Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamechomewa waliodharau kauli ya wananchi na kupitisha Bill huku wakifahamu kwamba inawaumiza wananchi walio wengi. Wabunge wote waliossema yes ndio waliochomewa.i kuja kwenye Kioski changu kukichoma ati unahasira na Wabunge haimake sense.
Huyu mnyama anapatikana Iringa na China tuBwasheee hua unamaaanisha nini unapoweka kichwa Cha huyo mnyama
Sasa kuiba hadi Siwa huo ni uporaji,maandamano yanatakiwa yawe ya AMANI kama sisi CHADEMA.Wamechomewa waliodharau kauli ya wananchi na kupitisha Bill huku wakifahamu kwamba inawaumiza wananchi walio wengi. Wabunge wote waliossema yes ndio waliochomewa.
Kwanini aingize jeshi barabarani?Sasa watampa Ruto sababu ya kuingiza Jeshi Barabarani
Binafsi ningeanza na mali za mbowe.Kina Shabiby wajifunze kitu,
Nyie mlikuwa mnaandamana au mnafanya comedy? Kwa wale vijana, solution ni kureconcile na sio kuingiza jeshi. Hilo litaongeza machafuko zaidi.Sasa kuiba hadi Siwa huo ni uporaji,maandamano yanayakiwa yawe ya AMANI kama sisi CHADEMA.
Sasa watampa Ruto sababu ya kuingiza Jeshi Barabarani.
Sasa akae aangalie Nchi inachomwa?! Hadi Wakora wameya Hijack Maandamano hii imebadilika imekuwa ni Riots wao wange occupie Jengo la Bunge mpaka na njia zingine sio uharibifu.Ingependeza ungekuja na suluhisho kwamba kwakua Ruto amewasaliti wakenya milioni54+, richa ya kufanya maandamano ya amani kumwambia muswada haufai lakini kwa kiburi akapitisha.
Mchuma Janga hula na Wakwao....Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia
Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill
Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto
Mali hizo zimeoneshwa na Citizen Tv zikiteketea
Wanadai Zakayo Ashuke
Maandamano ya AMANI kwanza halafu inafuatia MIGOMO sio kuchoma NCHI huo ulimbukeni.Nyie mlikuwa mnaandamana au mnafanya comedy? Kwa wale vijana, solution ni kureconcile na sio kuingiza jeshi. Hilo litaongeza machafuko zaidi.
Binadam akivurugwa achana nae viongozi wamejaa jeuri kiboko yao ndo hiyo.Sasa akae aangalie Nchi inachomwa?! Hadi Wakora wameya Hijack Maandamano hii imebadilika imekuwa ni Riots wao wange occupie Jengo la Bunge mpaka na njia zingine sio uharibifu.
Abood hajawahi kuongea ujinga bungeni tatizo hao wanaotaka kuongezewa kwa mzigo wa kodi kwa wananchi, na kujifanya walianza na bus mojaN za nani nazo hzo mkuu,,,
Alafu shabiby na abood😅
Serikali si Ina wachekea ngoja wawakomeshe.Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia
Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill
Aidha Ofisi za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani na zile za Gavana wa Nairobi zimechomwa moto
Mali hizo zimeoneshwa na Citizen Tv zikiteketea
Wanadai Zakayo Ashuke
Kwenye finance bill yetu naomba aliesoma akaielewa anielemishe mpango mkakati uilopo kuongeza pato la nchi effectively kupitiaJohn
Hii mbaya una maana gani? Si mbaya kukandamiza na kudharau wananchi ila ni mbaya kuchoma za watu wanaokandamiza na kuwadharau wenye nchi?
Kama cha fisadi halafu yeye haya makodi na matatizo hayamgusi? Asikie na yeye uchungu na ugumu wa maisha wananchi wao wanayopitia kila sikuLichome Bunge kama walivyofanya Burkina Faso lakini kuja kwenye Kioski changu kukichoma ati unahasira na Wabunge haimake sense.
Ukivunja Maduka ya Raia unaharibu hata lengo la Maandamano hata Raia wengine watakupinga na Watawala unawapa FURSA ya kukushukia na kutumia Nguvu mara dufu.Binadam akivurugwa achana nae viongozi wamejaa jeuri kiboko yao ndo hiyo.