bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Tuliwaambiwa kuhusu ruto hawakusikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kodi zaoKuandamana ni haki yao ila wanavuka mipaka sasa yaani wanavamia hadi bunge
Yule dada alinikera kweli. Eti nitapiga Tena yes. Sijui kama walimdaka huko bungeni. Maana wengine walipewa kisago.Natamani na yule mbunge wa kike wa Mombasa aliyesema kwa kiburi kwamba leo Jumanne atapiga tena kura ya ndiyo kwa muswada huo naye ashughulikiwe kikamilifu
Mbowe sio mbunge.Binafsi ningeanza na mali za mbowe.
Umekalia kubonga maneno matupu bila vitendo😎Sisi huku TZ tutaenda kwenye kila sheli ya Lake-Oil kutupa walau njiti moja ya kiberiti 🤣🤣🤣
Halafu kuna wale wenye mashamba ya nyanya na korosho, nako tutapita walau tutupe hata njiti moja tu 🤣🤣🤣
Ni baada ya polisi kuua baadhi ya waandamanaji, ndipo hasira zikazuka.Maandamano ya AMANI kwanza halafu inafuatia MIGOMO sio kuchoma NCHI huo ulimbukeni.
Hao GenZ wawakatae Wakora waliovamia kwa lengo la kuibia Raia.
Unamzungumzia falhada iman?Natamani na yule mbunge wa kike wa Mombasa aliyesema kwa kiburi kwamba leo Jumanne atapiga tena kura ya ndiyo kwa muswada huo naye ashughulikiwe kikamilifu
Wee dogo hakikisha usalama wa mbusii hapo sisini.Sisi huku TZ tutaenda kwenye kila sheli ya Lake-Oil kutupa walau njiti moja ya kiberiti 🤣🤣🤣
Halafu kuna wale wenye mashamba ya nyanya na korosho, nako tutapita walau tutupe hata njiti moja tu 🤣🤣🤣
Hao Polisi wakamatwe wafikishwe Mahakamani kwa kosa la Mauaji.Ni baada ya polisi kuua baadhi ya waandamanaji, ndipo hasira zikazuka.
Umekalia kubonga maneno matupu bila vitendo😎Umekalia kubonga maneno matupu bila vitendo😎
Nani kakwambia jeshi ndio suluhisho? Bado una akili za kijima sana.Sasa kuiba hadi Siwa huo ni uporaji,maandamano yanatakiwa yawe ya AMANI kama sisi CHADEMA.
Sasa watampa Ruto sababu ya kuingiza Jeshi Barabarani.
Nilichokuwa nasema ni hivi Waandamanaji wakianza kuvunja Maduka kupora na kuchoma moto watampa sababu Ruto ya kutangaza hali ya hatari na kuliingiza Jeshi kwa kisingizio cha kurejesha Amani.Nani kakwambia jeshi ndio suluhisho? Bado una akili za kijima sana.
Nguvu ya umma haijawahi kufeli popote ulimwenguni hata umwage wanajeshi kila kona ya miji haitasaidia kitu.
Kwamba kuoski umepata kwa pesa za kuwadhulumuLichome Bunge kama walivyofanya Burkina Faso lakini kuja kwenye Kioski changu kukichoma ati unahasira na Wabunge haimake sense.
hivi tuwe wakweli, hivi demokrasia ndio hii? uhuru wa kuandamana ni huu au ni ule wa kutoa maoni bila kuumiza wenzako. sidhani kama wanajenga kitu.Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia
Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill
Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto
Mali hizo zimeoneshwa na Citizen Tv zikiteketea
Wanadai Zakayo Ashuke
PIA SOMA
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Waandamanaji wafika Bungeni, wawili wauawa kwa risasi
Maandamano ya AMANI bila kuharibu Property vinginevyo ni Ukora na Wizi sijui kama uliyafuatilia maandamano yetu ya CHADEMA?!Kwamba kuoski umepata kwa pesa za kuwadhulumu
Rutto keshatangaza.hapa sasa wanaliita jeshi kwa nguvu
tutaanza kusikia milio sasaRutto keshatangaza.