Waamuzi wa mechi ya Simba vs Tabora ni Wanachama wa Simba

Yule dogo Alima kamwe yupo single mtafute akukamue maadam na yeye ni shoga kama wewe ulivyo 🐸wahed mkuu wa mashoga jangwani.
Me nawataka warembo wenye shobo kama wewe
 
Kesho naiona penati dk ya 90 + 7

Penati ya 17 kwenye michezo 16
Alafu makolo watakuja na usemi, haiishi mpake iishe🤣🤣
 
Huwa napenda sana Mada za namna hii zinazoheshimisha JF, yaani hapa ushahidi tayari kolo watapita kimya kama hawaoni uzi,

Lengo la kolo na Chama cha Mpira mbumbumbu wabebe kombe kwa njia zote na haitotokea, kuna mechi siikumbuki Simba walifungwa jamaa kawapiga chenga mabeki akapita akapiga bao safi , Tatu akasema offside, nikaenda zangu nje kupunga hewa Buza Mpalanger kuna joto
 
😄😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…