Waamuzi wa Mapinduzi Cup, wanaibeba Zanzibar

Waamuzi wa Mapinduzi Cup, wanaibeba Zanzibar

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Waamuzi wa Zanzibar wanatia aibu
Inaonekana wanachezesha Kwa maelekezo, yaani wameambiwa Zanzibar laZima afike final

Nimetazama mechi ya Zanzibar na Kenya ila yule mwamzi ni muhuni aisee
Amegawa red card ♦️ mbili , yellow cards 8 Kwa Kenya na kurusha ngumi😂🤣

Zanzibar wakapewa favour za kutosha

Referee aliamua kuwa harass Wakenya na kuibeba Zanzibar Heroes

Ziliongezwa dakika 15
Yaani ni ajabu dakika 15 kikubwa Ilikuwa Zanzibar ishinde

Waandaaji acheni kuandaa bingwa wa mashindano kabla ya Mashindano, mtacheza wenyewe hayo mashindano mwakani na timu haziji

Kenya wakishiriki mwakani Mapinduzi cup niite mbwa
 
Waamuzi wa Zanzibar wanatia aibu
Inaonekana wanachezesha Kwa maelekezo, yaani wameambiwa Zanzibar laZima afike final

Nimetazama mechi ya Zanzibar na Kenya ila yule mwamzi ni muhuni aisee
Amegawa red card ♦️ mbili , yellow cards 8 Kwa Kenya na kurusha ngumi😂🤣

Zanzibar wakapewa favour za kutosha

Referee aliamua kuwa harass Wakenya na kuibeba Zanzibar Heroes

Ziliongezwa dakika 15
Yaani ni ajabu dakika 15 kikubwa Ilikuwa Zanzibar ishinde

Waandaaji acheni kuandaa bingwa wa mashindano kabla ya Mashindano, mtacheza wenyewe hayo mashindano mwakani na timu haziji

Kenya wakishiriki mwakani Mapinduzi cup niite mbwa
View attachment 3198438
Ndio hivyo huwa kila mwaka
 
Hiki nilijua kitatokea wakenya wenyewe kuja nilijua Hawa hawajui kitakachotokea wamebaki wabukinabe watakutana na vituko hadi wachoke
Mwakani watumie vilabu vya Zanzibar mbona hakuna shida hawana haja ya kuabisha nchi na jamii yetu dhidi ya wageni
 
Hiki nilijua kitatokea wakenya wenyewe kuja nilijua Hawa hawajui kitakachotokea wamebaki wabukinabe watakutana na vituko hadi wachoke
Mwakani watumie vilabu vya Zanzibar mbona hakuna shida hawana haja ya kuabisha nchi na jamii yetu dhidi ya wageni
Wachezee
Unguja vs Pemba
 
Hizi timu zimezidi kiherehere ifike hatua hizo timu waache kuja kucheza bonanza la kipumbavu .mimi mwaka huu sijatazama hata mechi moja.Siwezi kuangalia upumbavu aise
Mwaka Jana waliwafanyia vitu APR ya Rwanda
 
Back
Top Bottom