Waamuzi wa Mapinduzi Cup, wanaibeba Zanzibar

Waamuzi wa Mapinduzi Cup, wanaibeba Zanzibar

Kifupi ni kuwa yah ni lazima washinde na watashangilia kama walivyoshangilia Jana huku Kila mpenda mpira akiona aibu
Wabukinabe kesho watapigwa red 2😥😥
 
Waamuzi wa Zanzibar wanatia aibu
Inaonekana wanachezesha Kwa maelekezo, yaani wameambiwa Zanzibar laZima afike final

Nimetazama mechi ya Zanzibar na Kenya ila yule mwamzi ni muhuni aisee
Amegawa red card ♦️ mbili , yellow cards 8 Kwa Kenya na kurusha ngumi😂🤣

Zanzibar wakapewa favour za kutosha

Referee aliamua kuwa harass Wakenya na kuibeba Zanzibar Heroes

Ziliongezwa dakika 15
Yaani ni ajabu dakika 15 kikubwa Ilikuwa Zanzibar ishinde

Waandaaji acheni kuandaa bingwa wa mashindano kabla ya Mashindano, mtacheza wenyewe hayo mashindano mwakani na timu haziji

Kenya wakishiriki mwakani Mapinduzi cup niite mbwa
View attachment 3198438
Zilipoongezwa dakika Kenya nao walikuwa wanatafuta goli, vipi wangefunga?
 
Waamuzi wa Zanzibar wanatia aibu
Inaonekana wanachezesha Kwa maelekezo, yaani wameambiwa Zanzibar laZima afike final

Nimetazama mechi ya Zanzibar na Kenya ila yule mwamzi ni muhuni aisee
Amegawa red card ♦️ mbili , yellow cards 8 Kwa Kenya na kurusha ngumi😂🤣

Zanzibar wakapewa favour za kutosha

Referee aliamua kuwa harass Wakenya na kuibeba Zanzibar Heroes

Ziliongezwa dakika 15
Yaani ni ajabu dakika 15 kikubwa Ilikuwa Zanzibar ishinde

Waandaaji acheni kuandaa bingwa wa mashindano kabla ya Mashindano, mtacheza wenyewe hayo mashindano mwakani na timu haziji

Kenya wakishiriki mwakani Mapinduzi cup niite mbwa
View attachment 3198438
Mwaka Jana wanyaruanda walulalamika sana walipocheza na timu za Zanzibar kila wakifung wanaambiwa offside.
 
Back
Top Bottom