Una yaona yana mantiki kwasababu hujataka kufikiri japo kidogo. Baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi watu wengi walipendekeza cctv kamera zilizo kuwa nyumbani kwa waziri Kalemani zitumike kuwabaini walio mpiga . Kesho yake ziliondolewa haraka sana ili kufuta ushahidi. CHADEMA walipo omba ufanyike uchunguzi huru juu ya tukio hilo, serikali ikakataa. Bado hujajua tu nani alihusika ?