Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Waandishi wa habari mmeona ya Kabendera na mama yake ila akilini zenu mnazijua wenyewe kesho kalamu zenu ziunge juhudi mkono juhudi maana memory life span zinatofautiana kazi kwenu naamini mtanielewa.
Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya Mama Kabendera pia pole sana kwa Kabendera kwa kukosa kumuona mama yako milele hutamuona Atena milele hata mwili wake hutauona Atena milele na milele ila piga moyo konde ipo siku isiyo na jina Mungu atakulipia kisasi cha haki.
Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya Mama Kabendera pia pole sana kwa Kabendera kwa kukosa kumuona mama yako milele hutamuona Atena milele hata mwili wake hutauona Atena milele na milele ila piga moyo konde ipo siku isiyo na jina Mungu atakulipia kisasi cha haki.