Chanzo pekee cha kujua simba inatisha ni andiko lako.Inatishia Nini?
Waamuzi wote kama siyo simba basi ni yanga, sasa itabidi FAT wawe wanaleta marefa toka GAZA au ISRAElHuwa tunajiuliza kwanini Tatu Malogo, Amina Kyando hawa mabinti Huwa wanapewa mechi za Simba?
Licha ya kufanya makosa ya kujirudia lakini Huwa bodi ya ligi haikomi kuwapa michezo ya Simba
Hawa Wanachama watiifu wa Simba sports club
Pia Mzee wetu Rage japo aliwapa jina zuri Wanachama wa Simba Kwa kuwaita mbumbumbu kwenye mkutano mkuu pale ukumbi wa polisi Oystabay.
Rage ndo mlezi wa Tabora United
Kwa kifupi pale hamna mechi😅😂
Duuh,huu ujingaNdo hao watachezesha
Unafahamu maana ya upangaji WA matokeo? Je unaweza kuthibitisha huo upangwaji wa matokeo au ni porojo Tu,?Hapa nakemea rushwa na uhuni wa upangaji matokeo ya wazi
Kila mtu nchi hii ni simba au Yanga. Huwezi kukwepa hilo.Huwa tunajiuliza kwanini Tatu Malogo, Amina Kyando hawa mabinti Huwa wanapewa mechi za Simba?
Licha ya kufanya makosa ya kujirudia lakini Huwa bodi ya ligi haikomi kuwapa michezo ya Simba
Hawa Wanachama watiifu wa Simba sports club
Pia Mzee wetu Rage japo aliwapa jina zuri Wanachama wa Simba Kwa kuwaita mbumbumbu kwenye mkutano mkuu pale ukumbi wa polisi Oystabay.
Rage ndo mlezi wa Tabora United
Kwa kifupi pale hamna mechi😅😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri Kimataifa tunatusua tuu hakuna kina Tatu au kina Kayoko....
Huko CAF tunatisha kama mazimwi
Atakuchosha tu huyo!Kila mtu nchi hii ni simba au Yanga. Huwezi kukwepa hilo.
Ww mwenyewe Yanga. labda ushushe malaika aje awe refa.