Waandamanaji wachoma moto Biashara za Wabunge zikiwemo Hotel, Maduka na Mabasi, Ofisi ya Kimani yateketezwa!

Sasa kuiba hadi Siwa huo ni uporaji,maandamano yanatakiwa yawe ya AMANI kama sisi CHADEMA.

Sasa watampa Ruto sababu ya kuingiza Jeshi Barabarani.
Nani kakwambia jeshi ndio suluhisho? Bado una akili za kijima sana.

Nguvu ya umma haijawahi kufeli popote ulimwenguni hata umwage wanajeshi kila kona ya miji haitasaidia kitu.
 
Nani kakwambia jeshi ndio suluhisho? Bado una akili za kijima sana.

Nguvu ya umma haijawahi kufeli popote ulimwenguni hata umwage wanajeshi kila kona ya miji haitasaidia kitu.
Nilichokuwa nasema ni hivi Waandamanaji wakianza kuvunja Maduka kupora na kuchoma moto watampa sababu Ruto ya kutangaza hali ya hatari na kuliingiza Jeshi kwa kisingizio cha kurejesha Amani.
 
hivi tuwe wakweli, hivi demokrasia ndio hii? uhuru wa kuandamana ni huu au ni ule wa kutoa maoni bila kuumiza wenzako. sidhani kama wanajenga kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…