Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zilipoongezwa dakika Kenya nao walikuwa wanatafuta goli, vipi wangefunga?Waamuzi wa Zanzibar wanatia aibu
Inaonekana wanachezesha Kwa maelekezo, yaani wameambiwa Zanzibar laZima afike final
Nimetazama mechi ya Zanzibar na Kenya ila yule mwamzi ni muhuni aisee
Amegawa red card ♦️ mbili , yellow cards 8 Kwa Kenya na kurusha ngumi😂🤣
Zanzibar wakapewa favour za kutosha
Referee aliamua kuwa harass Wakenya na kuibeba Zanzibar Heroes
Ziliongezwa dakika 15
Yaani ni ajabu dakika 15 kikubwa Ilikuwa Zanzibar ishinde
Waandaaji acheni kuandaa bingwa wa mashindano kabla ya Mashindano, mtacheza wenyewe hayo mashindano mwakani na timu haziji
Kenya wakishiriki mwakani Mapinduzi cup niite mbwa
View attachment 3198438
Mwaka Jana wanyaruanda walulalamika sana walipocheza na timu za Zanzibar kila wakifung wanaambiwa offside.Waamuzi wa Zanzibar wanatia aibu
Inaonekana wanachezesha Kwa maelekezo, yaani wameambiwa Zanzibar laZima afike final
Nimetazama mechi ya Zanzibar na Kenya ila yule mwamzi ni muhuni aisee
Amegawa red card ♦️ mbili , yellow cards 8 Kwa Kenya na kurusha ngumi😂🤣
Zanzibar wakapewa favour za kutosha
Referee aliamua kuwa harass Wakenya na kuibeba Zanzibar Heroes
Ziliongezwa dakika 15
Yaani ni ajabu dakika 15 kikubwa Ilikuwa Zanzibar ishinde
Waandaaji acheni kuandaa bingwa wa mashindano kabla ya Mashindano, mtacheza wenyewe hayo mashindano mwakani na timu haziji
Kenya wakishiriki mwakani Mapinduzi cup niite mbwa
View attachment 3198438