Waandishi wa Habari TZ ni makada?

Waandishi wa Habari TZ ni makada?

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Hawa waandishi wetu huwa hawanaga ubunifu wa kuandika habari zinahusu jamii yetu?
1. Vijana,
2. Ukosefu wa ajira?
3. UTEKAJI/abductions,
4. Kuwawezesha wanawake?
5. Ulinzi wa watoto?
6. Mabadiliko ya tabia ya nchi/mazingira?

NB: Zaidi ya kuripoti mikutano ya viongozi, matamasha? vikao vya bunge?
 
Back
Top Bottom