jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 773
- 1,589
watu wanataka HAKI na si vinginevyo wameshtuka wameona kuna uonevu na maisha yanakuwa magumu HAKI haipatikani on the keybody.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh Gen Z is dead😭
BalaaCitizen ni TV ya wajaluo na waandamanaji wengi wajaluo
Ukabila Kenya utawamaliza
What do you know about Kenya?stop reasoning like a moron and get out of that mentality ya ukabila.Waa
Ndamanaji wengi wajaluo
Kenya kumekucha ukabila utaiua Kenya
Mnagonga msosi ili mapambano yaendelee
Kazi na dawaMnagonga msosi ili mapambano yaendelee
MSENGEywaji weweWaa
Waamanaji wengi wajaluo
Kenya kumekucha ukabila utaiua Kenya
Rushwa ni adui wa haki na katika nchi yoyote Rushwa ikitamalaki basi haki hupotea.watu wanataka HAKI na si vinginevyo wameshtuka wameona kuna uonevu na maisha yanakuwa magumu HAKI haipatikani on the keybody.....
Kenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamanaWhat do you know about Kenya?stop reasoning like a moron and get out of that mentality ya ukabila.
Wananchi wakiamua kufanya ghasia au chochote hakuna mtu au kikundi kinachoweza kuwazuia.Weka vizuri hilo jambo akilini.Kawaulize wanajeshi/polisi wa Misri,Libya,Tunisia nk wakati wa Arab Springs.Tukio hili laonyesha jinsi serikali ya Kenya ilivyoshindwa kulinda jengo la bunge jengo la kistratejia na shughuli za serikaii nchini humo ukizingatia maandamano haya yamechukua siku 7.
Hivyo kulikuwa na muda wa kutosha kwa serikali kuchukua hatua za tahadhari na kuongeza ulinzi katika majengo ya serikali likiwemo hili jengo la Bunge.
Haya mawazo hayana moral standing. Bure kabisa!Kenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana
How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee
Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu
Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi
Shenzi type nyie
My friend, ondoa shaka ninafahamu barabara juu ya hilo na kuna vurugu nimewahi kushuhudia hizi za Kenya ni cha mtoto ingawa wamejitahidi mgomo umefika siku ya saba.Wananchi wakiamua kufanya ghasia au chochote hakuna mtu au kikundi kinachoweza kuwazuia.Weka vizuri hilo jambo akilini.Kawaulize wanajeshi/polisi wa Misri,Libya,Tunisia nk wakati wa Arab Springs.