Waandamanaji wachoma moto Biashara za Wabunge zikiwemo Hotel, Maduka na Mabasi, Ofisi ya Kimani yateketezwa!

Waandamanaji wachoma moto Biashara za Wabunge zikiwemo Hotel, Maduka na Mabasi, Ofisi ya Kimani yateketezwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia

Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill

Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto

Mali hizo zimeoneshwa na Citizen Tv zikiteketea

Wanadai Zakayo Ashuke

PIA SOMA
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Waandamanaji wafika Bungeni, wawili wauawa kwa risasi
 
Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia

Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill

Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto

Mali hizo zimeoneshwa na Citizen Tv zikiteketea

Wanadai Zakayo Ashuke
 
Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia

Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill

Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto

Mali hizo zimeoneshwa na Citizen Tv zikiteketea

Wanadai Zakayo Ashuke
Natamani na yule mbunge wa kike wa Mombasa aliyesema kwa kiburi kwamba leo Jumanne atapiga tena kura ya ndiyo kwa muswada huo naye ashughulikiwe kikamilifu
 
Back
Top Bottom