tu ya mo baasi. KMC, Azam, Ruvu shooting, Biashara, nk nk wote wanalalama na waamuzi
Nani aliebisha kuwa hakuna ubovu wa waamuzi? Je hao Azam , Ruvu, biashara wanalalamikia ubovu wa waamuzi kwenye mechi walizocheza na timu moja tu? Ubovu wa waamuzi upo karibia kila mechi ila wewe unaleta porojo zako kwa kusema ubovu wa waamuzi sio bahati mbaya bali ni timu moja ndio imepanga iwe hivyo.
Huoni kuwa unaleta ushabiki kwenye tatizo serious namna hiyo ambalo lipo hata huko daraja la kwanza?
 
Nani aliebisha kuwa hakuna ubovu wa waamuzi? Je hao Azam , Ruvu, biashara wanalalamikia ubovu wa waamuzi kwenye mechi walizocheza na timu moja tu? Ubovu wa waamuzi upo karibia kila mechi ila wewe unaleta porojo zako kwa kusema ubovu wa waamuzi sio bahati mbaya bali ni timu moja ndio imepanga iwe hivyo.
Huoni kuwa unaleta ushabiki kwenye tatizo serious namna hiyo ambalo lipo hata huko daraja la kwanza?
Huwezi kuwa bingwa kwa kuifunga Simba au Yanga tu, hivyo kama ni figisu lazima kwanza uzidishe kwa mpinzani wako mkuu na mechi zake zote kwenye ligi, lakini lazima pia uzisambaze kwa mechi zako zote dhidi ya timu nyingine kwenye ligi. Hivyo kama unataka kupima ubahati mbaya au umakusudi wa kuvurunda mechi lazima uchukuwe takwimu za idadi ya uvurundaji wa marefa kwenye mechi za head to head na mpinzani wako mkuu uliokunufaisha, pili idadi ya makosa yaliyokunufaisha kwenye mechi zako zote dhidi ya timu nyingine , na tatu idadi ya makosa kwenye mechi zote za mpinzani wako dhidi ya timu nyingine. Ukimaliza fanya average ili uone ni mechi ziti makosa ya merefa yamekidhiri.

Nadhani huna unachokijua kwenye ligi.
 
Huwezi kuwa bingwa kwa kuifunga Simba au Yanga tu, hivyo kama ni figisu lazima kwanza uzidishe kwa mpinzani wako mkuu na mechi zake zote kwenye ligi, lakini lazima pia uzisambaze kwa mechi zako zote dhidi ya timu nyingine kwenye ligi. Hivyo kama unataka kupima ubahati mbaya au umakusudi wa kuvurunda mechi lazima uchukuwe takwimu za idadi ya uvurundaji wa marefa kwenye mechi za head to head na mpinzani wako mkuu uliokunufaisha, pili idadi ya makosa yaliyokunufaisha kwenye mechi zako zote dhidi ya timu nyingine , na tatu idadi ya makosa kwenye mechi zote za mpinzani wako dhidi ya timu nyingine. Ukimaliza fanya average ili uone ni mechi ziti makosa ya merefa yamekidhiri.

Nadhani huna unachokijua kwenye ligi.
Kwa hiyo kwa akili yako ubovu wa maamuzi umeuona kwenye mechi zinazohusiana na ubingwa tu? Kwamba hamna ubovu wa maamuzi kwenye mechi zisizohusiana na ubingwa mfano biashara vs ruvu shooting au mwadui vs ihefu kwenye hizi mechi ubovu wa maamuzi huwa hautokei? Au ukitokea ni bahati mbaya ila kwingine umepangwa. Wewe ni bure kabisa.
 
Kwa hiyo kwa akili yako ubovu wa maamuzi umeuona kwenye mechi zinazohusiana na ubingwa tu? Kwamba hamna ubovu wa maamuzi kwenye mechi zisizohusiana na ubingwa mfano biashara vs ruvu shooting au mwadui vs ihefu kwenye hizi mechi ubovu wa maamuzi huwa hautokei? Au ukitokea ni bahati mbaya ila kwingine umepangwa. Wewe ni bure kabisa.
Kwenye ligi Yapo mashindano ya kubaki kwenye ligi pia. Kwenye hili rafiki ya adui yako ni adui yako pia, na adui ya rafiki yako ni rafiki yako ni rafiki yako pia
 
Hivi hayo magoli wanayokosa kina Sarmpong, Nchimbi na Feitoto bado mnasema waamuzi wanahongwa, sioni tatizo kama timu pinzani ikipewa motisha.
Simba ilifanya kweli kuwapeleka polisi kina senzo na yule yuda aliyekuwepo simba na matokeo yake tumeyaona .
Kama nyinyi mna hakika karipotini polisi vinginevyo zitabaki uzushi kama uzushi mwingine mnaozusha.
Tumeshawazoea mlivyomzushia Morison leo anawaumbua.
Nilishasemaga humu jf kuwa kuna timu imetenga fungu kubwa kwaajili ya kupata matokeo mazuri, haijulikani fungu hilo litatumikaje na kwa namna gani, Yanga wasiondoe uwezekano wa jambo hilo, kumfukuza Kaze inawezekana ni sehemu ya hizo pesa maana sioni ni kwa namna gani Kaze anahusika na mchezaji kukosa penaliti au kupoteza nafasi ya kufunga bao wakati amebaki yeye na kipa tu langoni au kushindwa kudaka mpira rahisi, au mchezaji kudai anaumwa, au dk wa timu kudai mchezaji hayuko fit kucheza mechi.

Katika timu kubwa kama Yanga Kocha kazi yake kubwa ni kuinganisha timu icheze kitimu na kutengeneza nafasi za kufunga magoli lakini sio kumfundisha mchezaji namna ya kuingiza mpira golini na kama yuko mchezaji wa aina hiyo hakuppaswa kusajiliwa Yanga. Timu ya Yanga chini ya Kaze inatengeneza nafasi nyingi lakini wachezaji wanashindwa wenyewe kuzigeuza nafasi hizo kuwa magoli.

Tunapomtafuta mchawi wa Yanga kwanza tusiache kuzimulika hilo fungu la pesa za ushindi zimetua kwa nani kwa kupitia nani, pili tuumulike uongozi wa juu wa club na mwisho ndo tuongelee wachezaji.
 
Nilishasemaga humu jf kuwa kuna timu imetenga fungu kubwa kwaajili ya kupata matokeo mazuri, haijulikani fungu hilo litatumikaje na kwa namna gani, Yanga wasiondoe uwezekano wa jambo hilo, kumfukuza Kaze inawezekana ni sehemu ya hizo pesa maana sioni ni kwa namna gani Kaze anahusika na mchezaji kukosa penaliti au kupoteza nafasi ya kufunga bao wakati amebaki yeye na kipa tu langoni au kushindwa kudaka mpira rahisi, au mchezaji kudai anaumwa, au dk wa timu kudai mchezaji hayuko fit kucheza mechi.

Katika timu kubwa kama Yanga Kocha kazi yake kubwa ni kuinganisha timu icheze kitimu na kutengeneza nafasi za kufunga magoli lakini sio kumfundisha mchezaji namna ya kuingiza mpira golini na kama yuko mchezaji wa aina hiyo hakuppaswa kusajiliwa Yanga. Timu ya Yanga chini ya Kaze inatengeneza nafasi nyingi lakini wachezaji wanashindwa wenyewe kuzigeuza nafasi hizo kuwa magoli.

Tunapomtafuta mchawi wa Yanga kwanza tusiache kuzimulika hilo fungu la pesa za ushindi zimetua kwa nani kwa kupitia nani, pili tuumulike uongozi wa juu wa club na mwisho ndo tuongelee wachezaji.
Yanga na coastal goli la yanga Kisinda alimsukuma mchezaji kabla ya kufunga, goli la polisi mfungaji alikuwa ameotea lakini hatujasikia malalamiko yoyote ya waamuzi.
Tengenezeni timu kwanza badala ya kutafuta sababu za uongo
 
Yanga na coastal goli la yanga Kisinda alimsukuma mchezaji kabla ya kufunga, goli la polisi mfungaji alikuwa ameotea lakini hatujasikia malalamiko yoyote ya waamuzi.
Tengenezeni timu kwanza badala ya kutafuta sababu za uongo
HaliyaMungu kuna fungu la pesa za mkakati zimetengwa anaebisha na abishe!!!!
 
Back
Top Bottom