Waamuzi wa mechi ya Simba vs Tabora ni Wanachama wa Simba

Tupo kombe la u abaya ubwela utaniuliza mwisho wa mashindano kwa nini nasema hivi
Litaje mbona unalifanya Siri😅😂😃 au una aibu ya aina ya mashindano unayoshiriki
 
Nyie mngeendelea kutulia na Kayoko wenu..Simba ingekua unbeaten kama sio Kayoko
 
Basi sawa tuma salamu kwa watu watatu.
 
Huu ni utopolo😆😃😂
Hiyo CAFCL neno CAF halimaanishi ni mashindano yanayosimamiwa na CAF?

Siwezi kukulaumu maana wewe siyo Jakaya au Mzee Sunday Manara.
CAFCL ni 1 au Kuna nyingine nieleweshe
 
Hawa Wanachama watiifu wa Simba sports club
Bila kuweka kadi namba zao hapa huu uzi utakuwa umeuleta huku ukiwa na msongo namna gani utapata hela ya mlo wa leo...

Tafuta hela we 🐸acha ujinga.
 
Bila kuweka kadi namba zao hapa huu uzi utakuwa umeuleta huku ukiwa na msongo namna gani utapata hela ya mlo wa leo...

Tafuta hela we 🐸acha ujinga.
Hela ninazo mrembo
Njoo nikuowe namudu kukutunza
 
Timu Bora haiwezi kucheza mechi kwenye uwanja wa nyumbani na Kwa dakika 90 ikashindwa kufunga goli hata Moja na kutolewa mashindanoni!
Kuna tofauti kubwa kati ya CAFCL ambayo Makolo msimu huu hawakuwa na hadhi ya kucheza na Yale mashindano yenu ya akina mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…