Waandishi wa habari za kiuchunguzi Tanzania, wapo wapi kuandika juu ya manabii na mitume hapa nchini ili kuokoa kizazi cha nchi hii?

Waandishi wa habari za kiuchunguzi Tanzania, wapo wapi kuandika juu ya manabii na mitume hapa nchini ili kuokoa kizazi cha nchi hii?

pia ni vigumu kutofautisha manabii hao na habari za waandishi, manzi ga nyanza, Yale Yale tu
 
Nyerere ameiharibu hii nchi pakubwa sana , amewanyima uhuru wa kujieleza wa tz ,

Akadanganya kuwa kila nchi Ina democracy yake.
Kuweka TV ikulu huku wananchi wako ikiwazuia wasimiliki TV, bali wasikilize propaganda za radio ya chama chake pekee.
Lakini matokeo yake alifeli kila kitu.
 
Pascal Mayalla na wengine wengi wa enzi zile.

Ninyi mlijifunza aina ya uandishi wa habari za kiuchunguzi ndani ya nchi na nje ya nchi.

Mlijifunza aina hiyo ya uandishi ili muweze kumiliki vyeti, mvitunze kabatini au lengo ilikua ni nini?

Kwa sababu mmegoma kuandika habari za kiuchunguzi juu ya manabii, mitume feki ambao wanapotosha na kutapeli mali za watu hapa nchini.

Kuanzia kesho nitakua nasema jina la mwandishi na alikosomea ujuzi huo na kaamua kukaa kimya, wale mliosoma Marekani, Kenya, Israel, Ujerman, Urusi, nitawataja ili wananchi wajue kiburi chenu na mnavofurahia kizazi cha nchi hii kupotoshwa na matapeli wakati mnaweza kutumia kalamu yenu na kuokoa kama sio kuwaumbua matapeli waliojaa nchi nzima.
Kiboko ya Wachawi alipokuwa bsdo yupo Buza aliandaa party kwenye boat ya kifahari bahari kwa Waandishi wa Habari
Si waadishi ndio wamekuwa WAHANDISI wa Habari?
 
Back
Top Bottom