Waandamanaji Nairobi wavamia jengo la Bunge baada ya kuwashinda nguvu polisi, yasemwa waandamanaji 10 wameuawa kwa kupigwa risasi halisi

Punguza chuki usije ukafa.
 
Kigogo anateteaje kuwa sema udili na wezi wa Mali za umma na walipa Kodi walipe. Sasa nikashindwa kuelewa kuwa Kodi ambayo inalipwa na watanzania na hao wezi ama matumizi mabaya ya pesa za umma tofauti Iko wapi.
Sasa njoo why mkazo usitilie kwenye Kubana matumizi ya ovyo ya Kodi,wapunguze anasa, cag Kila ripoti anataja wezi Ila hawaguswi.
Waza msafara wa watu 50 wanaenda Korea kuomba msaada pamoja na wasanii Ila Hilo tra hauwezi weka kaulimbiu matumizi sahihi ya Kodi za watanzania.
 
President Ruto is the man we need for Africa.

He will not sign the finance Bill 2024

He should be the chairman of AU to change it's behavior.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…