Waandishi wa habari mmeona ya kabendera na mama yake ila akilini zenu mnazijua wenyewe kesho kalamu zenu ziunge juhudi mkono juhudi maana memory Life span zinatofautiana kazi kwenu naamini mtanielewa.
Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya mama kabendera pia pole Sana kwa kabendera kwa kukosa kumuona mama yako milele hutamwona Tena milele hata mwili wake hutauona Tena milele na milele ila piga moyo konde ipo siku isiyonajina Mungu atakulipia kisasi cha haki!!!!