Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayo jinsi ndio maana hajaonyesha mpk sasaHebu niulize chochote kuhusiana na maeneo niliyoyataja (Azania - UDSM) kuanzia Walimu/Wanafunzi na vituko vyao mpaka majina ya utani na kama kuna watu walipita huko watakubaliana na mimi. Unakuwa mbulula kama Bashite mwambie hapa ni cheti tu hana jinsi!
Huenda kweli amefoji cheti lkn hii haitoshi kuthibitisha bila kumfikisha mahakamani tunamtarajia gwajima atautumia ushahidi alio nao kumtia hatiani.Hivi Daudi kuna ugumu gani wewe kufungua kabati na kutuonesha cheti mpaka utume watu 10 kijijini kwenda kukusanya habari?
Wanasahihisha na kutunga mitihaniNECTA wanafanya kazi gani
Kumbe lengo ni kupata chati kisiasa sio kumfikisha kwenye vyombo vya sheria?Sasa Waandishi wa habari ndo wanajua vyeti vyake vilipo?
Yeye mwenyewe kwa kupenda media analikuza hili jambo to the national level, matokeo yake anamcost aliyemteua maana kila raia sasa atajua kuwa pengine ana vyeti feki lakini hatumbuliwi!!! Na hii Wapinzani wataikomalia mpaka basi huko kwa wananchi!!
Ili iweje?Kabla ya kuwapeleka aonyeshe cheti kwanza
Ushahidi wake uko wapiAmesha chelewa maana tayari mch Gwajima Kesha maliza hiyo kazi mapemaaa
Hakuna ugumu bali hataki kwa sababu ahathiriki nyie ni mbwa koko mnabweka tu bila kung'ata.HIVI KUNA UGUMU GANI WA MAKONDA KUWEKA VYETI HADHALANI NA MAMBO YAKAISHA?
Inawezekana kabisa tena ushahidi upo kwa gwajima nashangaa wanangoja nini.Hivi haiwezekani mtu binafsi kufungua kesi dhidi ya mtu aliyeghushi vyeti ni mpaka jamhuri tu ndiyo inayoweza kumfungulia mashitaka?
Wataalam wa sheria hebu nisaidieni hili
Kwanini msiende mahakamani kabla ya kuharibu pesa zetu?Tetesi za nini? Ataweka vyeti ku cut down costs!
Hazimsumbui hizo keleleKasumba yote hii ya nini ? Unatoa vyeti mpaka cha ubatizo kelele zote unazimaliza kiulaini kama unanawa
Vya nini?Bashite tunataka vyetiiiiiiiiiiii
Mtasubiri sana...sasa hivi ni MAKONDA THE RC RELOADED.Tatizo lilopo ni sifa nyingi alizomwagiliwa na Rais sasa hapo inampa Rais kazi kubwa kumuondoa mara moja baada ya uchunguzi wa TISS, Criminal investigation department. TAKUKURU na Prof Ndalichako na mama Kairuki kutoa repoti zao kuhusu mr Bashite Daudi kutumia cheti cha mtu! Hii itakuwa ndo mwanzo wa downfall wa kiongozi mkuu kama atafumbia macho mambo ya forgery ya elimu na kazi kwa (presidential appointments)wateule wake!mbon Kitwanga ni wa kabila moja lakini hakusita kumtumbua!
Afadhali umekata tamaaHapa pana sanaa tu tumaini hakuna
Km imekosa mashiko mwambie atoke na vyeti mkononi mbona kitu rahisi anaogopa nini kwani?Unadhani kwa kukaa kimya ndo soo lake litaisha we are another Tanzanian from another mother hatumuachiPia jiulize huyo Paul Christian anayesemekana vyeti vyake vimetumiwa na Bashite mbona hatujamuona au hata ndugu zake kueleza alipo? Hadithi yenu imekosa mashiko
Hata akiweka cheti c mtasema amenunua nendeni mahakamani hakuna njia nyingine...kwani anazidi kukata mbuga anaingia mwaka wa 2 kwa kishindo amewashika pabaya kama baba yake. Msipojinyonga mwaka huu basi hamfi tena milele.Mi nilidhani anaenda kwa ndalichako kumbe huko aliposoma ambapo ni rahisi kununua watu na kuwaambia wazungumze nin
Jamaa ni zero kabisa katika strategic plan zake
Waandishi wa habari wa MwanaHalisi walishatuletea ripoti,hii inayoanza kupikwa sasa ni upuuzi tu.Na hapa mpumbafu hatakuwa Bashite bali wale waandishi watakaoenda hiyo ziara! Na kama kuzomewa waandishi na vyombo hivyo ndio vina deserve kuzomewa na kupuuzwa milele!
Kabisa mkuu.Kwa ujinga huu nachelea kusema kuwa jamaa hana cheti
Haiingii akilini mtuhumiwa anajiiundia tume, hii ndiyo kwanza naiona kwa awamu hii ya tano nadhani inatosha kusema tusububiri miujiza kwa aina hii ya uongozi wa (double standard)Wanasahihisha na kutunga mitihani