Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaamini kuwa ni mashindano ya kina mama?Muulize Mzee Kaduguda aliyesema kuwa shirikisho ni mashindano ya akina mama
Ambalo Yanga Pia Anashiriki.Litaje mbona unalifanya Siri😅😂😃 au una aibu ya aina ya mashindano unayoshiriki
Yule dogo Alima kamwe yupo single mtafute akukamue maadam na yeye ni shoga kama wewe ulivyo 🐸wahed mkuu wa mashoga jangwani.Hela ninazo mrembo
Njoo nikuowe namudu kukutunza
Maza ako anacheza namba ngapi?Timu Bora haiwezi kucheza mashindano yenu ya akina mama
Kama yale ya Yanga na Dodoma jijiHakuna mechi hapo. Tujiandae tu kushuhudia maigizo ndani ya dakika zote 90 za mchezo.
Hii komenti ijaladiwe😀😆😃Tumefurahi hamjafuzu....
Makelele yote hayo kumbe unatafuta mwanaume wa kukuondolea shobo!Mie ni mrembo mwenye shobo kama Hamisa
Kina mwakakundiSisi tumetoka CAFCL ligi hakuna timu Tanzania imebaki kwenye hayo mashindano
Huwa napenda sana Mada za namna hii zinazoheshimisha JF, yaani hapa ushahidi tayari kolo watapita kimya kama hawaoni uzi,Huwa tunajiuliza kwanini Tatu Malogo, Amina Kyando hawa mabinti Huwa wanapewa mechi za Simba?
Licha ya kufanya makosa ya kujirudia lakini Huwa bodi ya ligi haikomi kuwapa michezo ya Simba
Hawa Wanachama watiifu wa Simba sports club
Pia Mzee wetu Rage japo aliwapa jina zuri Wanachama wa Simba Kwa kuwaita mbumbumbu kwenye mkutano mkuu pale ukumbi wa polisi Oystabay.
Rage ndo mlezi wa Tabora United
Kwa kifupi pale hamna mechi😅😂
😄😃Huwa napenda sana Mada za namna hii zinazoheshimisha JF, yaani hapa ushahidi tayari kolo watapita kimya kama hawaoni uzi,
Lengo la kolo na Chama cha Mpira mbumbumbu wabebe kombe kwa njia zote na haitotokea, kuna mechi siikumbuki Simba walifungwa jamaa kawapiga chenga mabeki akapita akapiga bao safi , Tatu akasema offside, nikaenda zangu nje kupunga hewa Buza Mpalanger kuna joto