brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Refa aliechezesha mechi ya Simba vs KMC abdalah Kambuzi amefungiwa na kuondolewa kuchezesha mechi za ligi kuu
Mechi hiyo iliyoisha kwa Simba kushinda kwa bao 2-1 , ilileta malalamiko mengi akituhumiwa kuipendelea Simba
TFFimetoa taarifa ya kuwafungia waamuzi wote 3
Mechi hiyo iliyoisha kwa Simba kushinda kwa bao 2-1 , ilileta malalamiko mengi akituhumiwa kuipendelea Simba
TFFimetoa taarifa ya kuwafungia waamuzi wote 3