Waandishi wa Habari mliopo humu JF haya ya kutekwa wanachama wa upinzani au wanaokosoa hamuyaoni au kukemea sio kwa Maslahi ya Taifa?

Waandishi wa Habari mliopo humu JF haya ya kutekwa wanachama wa upinzani au wanaokosoa hamuyaoni au kukemea sio kwa Maslahi ya Taifa?

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari sitaki kusema mengi ila Najiuliza tu wale wanahabari ambao hua mnatuletea thread za Maslahi kwa Taifa Mara Mama ni mtu mwema umeambiwa na sauti from within je haya yanayoendelea ya wanawake kulawitiwa. wapinzani kutekwa au wakosoaji kutekwa mkiyasema sio kwamba ndio mtakua mmefanya kwa maslahi mapama ya Taifa.

Kukaa kimya kwenye haya halafu mnakuja mnatuletea Nyuzi za kuchambua Katiba iliyopitwa na wakati na linajulikana tuwaone kama wa maana ni uongo.

Ni Bora hizo Thread mziite kwa Maslahi ya chama au kwa Maslahi yako Binafsi.

#MunguIbarikiTz.
 
Habari sitaki kusema mengi ila Najiuliza tu wale wanahabari ambao hua mnatuletea thread za Maslahi kwa Taifa Mara Mama ni mtu mwema umeambiwa na sauti from within je haya yanayoendelea ya wanawake kulawitiwa. wapinzani kutekwa au wakosoaji kutekwa mkiyasema sio kwamba ndio mtakua mmefanya kwa maslahi mapama ya Taifa.

Kukaa kimya kwenye haya halafu mnakuja mnatuletea Nyuzi za kuchambua Katiba iliyopitwa na wakati na linajulikana tuwaone kama wa maana ni uongo.

Ni Bora hizo Thread mziite kwa Maslahi ya chama au kwa Maslahi yako Binafsi.

#MunguIbarikiTz.
20240909_043657.jpg
 
Habari sitaki kusema mengi ila Najiuliza tu wale wanahabari ambao hua mnatuletea thread za Maslahi kwa Taifa Mara Mama ni mtu mwema umeambiwa na sauti from within je haya yanayoendelea ya wanawake kulawitiwa. wapinzani kutekwa au wakosoaji kutekwa mkiyasema sio kwamba ndio mtakua mmefanya kwa maslahi mapama ya Taifa.

Kukaa kimya kwenye haya halafu mnakuja mnatuletea Nyuzi za kuchambua Katiba iliyopitwa na wakati na linajulikana tuwaone kama wa maana ni uongo.

Ni Bora hizo Thread mziite kwa Maslahi ya chama au kwa Maslahi yako Binafsi.

#MunguIbarikiTz.
Siyo lazima kuanzisha threads maalum wadau wengi wanachangia kwa kuunganisha nukta, kwani wewe huogopi kutekwa ama kutwaliwa? Pia watu wamechangia nini kifanyike wanaojulikana wakikubananisha, kumbe, wana magari mazuri.
Swali fikirishi je wewe ukikutana na wasiojulikana ama wanaojulikana wakikubananisha utacholopokaje
 
Habari sitaki kusema mengi ila Najiuliza tu wale wanahabari ambao hua mnatuletea thread za Maslahi kwa Taifa Mara Mama ni mtu mwema umeambiwa na sauti from within je haya yanayoendelea ya wanawake kulawitiwa. wapinzani kutekwa au wakosoaji kutekwa mkiyasema sio kwamba ndio mtakua mmefanya kwa maslahi mapama ya Taifa.

Kukaa kimya kwenye haya halafu mnakuja mnatuletea Nyuzi za kuchambua Katiba iliyopitwa na wakati na linajulikana tuwaone kama wa maana ni uongo.

Ni Bora hizo Thread mziite kwa Maslahi ya chama au kwa Maslahi yako Binafsi.

#MunguIbarikiTz.
Pascal Mayalla anapita kama hauoni Uzi huu
 
Back
Top Bottom