Tetesi: 'Waandishi wa Makonda' kwenda Ziarani Koromije


Kama anazushiwa amefoji vyeti, kwa jinsi anavyopenda makuu angeshawakamata wote wanaomsema. Eti anatafuta watu wa kumsaidia, anazama peke yake!
Kwakuwa hajawakamata mahakama gani imethibitisha kuwa kafoji vyeti?
 



Attendance list inaweza kupikwa mkuu. Necta ndiyo wana kila kitu. Watusaidie kuweka wazi matokeo ya Pamba Sek kwa mwaka anaodaiwa Bashite alisoma hapo na Matokeo ya Paulo Christian M kwa shule aliyosoma...!! Hapo ndipo mzizi wa fitina utakuwa umekatwa...!!

Mbona yule mkurugenzi aliyeteuliwa na kudhaniwa hana master ushahidi ulitolewa faster...!!?? Kwa nini kwa huyu ni kigugumizi hivi...!!??

WACHA MANENO, PELEKA VYETI...!!








Tafakari...!!
 
Wanamchokoza Gwajima na Mange Kimambi tena
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ni kweli hujamaa hajuwi anacho kifanya kwaiyo anataka kufanya wa Tanzania wote na tasisi zote kuwa ni mabwege yeye ndie mjanja duh au Rais ana nguvu kuliko wana nchi kasahau kuwa alishakimbilia south AFRICA
angekuwa na nguvu angepiga pushup!!!!!!!!!!!
 
Wakimaliza huko kolomije nashauri watumwe TRA kusafisha documents zinazoonyesha gari anazotumia ni za watuhumiwa wa madawa ya kulevya.Halafu wakimaliza TRA nashauri wahack mitandao yote ya kijamii ambayo ina ushahidi wa habari zake wazifutilie mbali. Baada ya hapo wahack akili za watanzania wote Ili wafute kumbu kumbu zetu.
 
Hiyo timu iliyoenda ndo inaongozwa na le mutuz pamoja na steve panya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…