WAANDISHI WA HABARI;Hojianeni na Spika Ndugai.Malalamiko ya wananchi chanzo bungeni.

WAANDISHI WA HABARI;Hojianeni na Spika Ndugai.Malalamiko ya wananchi chanzo bungeni.

Paf

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
1,703
Reaction score
3,307
M/kiti wa jukwaa la waandishi wa habari ratibu kuwe na mahojiano na Spika Ndugai na waandishi wa habari kujibu manung'uniko ya wanachi kuhusu Muhimili huu kupoteza maana halisi.

Vipo vyanzo vingi vya tuhuma zenye ukakasi kupitia kiti chake,
Mfano kuwatisha wabunge kupitisha bajeti.
Kuapa kuwakingia kifua wabunge wasio na vyama.
Kuwaondoa wabunge waliovaa vizuri bungeni huku waliovaa vibaya wakiachwa.
Kupitishwa sheria kandamizi kwa wananchi.
Kuita barua za taasisi zingine ni vipeperushi
Kuficha taarifa za hali za afya za wabunge akifa anatangaza,Huku wabunge wanaopigwa risasi anakuwa hajui wakiwa kwenye matibabu.
Mbunge akipata ajali anatangazwa.

M/Kiti wa jukwaa la waandishi wa habari ninyi ndio sauti ya wananchi.
Ombeni miadi naye kwani amekuwa akitumi kiti cha Spika ndani bila maswali na waandishi kuhoji anapotoa tamko hata kama linakinzana na sheria.

Huu ni mda mwafaka kwani bunge haliendelei
 
Waandishi Gani? Hawa Wabonga Ulimbo Ambao Siku Walipokutana Na
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Walitepeta Wakasema Unauonaje Urais!!😂😁😀😀
 
Waandishi Gani? Hawa Wabonga Ulimbo Ambao Siku Walipokutana Na
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Walitepeta Wakasema Unauonaje Urais!!😂😁😀😀
Tufanyaje,tuwasubiri waandishi kutoka nje watakaoingia mwezi wa 9?
 
M/kiti wa jukwaa la waandishi wa habari ratibu kuwe na mahojiano na Spika Ndugai na waandishi wa habari kujibu manung'uniko ya wanachi kuhusu Muhimili huu kupoteza maana halisi.

Vipo vyanzo vingi vya tuhuma zenye ukakasi kupitia kiti chake,
Mfano kuwatisha wabunge kupitisha bajeti.
Kuapa kuwakingia kifua wabunge wasio na vyama.
Kuwaondoa wabunge waliovaa vizuri bungeni huku waliovaa vibaya wakiachwa.
Kupitishwa sheria kandamizi kwa wananchi.
Kuita barua za taasisi zingine ni vipeperushi
Kuficha taarifa za hali za afya za wabunge akifa anatangaza,Huku wabunge wanaopigwa risasi anakuwa hajui wakiwa kwenye matibabu.
Mbunge akipata ajali anatangazwa.

M/Kiti wa jukwaa la waandishi wa habari ninyi ndio sauti ya wananchi.
Ombeni miadi naye kwani amekuwa akitumi kiti cha Spika ndani bila maswali na waandishi kuhoji anapotoa tamko hata kama linakinzana na sheria.

Huu ni mda mwafaka kwani bunge haliendelei
Msisahau kuhoji kwanini wananchi walipe kodi na wao wabunge hawalipi kodi huku kipato chao kikiwa juu sana
 
M/kiti wa jukwaa la waandishi wa habari ratibu kuwe na mahojiano na Spika Ndugai na waandishi wa habari kujibu manung'uniko ya wanachi kuhusu Muhimili huu kupoteza maana halisi.

Vipo vyanzo vingi vya tuhuma zenye ukakasi kupitia kiti chake,
Mfano kuwatisha wabunge kupitisha bajeti.
Kuapa kuwakingia kifua wabunge wasio na vyama.
Kuwaondoa wabunge waliovaa vizuri bungeni huku waliovaa vibaya wakiachwa.
Kupitishwa sheria kandamizi kwa wananchi.
Kuita barua za taasisi zingine ni vipeperushi
Kuficha taarifa za hali za afya za wabunge akifa anatangaza,Huku wabunge wanaopigwa risasi anakuwa hajui wakiwa kwenye matibabu.
Mbunge akipata ajali anatangazwa.

M/Kiti wa jukwaa la waandishi wa habari ninyi ndio sauti ya wananchi.
Ombeni miadi naye kwani amekuwa akitumi kiti cha Spika ndani bila maswali na waandishi kuhoji anapotoa tamko hata kama linakinzana na sheria.

Huu ni mda mwafaka kwani bunge haliendelei
Muswada utungwa na Wizara yenyewe, issue kama iyo ya kodi ilipoletwa na Bungeni na Mussa Azan Zungu ilipokelewa na waziri husika naamini ilienda mpaka kwenye vikao vya baraza la mawaziri kujadiliwa na wakakubaliana!

Pia naamini Azani Zungu kutokana na ushauri wake naamini hakushauri ili iwe kwa makato makubwa kiasi hichi! Maana ye alishauri ukatwe tsh 50 kwa lain lakini hawa wamekuja na yao ya miamala na mwezi ujao inakuja nyingine ya lain.

Ummy Mwalimu ili analipigania sana maana Tarura iko chini yake ye anaamini ndo ataenda kujrnga barabara za Tarura pamoja na shule na Hospital!

Ninachokiona mimi ni kama wanataka kushindana na Serikali ya iliyopita kama na wao wanaweza kufanya vitu vikubwa zaidi.

Kumuweka mbali Mh Rais na ili la makato ya simu si sawa na sio kwamba hajui au akujua ni uongo presentation ilishafanyika kwake na ndiyo maana mtu kama makamu wa Rais naye analipigia debe wote wanalijua vizuri tu ila kwasasa wanawaza mbadala.
 
M/kiti wa jukwaa la waandishi wa habari ratibu kuwe na mahojiano na Spika Ndugai na waandishi wa habari kujibu manung'uniko ya wanachi kuhusu Muhimili huu kupoteza maana halisi.

Vipo vyanzo vingi vya tuhuma zenye ukakasi kupitia kiti chake,
Mfano kuwatisha wabunge kupitisha bajeti.
Kuapa kuwakingia kifua wabunge wasio na vyama.
Kuwaondoa wabunge waliovaa vizuri bungeni huku waliovaa vibaya wakiachwa.
Kupitishwa sheria kandamizi kwa wananchi.
Kuita barua za taasisi zingine ni vipeperushi
Kuficha taarifa za hali za afya za wabunge akifa anatangaza,Huku wabunge wanaopigwa risasi anakuwa hajui wakiwa kwenye matibabu.
Mbunge akipata ajali anatangazwa.

M/Kiti wa jukwaa la waandishi wa habari ninyi ndio sauti ya wananchi.
Ombeni miadi naye kwani amekuwa akitumi kiti cha Spika ndani bila maswali na waandishi kuhoji anapotoa tamko hata kama linakinzana na sheria.

Huu ni mda mwafaka kwani bunge haliendelei
Ndugai ni tatizo kubwa
 
Back
Top Bottom