THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Kweli walamba Asali kwa haya huwaoni.Unazungumzia walamba miguu watawala?
Hutakuja ona amesema kitu Jamaa wa A ya Constitutional Law Chuon.Tuanze na mwandishi nguli humu ndani bwana Msindo beki wa Azam
Unamaanisha huyu Pascal Mayalla !?Pasi kali mzee wa voice from within. Dah ila unafiki ni sumu mby sana.
Huwa anaandika maneno mengi yenye kurefer nyuzi zake za awali.Atakuwa bado anaremba bandiko kwa quotations.Unamaanisha huyu Pascal Mayalla !?
nimecheka sana hii codeTuanze na mwandishi nguli humu ndani bwana Msindo beki wa Azam
Maybe!!Unamaanisha huyu Pascal Mayalla !?
Habari sitaki kusema mengi ila Najiuliza tu wale wanahabari ambao hua mnatuletea thread za Maslahi kwa Taifa Mara Mama ni mtu mwema umeambiwa na sauti from within je haya yanayoendelea ya wanawake kulawitiwa. wapinzani kutekwa au wakosoaji kutekwa mkiyasema sio kwamba ndio mtakua mmefanya kwa maslahi mapama ya Taifa.
Kukaa kimya kwenye haya halafu mnakuja mnatuletea Nyuzi za kuchambua Katiba iliyopitwa na wakati na linajulikana tuwaone kama wa maana ni uongo.
Ni Bora hizo Thread mziite kwa Maslahi ya chama au kwa Maslahi yako Binafsi.
#MunguIbarikiTz.
Siyo lazima kuanzisha threads maalum wadau wengi wanachangia kwa kuunganisha nukta, kwani wewe huogopi kutekwa ama kutwaliwa? Pia watu wamechangia nini kifanyike wanaojulikana wakikubananisha, kumbe, wana magari mazuri.Habari sitaki kusema mengi ila Najiuliza tu wale wanahabari ambao hua mnatuletea thread za Maslahi kwa Taifa Mara Mama ni mtu mwema umeambiwa na sauti from within je haya yanayoendelea ya wanawake kulawitiwa. wapinzani kutekwa au wakosoaji kutekwa mkiyasema sio kwamba ndio mtakua mmefanya kwa maslahi mapama ya Taifa.
Kukaa kimya kwenye haya halafu mnakuja mnatuletea Nyuzi za kuchambua Katiba iliyopitwa na wakati na linajulikana tuwaone kama wa maana ni uongo.
Ni Bora hizo Thread mziite kwa Maslahi ya chama au kwa Maslahi yako Binafsi.
#MunguIbarikiTz.
Njaaa mbaya.Wandishi wa Tanganyika wanawaza teuzi tu wao na chama chao.
All the best
But they say DRAMA.
Pascal Mayalla anapita kama hauoni Uzi huuHabari sitaki kusema mengi ila Najiuliza tu wale wanahabari ambao hua mnatuletea thread za Maslahi kwa Taifa Mara Mama ni mtu mwema umeambiwa na sauti from within je haya yanayoendelea ya wanawake kulawitiwa. wapinzani kutekwa au wakosoaji kutekwa mkiyasema sio kwamba ndio mtakua mmefanya kwa maslahi mapama ya Taifa.
Kukaa kimya kwenye haya halafu mnakuja mnatuletea Nyuzi za kuchambua Katiba iliyopitwa na wakati na linajulikana tuwaone kama wa maana ni uongo.
Ni Bora hizo Thread mziite kwa Maslahi ya chama au kwa Maslahi yako Binafsi.
#MunguIbarikiTz.
Wanasifia huku wanapewa elfu 50 bila aibuWanajua kusifia mpaka kero kusema ukweli mwiko, masifa ya kipumbavu