Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tupo kombe la u abaya ubwela utaniuliza mwisho wa mashindano kwa nini nasema hiviMpo CAFCL? 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo kombe la u abaya ubwela utaniuliza mwisho wa mashindano kwa nini nasema hiviMpo CAFCL? 😅
Nyie mngeendelea kutulia na Kayoko wenu..Simba ingekua unbeaten kama sio KayokoHuwa tunajiuliza kwanini Tatu Malogo, Amina Kyando hawa mabinti Huwa wanapewa mechi za Simba?
Licha ya kufanya makosa ya kujirudia lakini Huwa bodi ya ligi haikomi kuwapa michezo ya Simba
Hawa Wanachama watiifu wa Simba sports club
Pia Mzee wetu Rage japo aliwapa jina zuri Wanachama wa Simba Kwa kuwaita mbumbumbu kwenye mkutano mkuu pale ukumbi wa polisi Oystabay.
Rage ndo mlezi wa Tabora United
Kwa kifupi pale hamna mechi😅😂
Kununua marefa.Inatishia Nini?
Nyie hamumo..mwaka kundi! Hiyo robo fainali champions league hadi 2030Litaje mbona unalifanya Siri😅😂😃 au una aibu ya aina ya mashindano unayoshiriki
Kama hivi ambavyo wewe Utopolo humalizi siku bila kuitaja.Inatishia Nini?
Basi sawa tuma salamu kwa watu watatu.Huwa tunajiuliza kwanini Tatu Malogo, Amina Kyando hawa mabinti Huwa wanapewa mechi za Simba?
Licha ya kufanya makosa ya kujirudia lakini Huwa bodi ya ligi haikomi kuwapa michezo ya Simba
Hawa Wanachama watiifu wa Simba sports club
Pia Mzee wetu Rage japo aliwapa jina zuri Wanachama wa Simba Kwa kuwaita mbumbumbu kwenye mkutano mkuu pale ukumbi wa polisi Oystabay.
Rage ndo mlezi wa Tabora United
Kwa kifupi pale hamna mechi😅😂
Huu ni utopolo😆😃😂Mpo CAFCL? 😅
Guswa achiwa teseka.Inatishia Nini?
Sasa kutokuwemo CAFCL haimaanishi walio CAF Confederation Cup ni dhaifu kuliko waliotolewa CACL.CAFCL ni 1 au Kuna nyingine nieleweshe
Bila kuweka kadi namba zao hapa huu uzi utakuwa umeuleta huku ukiwa na msongo namna gani utapata hela ya mlo wa leo...Hawa Wanachama watiifu wa Simba sports club
Timu Bora haiwezi kucheza mechi kwenye uwanja wa nyumbani na Kwa dakika 90 ikashindwa kufunga goli hata Moja na kutolewa mashindanoni!Timu Bora haiwezi kucheza mashindano yenu ya akina mama
Kuna tofauti kubwa kati ya CAFCL ambayo Makolo msimu huu hawakuwa na hadhi ya kucheza na Yale mashindano yenu ya akina mamaTimu Bora haiwezi kucheza mechi kwenye uwanja wa nyumbani na Kwa dakika 90 ikashindwa kufunga goli hata Moja na kutolewa mashindanoni!
Utofauti wake unatokana na nini?Kuna tofauti kubwa kati ya CAFCL ambayo Makolo msimu huu hawakuwa na hadhi ya kucheza na Yale mashindano yenu ya akina mama